mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Israel wa tz ni yupi
Kwa tangazo lile la kaka Gwaji Tanzania yenyewe ni Israel ila hadi sasa ndio sijamjua huyo Amaleki ni nani
Sijui wengine wanaelewaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Israel wa tz ni yupi
Kwani viongozi wa ccm mnawajua wenyewe tu?Ya ccm huyajui tuachie sisi
Jeuri yake itamu cost, na ana safari ndefu angepiga tu kimya, maana akiwa na madaraka wote waliokosoa walipotezea, Sasa aangalie na yeye karma isije kumkulaPole Pole ni kijana jeuri[emoji848][emoji848]
48 law of powerPole Pole ni kijana jeuri asiye na busara, wakati bado ana safari ndefu ya kisiasa, pride na ujuaji utamu cost big time, hamna anayempiganga bosi hadharani akabaki salama, so ajirekebishe na ajue dunia ni uwanja usio fair.
Atumie kanuni never outshine ur master ooh or else atakuwa in big trouble
RubbishJerry Slaa ni kijana wa CCM aliyelelewa na kufundishwa maadili ya CCM, makosa aliyofanya hakujua madhara yake,
Kwa sisi wakongwe ni kuwa Jerry Slaa alifanya utoto na naamini baada ya kuitwa kwenye Halmashauri Kuu ya CCM ametubu,
hivyo adhabu yake yaweza kuwa ya kawaida.
Gwajima-huyu alidanganywa na wale waliotaka kumkwamisha Rais Samia kwa kupambana na sera mpya za mageuzi alizoleta Rais Samia,
Alidanganywa na wale waliotaka kudhoofisha urais wa Samia,
naamini baada ya muda kupita amegundua kuwa amekosea na naimani leo ameomba radhi,
Gwajima ana akili hivyo lazima ameomba radhi sababu anahitaji kuendelea kushamiri katika siasa ili mambo yake yaende vizuri.
Polepole amedhamiria kuchafua serikali ya Rais Samia,
ameamua kuwa mwanaharakati ya upinzania ndani ya CCM,
Kwa nafasi aliyokuwa nayo, Polepole angeweza kukutana na hao anaosema wanafanya vibaya na kuwashauri namna bora ya kufanya,
Amegeuka kulaumu serikali na Rais, huku akijifanya kuwa muumini wa CCM kumbe ni Mbwa mwitu,
Amejawa kashfa na kiburi kwa viongozi wa Chama na wateule wa awamu ya sita,
Anaona kama yeye ndiye alitakiwa kuteua baraza la mawaziri lakini sio Rais Samia
Ninaamini polepole hata omba radhi siku ya leo sababu ameweka hoja kuwa hakuna kitu alicho kosea,
amekiri yuko tayari kufukuzwa na hana cha kupoteza.
amekiri ubunge si kitu anaweza kurudi mtaani akaendelea kuishi kama kawaida,
hivyo Rais kumteua kuwa mbunge sio kipaumbele chake na wala sio muhimu.
Tutege sikio Dodoma
Apunguze kunyanyua mabega ka yuko too ambitious saa nyingine kujifanya kondoo husaidia, hata miti iliyo mirefu hukatwa na Ile mifupi huachwa48 law of power
Israel inahusiana vipi na Tanzania?Amaleki Ni mahasimu wa Israel [emoji378][emoji378]
Israel inahusiana vipi na Tanzania?
Hangaya anajichafua mwenyewe,anaropoka kma kalewa alkasusu mix nyagiJerry Slaa ni kijana wa CCM aliyelelewa na kufundishwa maadili ya CCM, makosa aliyofanya hakujua madhara yake,
Kwa sisi wakongwe ni kuwa Jerry Slaa alifanya utoto na naamini baada ya kuitwa kwenye Halmashauri Kuu ya CCM ametubu,
hivyo adhabu yake yaweza kuwa ya kawaida.
Gwajima-huyu alidanganywa na wale waliotaka kumkwamisha Rais Samia kwa kupambana na sera mpya za mageuzi alizoleta Rais Samia,
Alidanganywa na wale waliotaka kudhoofisha urais wa Samia,
naamini baada ya muda kupita amegundua kuwa amekosea na naimani leo ameomba radhi,
Gwajima ana akili hivyo lazima ameomba radhi sababu anahitaji kuendelea kushamiri katika siasa ili mambo yake yaende vizuri.
Polepole amedhamiria kuchafua serikali ya Rais Samia,
ameamua kuwa mwanaharakati ya upinzania ndani ya CCM,
Kwa nafasi aliyokuwa nayo, Polepole angeweza kukutana na hao anaosema wanafanya vibaya na kuwashauri namna bora ya kufanya,
Amegeuka kulaumu serikali na Rais, huku akijifanya kuwa muumini wa CCM kumbe ni Mbwa mwitu,
Amejawa kashfa na kiburi kwa viongozi wa Chama na wateule wa awamu ya sita,
Anaona kama yeye ndiye alitakiwa kuteua baraza la mawaziri lakini sio Rais Samia
Ninaamini polepole hata omba radhi siku ya leo sababu ameweka hoja kuwa hakuna kitu alicho kosea,
amekiri yuko tayari kufukuzwa na hana cha kupoteza.
amekiri ubunge si kitu anaweza kurudi mtaani akaendelea kuishi kama kawaida,
hivyo Rais kumteua kuwa mbunge sio kipaumbele chake na wala sio muhimu.
Tutege sikio Dodoma
Nakupa masaa mawiliitakuchukua muda sana kuelewa