Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaahh weee, ningekuwa mimi yeye niparare hivo na hela ninazo? Mimi kipaumbele cha kwanza ni kupendeza kichwani.Afu usikute wewe ndio huyo maana izi fake ID
😂 muacheni mtoto wa Mama nnaemkubali zaidi baada ya mama yangu na mama ake Yesu.Aaahh weee, ningekuwa mimi yeye niparare hivo na hela ninazo? Mimi kipaumbele cha kwanza ni kupendeza kichwani.
Wacha wee🔥😂 muacheni mtoto wa Mama nnaemkubali zaidi baada ya mama yangu na mama ake Yesu.
Ndio ndio ngoja nifanye mpango turudiane 😅Wacha wee🔥
Nilitaka kuuliza hivyo piaHivi huyu alifanikiwa kumaliza chuo pale UDOM?
nina mdogo wangu wa damu alikuwa hapo aisee vijana walipewa masaa 24 wasionekane hapo! Kama huna nauli, unatokea mkoa wa mbali utajijua mwenyewe, magari ya washawasha yakawa yanarandaranda. Dogo alifika tabora usiku wa mananeNani huyo? Magufuli alifukuza Watoto Wetu Udom wale special Diplomakwa madai ni vilaza wakati Watoto wake walipa 0.
Zambi itamtafuna huko aliko.
Ni vizuri, japo jesca anasubiri uteuzi kabla sa100 hajamalizia kipindi hiki."Mimi nikasema si vibaya nikajumuika na vijana wenzangu (UVCCM) Wilaya ya Chato katika ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UVCCM Wilaya ya Chato na kuhakikisha inakamilika, nikasema nichangie kidogo nilichobarikiwa kuhakikisha kazi za Chama na pia siyo mwisho, nitaendelea kuchangia zaidi na zaidi mpaka kuhakikisha nyumba imekamilika kabisa" - Jesca Magufuli (Mtoto wa Hayati JPM)
Jesca Magufuli amesema kuwa amewiwa kujitolea baadhi ya vifaa ujenzi vya nyumba ya Katibu wa UVCCM kama sehemu ya kuunga mkono juhudi za vijana wa CCM ambao wameonyesha dira ya uwajibikaji
Bi. Jesca Mafuguli ametoa vigae kwa ajili ya kukamilisha nyumba ya Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Chato ambayo kwa sasa imefikia Asilimia 90 ya ujenzi huku akiwaasa vijana kuendelea kushirikiana katika Kulijenga Taifa la Tanzania kupitia serikali ya awamu ya Sita.
Naye, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kutoka UVCCM mkoa wa Geita, Rubein Saganyika Amewataka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Chato kumuenzi Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk John Magufuli kwa kuchapa kazi na kuiishi slogan yake ya Hapa Kazi Tu.
Aidha, Ruben Sagayika amewaomba vijana kuendelea kujitolea kwa ajili ya kukijenga chama ambapo amemushukuru binti wa Hayati Dk Magufuli ambaye ni Jesca Magufuli kwa kujitolea baadhi ya vifaa ujenzi kukamilisha ujenzi wa nyumba ya katibu wa UVCCM Chato.
View attachment 2937331View attachment 2937332View attachment 2937333View attachment 2937335View attachment 2937336
Hapana mkuu, asingekuwa mheshimiwa ningewezaWe si unaiweza hiyo kazi?
Ana uheshimiwa gani?Hapana mkuu, asingekuwa mheshimiwa ningeweza
Huyo ni mkurugenz huko morogoro kama hujuiTumtegemee serikalini sio punde.
Huyo ni mkurugenz huko morogoro kama hujuiKiti maalumu ajae
Tulia wewe tulambe asaliUvccm wana vitambi kuliko baba zao
Tulia wewe chakubangaNani huyo? Magufuli alifukuza Watoto Wetu Udom wale special Diplomakwa madai ni vilaza wakati Watoto wake walipa 0.
Zambi itamtafuna huko aliko.
Mapema sana vijana hawalalini mamake mtupu huyu binti.
ukute kuna jamaa keshawai gepu hapo,yani watu sijui wanaharaka ya nini,,aghrrrr.
fasta fasta yani.