Jeshi la Burundi laichakaza M23

Jeshi la Burundi laichakaza M23

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Kwa muda wa majuma matatu tu, imetosha Kwa majeshi ya kikanda kundi la Burundi kuwakimbiza M23.

Ikiwa Awali kundi la Kenya lilianza na kuendesha operation katika maeneo kadhaa kabla ya lile la Burundi kuwasili mnamo March5 2023.

Baada ya kuwasili Kwa vikosi vya Burundi na kuanza operation Sasa M23 wamekimbia vibaya na kuomba meza ya mazungumzo zaidi ili kumaliza mapigano.

Majeshi zaidi ya kikanda yanatarajiwa Toka nchi wananchama wa East Africa Community.
 
Kwa muda wa majuma matatu tu, imetosha Kwa majeshi ya kikanda kundi la Burundi kuwakimbiza M23.

Ikiwa Awali kundi la Kenya lilianza na kuendesha operation katika maeneo kadhaa kabla ya lile la Burundi kuwasili mnamo March5 2023.

Baada ya kuwasili Kwa vikosi vya Burundi na kuanza operation Sasa M23 wamekimbia vibaya na kuomba meza ya mazungumzo zaidi ili kumaliza mapigano.

Majeshi zaidi ya kikanda yanatarajiwa Toka nchi wananchama wa East Africa Community.
Wamalizwe hao wamezoea
 
Kwa muda wa majuma matatu tu, imetosha Kwa majeshi ya kikanda kundi la Burundi kuwakimbiza M23.

Ikiwa Awali kundi la Kenya lilianza na kuendesha operation katika maeneo kadhaa kabla ya lile la Burundi kuwasili mnamo March5 2023.

Baada ya kuwasili Kwa vikosi vya Burundi na kuanza operation Sasa M23 wamekimbia vibaya na kuomba meza ya mazungumzo zaidi ili kumaliza mapigano.

Majeshi zaidi ya kikanda yanatarajiwa Toka nchi wananchama wa East Africa Community.
KDF wana puyanga tu.hatuja wahi sikia wamedanya ata shbulio la kushitukiza basi wao ni kuzurura tu pale DRC .....
 
Kwa muda wa majuma matatu tu, imetosha Kwa majeshi ya kikanda kundi la Burundi kuwakimbiza M23.

Ikiwa Awali kundi la Kenya lilianza na kuendesha operation katika maeneo kadhaa kabla ya lile la Burundi kuwasili mnamo March5 2023.

Baada ya kuwasili Kwa vikosi vya Burundi na kuanza operation Sasa M23 wamekimbia vibaya na kuomba meza ya mazungumzo zaidi ili kumaliza mapigano.

Majeshi zaidi ya kikanda yanatarajiwa Toka nchi wananchama wa East Africa Community.
Mrundi anamjua Mnyarwanda jirani yake vizuri so anajua pa kumchoma vizuri aumie
 
Now day mkulima kwa wasaka nafasi za majeshi huyu mwamba hana ubaya niliwai kusoma shule moja kijana wake wa nje ya ndoa japo mm nilikuwa form 4 kijana wake alikuwa form 2
Sema life yake yakibishi [emoji2]
 
Hii kauli umenikumbusha Rais Magufuli marehemu alipokuja Mbeya akasema mugonile Wanyampara nilicheka Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23] Mara nyingi hata katika vikao alikuwa anapendelea sana kutania hivyo tena wakikutana na Mzee M. Mwakalindile
 
Hii kauli umenikumbusha Rais Magufuli marehemu alipokuja Mbeya akasema mugonile Wanyampara nilicheka Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mzee alikuwa siku akiwa poa ilikuwa hadi unafurahi kuna siku nakumbuka anamuapisha Lt. Gen (Rtd) Y. Mohammed siku hiyo ilikuwa ni mwendo wa speech tu za maana nakumbuka Lt. Gen (Rtd) Samwel Ndomba alitoa madini ya maana kama watu wapo lecture room.
 
Back
Top Bottom