Jeshi la Congo DR larejesha baadhi ya maeneo yaliyokuwa chini ya udhibiti wa wapiganaji wa M23

Jeshi la Congo DR larejesha baadhi ya maeneo yaliyokuwa chini ya udhibiti wa wapiganaji wa M23

Sun Zu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2022
Posts
636
Reaction score
1,819
#DRC: Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo linalosaidiwa na wapiganaji wa kundi la Wazalendo limefanikiwa kurejesha udhibiti wa baadhi ya maeneo yaliyochukuliwa na wapiganaji wa M23. Jana Jumatano, makundi hayo ya vijana Wazalendo wanaoungwa mkono na jeshi la serikali walichukua udhibiti wa mji muhimu wa Masisi, juma moja tu baada ya waasi wa M23 kuuteka.
 
drc hawana jeshi.
rwanda inawasumbua nchi kubwa
 
Mokili mobimba mumasase mumasase hapa Masisi ni sebene ya Bilenge bilenge....
 
#DRC: Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo linalosaidiwa na wapiganaji wa kundi la Wazalendo limefanikiwa kurejesha udhibiti wa baadhi ya maeneo yaliyochukuliwa na wapiganaji wa M23. Jana Jumatano, makundi hayo ya vijana Wazalendo wanaoungwa mkono na jeshi la serikali walichukua udhibiti wa mji muhimu wa Masisi, juma moja tu baada ya waasi wa M23 kuuteka.
Ni aibu Drc kushindwa na wahuni wa M23 (hata kama Rwanda ipo nyuma yao).

Drc ijenge jeshi la kisiasa lenye nidhamu.
 
Back
Top Bottom