Jerry Slaa ni utoto, Gwajima alidanganywa, Polepole amedhamiria

Ccm wote wahuni
 
Kundi la itikadi ya mwendazake lina nguvu sana, Samia awe makini kama anataka kulishughulikia ..wapo wengi mno, wabunge tu ni takribani 180 wameapa kufa na sera za marehemu mzee wao.
Samia si atamwaga mboga, hao Wabunge hewa wakapambane na chadema chini ya tume huru
 
Baada ya kuona soon atapoteza kila kitu so anaona asitoke kiboya bora anye kwanza, anajua hata afanye nini lazima apoteze kila kitu na anaweza funguliwa mashitaka, so anataka kujificha kwenye kivuli cha darasa la siasa kuwa ndiyo tatizo.
 
Kundi la itikadi ya mwendazake lina nguvu sana, Samia awe makini kama anataka kulishughulikia ..wapo wengi mno, wabunge tu ni takribani 180 wameapa kufa na sera za marehemu mzee wao.

Hata hao wajumbe wa kamati kuu wengi wao ni wateule wa Jiwe ,kumtosa Polepole utakuwa ni usaliti na unafiki wa kiwango cha juu sana!
 
Watapambana sana ila hawadondoki na wala hawatoki leo wala kesho…Najua hii kuisikia inawakera wengine.
Watajikuta wametoka tu kwa ule mtindo wa kununua wakinzani.Unadumbukiza jiwe kubwa kwenye glasi yenye maji huku unategemea maji yaendelee kuwepo humo? It's a mere laughter!Wanatakiwa waumizane tu na ujinga wao.😂😂😂😂😂
 
Waamaleki, tunawalaani wote kwa Jina la Baba
 
... Kuna katufani kadogo kanakoweza kumpa wimbi kidogo aka'surf', ... amekaa muda wote anavizia 'CHAOS' na/au kujaribu kuunda mazingira hayo! AND, IT APPEARS, WHAT THE WORLD SEES IS JUST THE TIP OF THE ICE BERG! ... TORPEDO NEEDED!
 

Utamuitaje Jerry Slaa mtoto wakati amewahi kuwa Mayor wa ILALA na mpaka akapanda na kufikia kuwa mjumbe wa halamashauri kuu ya cccm na pia mjumbe wa kamati kuu !!! Sasa wale wale aliyekuwa nao kama mjumbe ndio wanaomsulubu!!!
 
Pole Pole ni kijana jeuri[emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…