Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnataka miundombinu ipi wakati mnaiponda, barabara, flyovers, change overs, meli, vivuko, madaraja, zahanati, vitu vya afya, mahospitali vyote mnavipondea kwamba ni maendeleo ya vitu na siyo ya watuYapo Mambo yanafanywa na wagombea wa chama Cha mapinduzi wakiwemo vijana yanatia najisi jamii wanayotaka kuiongoza. Jery Slaa kumnawisha mwanamke miguu Kama njia ya kuomba kura ni fedhea na ulaghai usiokubalika.
Siasa Ni hoja, tunategemea kuwa na viongozi wajenga hoja siyo viongozi wanafiki wanaofanya Mambo ambayo wakichagulia awatayafanya Tena. Nchi haina tatizo la waosha miguu ina tatizo la miundombinu, nchi haina tatizo la wapembua mchele ina tatizo la huduma za afya, nchi haina tatizo la watoa Burudani ina changamoto kubwa ya maji na elimu...tunataka watu wakutuletea haya, tunataka watatua changamoto siyo waosha miguu
Acheni kujidhalilisha na kujidhalilisha chama, mnakifanya chama kionekana chakisanii kwa sababu mnayofanya kwenye kampeni siyo realistic.
Mimi siwezi kupiga kura kwa mwanaume anayejidhalilisha na kukaa saloon kisa Ubunge kwa sababu hiki anachokifanya ndicho atakachokifanya akifika Bungeni....atalala na kujenga hoja zisizolitoa taifa hapa lilipo.
Wanawake wa Chadema katika majimbo yote nchini wanaonyesha ujasiri na moyo mkuu kuliko matendo yanayofanywa na hawa wanaume wasiojitambua.......inakera sana kuteua wagombea wa aina ya Jerry
Hizo ndio akili za wajumbe wa CCM wakaona watuletee huyo kiumbe.
Sent from my SM-M105F using JamiiForums mobile app
Ccm hawana tofauti mashwetaniCCM kwenye kampeni utawaona kama "BINAADAMU" vile, subiri wachukue madaraka.
AiseeeeWapewe na watoto wawaogeshe kabisa
Mnataka miundombinu ipi wakati mnaiponda, barabara, flyovers, change overs, meli, vivuko, madaraja, zahanati, vitu vya afya, mahospitali vyote mnavipondea kwamba ni maendeleo ya vitu na siyo ya watu
Yes! ASIA MSANGI [emoji736]Asia msangi namkubari hapo Ukonga√
ulitaka amsugue nini?Yapo Mambo yanafanywa na wagombea wa Chama cha Mapinduzi wakiwemo vijana yanatia najisi jamii wanayotaka kuiongoza. Jery Slaa kumnawisha mwanamke miguu kama njia ya kuomba kura ni fedhea na ulaghai usiokubalika.
Siasa ni hoja, tunategemea kuwa na viongozi wajenga hoja siyo viongozi wanafiki wanaofanya mambo ambayo wakichagulia hawatayafanya tena. Nchi haina tatizo la waosha miguu, ina tatizo la miundombinu, nchi haina tatizo la wapembua mchele ina tatizo la huduma za afya, nchi haina tatizo la watoa burudani ina changamoto kubwa ya maji na elimu. Tunataka watu wakutuletea haya, tunataka watatua changamoto siyo waosha miguu.
Acheni kujidhalilisha na kujidhalilisha chama, mnakifanya chama kionekane cha kisanii kwa sababu mnayofanya kwenye kampeni siyo realistic.
Mimi siwezi kupiga kura kwa mwanaume anayejidhalilisha na kukaa saloon kisa Ubunge kwa sababu hiki anachokifanya ndicho atakachokifanya akifika Bungeni, atalala na kujenga hoja zisizolitoa taifa hapa lilipo.
Wanawake wa CHADEMA katika majimbo yote nchini wanaonyesha ujasiri na moyo mkuu kuliko matendo yanayofanywa na hawa wanaume wasiojitambua. Inakera sana kuteua wagombea wa aina ya Jerry.
View attachment 1580390
daaah !! unamanisha wakitoka kujisaidia wasaidiwe kutawazwa ?Mpeni na kopo awatawaze
Nikajua ni Mimi tu nimekerwa na hii picha. Aisee ccm mnatufanya wote wajinga shenzi zenu safisheni makucha ya wake zenu sisi hatutak ujinga huu.Yapo Mambo yanafanywa na wagombea wa Chama cha Mapinduzi wakiwemo vijana yanatia najisi jamii wanayotaka kuiongoza. Jery Slaa kumnawisha mwanamke miguu kama njia ya kuomba kura ni fedhea na ulaghai usiokubalika.
Siasa ni hoja, tunategemea kuwa na viongozi wajenga hoja siyo viongozi wanafiki wanaofanya mambo ambayo wakichagulia hawatayafanya tena. Nchi haina tatizo la waosha miguu, ina tatizo la miundombinu, nchi haina tatizo la wapembua mchele ina tatizo la huduma za afya, nchi haina tatizo la watoa burudani ina changamoto kubwa ya maji na elimu. Tunataka watu wakutuletea haya, tunataka watatua changamoto siyo waosha miguu.
Acheni kujidhalilisha na kujidhalilisha chama, mnakifanya chama kionekane cha kisanii kwa sababu mnayofanya kwenye kampeni siyo realistic.
Mimi siwezi kupiga kura kwa mwanaume anayejidhalilisha na kukaa saloon kisa Ubunge kwa sababu hiki anachokifanya ndicho atakachokifanya akifika Bungeni, atalala na kujenga hoja zisizolitoa taifa hapa lilipo.
Wanawake wa CHADEMA katika majimbo yote nchini wanaonyesha ujasiri na moyo mkuu kuliko matendo yanayofanywa na hawa wanaume wasiojitambua. Inakera sana kuteua wagombea wa aina ya Jerry.
View attachment 1580390
Mke wakeulitaka amsugue nini?
Duuu njaa mbaya aiseeYapo Mambo yanafanywa na wagombea wa Chama cha Mapinduzi wakiwemo vijana yanatia najisi jamii wanayotaka kuiongoza. Jery Slaa kumnawisha mwanamke miguu kama njia ya kuomba kura ni fedhea na ulaghai usiokubalika.
Siasa ni hoja, tunategemea kuwa na viongozi wajenga hoja siyo viongozi wanafiki wanaofanya mambo ambayo wakichagulia hawatayafanya tena. Nchi haina tatizo la waosha miguu, ina tatizo la miundombinu, nchi haina tatizo la wapembua mchele ina tatizo la huduma za afya, nchi haina tatizo la watoa burudani ina changamoto kubwa ya maji na elimu. Tunataka watu wakutuletea haya, tunataka watatua changamoto siyo waosha miguu.
Acheni kujidhalilisha na kujidhalilisha chama, mnakifanya chama kionekane cha kisanii kwa sababu mnayofanya kwenye kampeni siyo realistic.
Mimi siwezi kupiga kura kwa mwanaume anayejidhalilisha na kukaa saloon kisa Ubunge kwa sababu hiki anachokifanya ndicho atakachokifanya akifika Bungeni, atalala na kujenga hoja zisizolitoa taifa hapa lilipo.
Wanawake wa CHADEMA katika majimbo yote nchini wanaonyesha ujasiri na moyo mkuu kuliko matendo yanayofanywa na hawa wanaume wasiojitambua. Inakera sana kuteua wagombea wa aina ya Jerry.
View attachment 1580390