peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Jesica, hasara iliyoletwa nyumbani kwenu ilisababishwa na hao unao wachangia fedha. Kuwa mwaangalifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yako ana akili sana, anaona vitu kwa uhalisia, Mungu ambariki aishi sana.Matokeo yaliwekwa humu jf,usijitoe ufahamu kutetea ujinga kisa wewe ni mnufaika.
Mtu mkatili kama yule siwezi mtetea Kwa lolote.
Mwisho nakumbuka Mzee wangu alikaa miaka 2 ndio kuja kupata pension sijui angekufa kabla ingekuja e lakini humwambii kitu kuhusu Magufuli 😆😆😆😆😆
MaelekezoHuenda alimaliza wenzake walipofukuzwa chuo, kwa mtoto wa kiongozi Tanzania lolote linawezekana.
Anataka ubungeJesica, hasara iliyoletwa nyumbani kwenu ilisababishwa na hao unao wachangia fedha. Kuwa mwaangalifu
Tupia kaushahidi mkuu. Vingi utakuwa mbobevu wa kuniniwa. Mbadff kabisa🤣
Itakuwa iliingizwa kwa maelekezo toka juu
Hakuna Cha uhalisia ni Kwa vile nae ana matabia ya ubabe kama Mwendazake na pia Huwa Hawapendi Waislamu.Baba yako ana akili sana, anaona vitu kwa uhalisia, Mungu ambariki aishi sana.
Sawa lamba asali dada.Ndiyo akili zako zilivo fupi kama mkia wa mbuzi
Mjinga kweli
Ngoja tulambe asali sisi pambana na hali yako
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
"Mimi nikasema si vibaya nikajumuika na vijana wenzangu (UVCCM) Wilaya ya Chato katika ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UVCCM Wilaya ya Chato na kuhakikisha inakamilika, nikasema nichangie kidogo nilichobarikiwa kuhakikisha kazi za Chama na pia siyo mwisho, nitaendelea kuchangia zaidi na zaidi mpaka kuhakikisha nyumba imekamilika kabisa" - Jesca Magufuli (Mtoto wa Hayati JPM)
Jesca Magufuli amesema kuwa amewiwa kujitolea baadhi ya vifaa ujenzi vya nyumba ya Katibu wa UVCCM kama sehemu ya kuunga mkono juhudi za vijana wa CCM ambao wameonyesha dira ya uwajibikaji
Bi. Jesca Mafuguli ametoa vigae kwa ajili ya kukamilisha nyumba ya Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Chato ambayo kwa sasa imefikia Asilimia 90 ya ujenzi huku akiwaasa vijana kuendelea kushirikiana katika Kulijenga Taifa la Tanzania kupitia serikali ya awamu ya Sita.
Naye, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kutoka UVCCM mkoa wa Geita, Rubein Saganyika Amewataka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Chato kumuenzi Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk John Magufuli kwa kuchapa kazi na kuiishi slogan yake ya Hapa Kazi Tu.
Aidha, Ruben Sagayika amewaomba vijana kuendelea kujitolea kwa ajili ya kukijenga chama ambapo amemushukuru binti wa Hayati Dk Magufuli ambaye ni Jesca Magufuli kwa kujitolea baadhi ya vifaa ujenzi kukamilisha ujenzi wa nyumba ya katibu wa UVCCM Chato.
View attachment 2937331View attachment 2937332View attachment 2937333View attachment 2937335View attachment 2937336
Hivi huyu alifanikiwa kumaliza chuo pale UDOM?
Huyu si ndio yule mlisema alipataga zero lakini akaenda UDOM? 😁😁"Mimi nikasema si vibaya nikajumuika na vijana wenzangu (UVCCM) Wilaya ya Chato katika ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UVCCM Wilaya ya Chato na kuhakikisha inakamilika, nikasema nichangie kidogo nilichobarikiwa kuhakikisha kazi za Chama na pia siyo mwisho, nitaendelea kuchangia zaidi na zaidi mpaka kuhakikisha nyumba imekamilika kabisa" - Jesca Magufuli (Mtoto wa Hayati JPM)
Jesca Magufuli amesema kuwa amewiwa kujitolea baadhi ya vifaa ujenzi vya nyumba ya Katibu wa UVCCM kama sehemu ya kuunga mkono juhudi za vijana wa CCM ambao wameonyesha dira ya uwajibikaji
Bi. Jesca Mafuguli ametoa vigae kwa ajili ya kukamilisha nyumba ya Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Chato ambayo kwa sasa imefikia Asilimia 90 ya ujenzi huku akiwaasa vijana kuendelea kushirikiana katika Kulijenga Taifa la Tanzania kupitia serikali ya awamu ya Sita.
Naye, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kutoka UVCCM mkoa wa Geita, Rubein Saganyika Amewataka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Chato kumuenzi Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk John Magufuli kwa kuchapa kazi na kuiishi slogan yake ya Hapa Kazi Tu.
Aidha, Ruben Sagayika amewaomba vijana kuendelea kujitolea kwa ajili ya kukijenga chama ambapo amemushukuru binti wa Hayati Dk Magufuli ambaye ni Jesca Magufuli kwa kujitolea baadhi ya vifaa ujenzi kukamilisha ujenzi wa nyumba ya katibu wa UVCCM Chato.
View attachment 2937331View attachment 2937332View attachment 2937333View attachment 2937335View attachment 2937336
Huyu binti wa Magufuli ana kila dalili ya sifa za aliyekua kipenzi cha watanzania hayati baba yake."Mimi nikasema si vibaya nikajumuika na vijana wenzangu (UVCCM) Wilaya ya Chato katika ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UVCCM Wilaya ya Chato na kuhakikisha inakamilika, nikasema nichangie kidogo nilichobarikiwa kuhakikisha kazi za Chama na pia siyo mwisho, nitaendelea kuchangia zaidi na zaidi mpaka kuhakikisha nyumba imekamilika kabisa" - Jesca Magufuli (Mtoto wa Hayati JPM)
Jesca Magufuli amesema kuwa amewiwa kujitolea baadhi ya vifaa ujenzi vya nyumba ya Katibu wa UVCCM kama sehemu ya kuunga mkono juhudi za vijana wa CCM ambao wameonyesha dira ya uwajibikaji
Bi. Jesca Mafuguli ametoa vigae kwa ajili ya kukamilisha nyumba ya Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Chato ambayo kwa sasa imefikia Asilimia 90 ya ujenzi huku akiwaasa vijana kuendelea kushirikiana katika Kulijenga Taifa la Tanzania kupitia serikali ya awamu ya Sita.
Naye, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kutoka UVCCM mkoa wa Geita, Rubein Saganyika Amewataka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Chato kumuenzi Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk John Magufuli kwa kuchapa kazi na kuiishi slogan yake ya Hapa Kazi Tu.
Aidha, Ruben Sagayika amewaomba vijana kuendelea kujitolea kwa ajili ya kukijenga chama ambapo amemushukuru binti wa Hayati Dk Magufuli ambaye ni Jesca Magufuli kwa kujitolea baadhi ya vifaa ujenzi kukamilisha ujenzi wa nyumba ya katibu wa UVCCM Chato.
View attachment 2937331View attachment 2937332View attachment 2937333View attachment 2937335View attachment 2937336