Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habari yako ukweli ni mdogo mno,yaani majeruhi wako chini ya watano umekuja na mbiu kwamba M23 ni moto?,serious ??M23 aisee ni shida! huko vitani wanatwanga na kwa jamii wanaonesha kitu inaitwa leadership kwa raia!.[emoji1787][emoji1787]
Ckutaka kuweka mavideo mengi ,but kwa sababu nimeona we ni mgumu wa kuelewa nakuwekea na hii hapa. au bado unabisha?👇Hii habari yako ukweli ni mdogo mno,yaani majeruhi wako chini ya watano umekuja na mbiu kwamba M23 ni moto?,serious ??
Mnyarwanda una nongwa khaa,hivi huwa unalipwa na PAKA?Ckutaka kuweka mavideo mengi ,but kwa sababu nimeona we ni mgumu wa kuelewa nakuwekea na hii hapa. au bado unabisha?[emoji116]
Baada ya kipigo na kukimbia raia wana watukana![emoji1787]
Ingawaje kule wao wanakimix na kiringala ila si mbaya saana.Kiswahili kime sambaaa
Nashangaa wakati Luto aliwakabidhi majukumu na Bendera ya Kenya kwa mbwembwe sana. Sijasikia lolote kuwahusu wao mpaka leo hii.Hivi KDF wanafanyaje huko?
Shetani hakosi wafuasi hadi kanisaniHii habari yako ukweli ni mdogo mno,yaani majeruhi wako chini ya watano umekuja na mbiu kwamba M23 ni moto?,serious ??
Kwa kweli jeshi la drc ni dhaifu sanaM23 aisee ni shida! huko vitani wanatwanga na kwa jamii wanaonesha kitu inaitwa leadership kwa raia!.🤣🤣
Hawana lolote hao na sera zao za ubaguzi wa kimbari. Watapigwa na kuangamizwa. Wanafikiri wao waliumbwa kutawala mbari zingine. Watutsi na dharau zao kwa wabantu lazima wapigwe na washindwe.M23 aisee ni shida! huko vitani wanatwanga na kwa jamii wanaonesha kitu inaitwa leadership kwa raia!.🤣🤣
Huyu mtoa habari katumwa na hao hao m23Hii habari yako ukweli ni mdogo mno,yaani majeruhi wako chini ya watano umekuja na mbiu kwamba M23 ni moto?,serious ??
CC: MK254Hivi KDF wanafanyaje huko?
Habari zao anazijua m-Yukrein wa Kiricho Kaunty anaitwa MK254Nashangaa wakati Luto aliwakabidhi majukumu na Bendera ya Kenya kwa mbwembwe sana. Sijasikia lolote kuwahusu wao mpaka leo hii.
Kama unavyofurahia mkiua watu ndivyo msianze kulia eti Genocide M23 wakitulia. Maana ni tendency sasa Watusti wakiuwawa mnaita Genocide wahutu na makabila mengine wakiuwawa unaita FDRL.M23 aisee ni shida! huko vitani wanatwanga na kwa jamii wanaonesha kitu inaitwa leadership kwa raia!.[emoji1787][emoji1787]