Citizen_37
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 957
- 1,124
Mbona kwa ridhiwani, January, Pinda na wengine wa vigogo imewezekana, Iweje JESCA ashindwe?Bora atulie tu. Tanzania sio monarch country.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kwa ridhiwani, January, Pinda na wengine wa vigogo imewezekana, Iweje JESCA ashindwe?Bora atulie tu. Tanzania sio monarch country.
Waliosaini mikataba ya Kagoda, Richmond, IPTL, na ukwapuaji wa pesa kama za EPA na Escrow walikuwa wana elimu ya chini ya degree?... tunahitaji zaidi watu waadilifu na wazalendo. Elimu ni muhimu ila sio tiba ya mtu kutokuwa mshenzi.Hawa wote ulio wataja, umeona input yoyote kwenye bunge toka kwao? Kazi kujaza bunge with lowest IQ individuals, ndio maana matatizo ya wananchi hayapungui kila siku, sbb representatives wa aina hiyo, so hatutaki watu type hiyo umewataja hapo..!! Kazi yao bungeni ni kupinga Elimu kuwa haina maana, sasa nikwambie na wewe unaye wasupport, There is no alternative to Education yaani Elimu haina mbadala wake hadi sasa, so tunataka individuals ambao wana uwezo, sio hao wako kujaza idadi tu na kupiga makofi.
Kwanini asemwe kwasababu tu ya FNaamini unajua kusoma...Wapi pamesemwa hawezi kufanya jambo maishani? Nilikuwa nauliza tu.
Mbona najua Mawaziri kibao na Failures na ndio wanatuongoza.
Bhebhe ninage shi umwanike mwenuyo natoleSuala lako sio mahala pake
Waliosaini mikataba ya Kagoda, Richmond, IPTL, na ukwapuaji wa pesa kama za EPA na Escrow walikuwa wana elimu ya chini ya degree?... tunahitaji zaidi watu waadilifu na wazalendo. Elimu ni muhimu ila sio tiba ya mtu kutokuwa mshenzi.
Mafisadi karibu wote walikuwa vipanga shuleni na vyuoni ila bahati mbaya uadilifu hawana. Wangetumia akili zao vizuri nchi ingepiga hatua.Umeongea vema kabisa Elimu + Uadilifu/Trust
Hapo ndio tutajenga nchi yetu pendwa, na Elimu iwe bora na watu wanahitimu kwa uelewa wa juu na uadilifu uwepo usio na shaka kwa wahitimu..
Maashalah, binti ni mrembo si haba, sasa ilikuaje NECTA nao wakamwekea F zote aisee,
Ndio yule wa zero? By the way Kalemani imemkata maana huyu kama hatokuwa Mbunge wa Kuchaguliwa (kupitishwa) lazima atateuliwa yeye au Mama yake apate ulaji wa kulisha familia eg Mke wa Kikwete na mtoto wa JKSasa rasmi familia ya JPM itadhibiti siasa za Geita na Chato kwa miaka kadhaa ijayo. Nguli wa siasa za Afrika Mashariki kaweka mkono wake.
Kikwete, wife and son?Bora atulie tu. Tanzania sio monarch country.
Mimi nimependa hizo nipplesAsantee mkuu ... Msalimie sana
Mjingaa sana wewe 😂😂😂 kumbe na wewe kuzionaaaaaMimi nimependa hizo nipples
Mtoto wa nyoka ni nyoka pia.Jesca agombee ubunge na baadae urais.Akiwa rais atamzidi wa Sasa Kwa uzalendo.