Mpap Ndabhit
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 331
- 416
Leo alfajiri Tarehe 13/4/2024 limepita gari la matangazo katika jiji la Mbeya na vitongoji vyake kwamba waziri wa ardhi atakuwa ukumbi wa mkapa kusikiliza na kutatua KERO.
Slaa unajua uamuzi wako uliotofautina na WA mtangulizi wako Lukuvi unavyowatesa wananchi wanaotakiwa kubomolewa makazi Yao na kilimo Uyole!
Slaa unajua wanajeshi wanawabughuzi wananchi wa Sae Katika makazi Yao Huku hao wanajeshi wakiendelea na ujenzi katika eneo Hilo lenye mgogoro!
Unajua ushauri mzuri wa chama Cha mapinduzi aliotoa mwenezi Makonda juu ya utatuzi wa mgogoro huo haujayekelezwa hata Moja!
SASA Ni KERO Gani unazosikiliza na kutatua?
Slaa unajua uamuzi wako uliotofautina na WA mtangulizi wako Lukuvi unavyowatesa wananchi wanaotakiwa kubomolewa makazi Yao na kilimo Uyole!
Slaa unajua wanajeshi wanawabughuzi wananchi wa Sae Katika makazi Yao Huku hao wanajeshi wakiendelea na ujenzi katika eneo Hilo lenye mgogoro!
Unajua ushauri mzuri wa chama Cha mapinduzi aliotoa mwenezi Makonda juu ya utatuzi wa mgogoro huo haujayekelezwa hata Moja!
SASA Ni KERO Gani unazosikiliza na kutatua?