Jeshi la Burundi laichakaza M23

Jeshi la Burundi laichakaza M23

Mzee alikuwa siku akiwa poa ilikuwa hadi unafurahi kuna siku nakumbuka anamuapisha Lt. Gen (Rtd) Y. Mohammed siku hiyo ilikuwa ni mwendo wa speech tu za maana nakumbuka Lt. Gen (Rtd) Samwel Ndomba alitoa madini ya maana kama watu wapo lecture room.
Nakumbuka Sana Mzee walisema wao wanaitana chafu chafu yani chief of staff [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] maisha bhna yanakwenda kasi sana

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Tupe utam hatukijui bwana
Ile mbinu hata baraza la usalama UN waliomba isitumike basi akaja na nyingine ambayo M23 hawataisahau. Infwakiti TPDF kwenye operation zake Kuna mengi ambayo hayajaandikwa na mengine hayasimuliwi vizuri ila ni hatari kuliko operation za vikosi vinginevyo vya majirani zetu
 
Hivi vikosi vya Burundi ni vikosi vinavyo pata fully training Toka TPDF kwenye nidhamu ya uwanja wa medani nadhani wanatumia mbinu za GEN NKUNDA ambaye alikuwa na BRIGADE huko magharibi wa TZ kabla ya kuteuliwa kuwa CDF
 
Wanamgambo waasi wa M23 wameondoka Masisi na Rutchuru na viunga vingine vya GOMA. Kilichonishangaza Bado hawajapokonywa silaha.
 
Kundi la vijana wazalendo wa DR CONGO almanusura watembeze mkong'ong'oto mkali Kwa waasi M23 ila Kwa hisani ya vikosi vya EAST AFRICA vijana wakazuiliwa na kuwekwa kizuizini.
 
Back
Top Bottom