Jesca Magufuli achangia Ujenzi Nyumba ya Katibu UVCCM Wilaya ya Chato. Asisitiza Kumuenzi Hayati Magufuli

Huyu ndio Jesca aisee!🤔🥺 Kuna sehemu niliwah kutana nae tukaongea kwa muda mrefu kidogo sikumbuki hata kama nilimuuliza hata jina mpaka namuona kwenye picha hapa ndio nikakumbuka anyways ukikutana nae nivigumu sana ku notice ndio Jesca wa hayati JPM nilichopenda kutoka kwake hakuonesha majivuno yoyote Yuko low key sana
 
Nani huyo? Magufuli alifukuza Watoto Wetu Udom wale special Diplomakwa madai ni vilaza wakati Watoto wake walipa 0.

Zambi itamtafuna huko aliko.
nina mdogo wangu wa damu alikuwa hapo aisee vijana walipewa masaa 24 wasionekane hapo! Kama huna nauli, unatokea mkoa wa mbali utajijua mwenyewe, magari ya washawasha yakawa yanarandaranda. Dogo alifika tabora usiku wa manane
 
Ni vizuri, japo jesca anasubiri uteuzi kabla sa100 hajamalizia kipindi hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…