Ikaria
Member
- Jul 17, 2019
- 93
- 238
Matatu ni neno la mtaa lenye maana sawa na daladala, au basi au Coaster nchini Kenya.
Jessica alikuwa amezuru Kenya pamoja na mamake Janet Magufuli kwa mwaliko wa Mke wa Rais William Ruto, Rachel Ruto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli nimeamini nabii hakubaliki nyumbani.Binti ya Hayati Rais John Pombe Magufuli, Jessica Magufuli, akiwa ni mwenye furaha baada ya kupanda matatu yenye graffiti za sura ya marehemu babake Jijini Nairobi.
Matatu ni neno la mtaa lenye maana sawa na daladala, au basi au Coaster nchini Kenya.
Jessica alikuwa amezuru Kenya pamoja na mamake Janet Magufuli kwa mwaliko wa Mke wa Rais William Ruto, Rachel Ruto.
Yaani wewe umeangalia picha huku una mawazo machafu chafu tu?😎😎😎Ebhana Pisi kali aisee
Mkuu kumsifia mtu ni mawazo machafu chief? [emoji1]Yaani wewe umeangalia picha huku una mawazo machafu chafu tu?[emoji41][emoji41][emoji41]
Wabongo ni wapuuzi sana muda mwingine. Wanamsahau na kumpotezea mtu aliyetupigisha hatua ndani ya miezi michache sana.Kweli nimeamini nabii hakubaliki nyumbani.
Yaani basi zima limepambwa Magufuli tupu.
Lakini kwao Tz thubutuu!
Hata aliowapatia vyeo vya upendeleo, leo washamzika kwenye kaburi la sahau!
Uchawa ndiyo uchawa!
Kichwa kiaje na wewe mbona haueleweki?Kichwa mbona hajarithi kwa uncle magu
We unaona hiyo kichwa imekaa kama ya magu?Kichwa kiaje na wewe mbona haueleweki?
uyu demu ni mzuriView attachment 2988310View attachment 2988311
Binti ya Hayati Rais John Pombe Magufuli, Jessica Magufuli, akiwa ni mwenye furaha baada ya kupanda matatu yenye graffiti za sura ya marehemu babake Jijini Nairobi.
Matatu ni neno la mtaa lenye maana sawa na daladala, au basi au Coaster nchini Kenya.
Jessica alikuwa amezuru Kenya pamoja na mamake Janet Magufuli kwa mwaliko wa Mke wa Rais William Ruto, Rachel Ruto.
View attachment 2988309
Naona ka komwe kwa mbaliiBinti ya Hayati Rais John Pombe Magufuli, Jessica Magufuli, akiwa ni mwenye furaha baada ya kupanda matatu yenye graffiti za sura ya marehemu babake Jijini Nairobi.
Matatu ni neno la mtaa lenye maana sawa na daladala, au basi au Coaster nchini Kenya.
Jessica alikuwa amezuru Kenya pamoja na mamake Janet Magufuli kwa mwaliko wa Mke wa Rais William Ruto, Rachel Ruto.