Jeshi la Congo linapigwa vibaya!

Ckutaka kuweka mavideo mengi ,but kwa sababu nimeona we ni mgumu wa kuelewa nakuwekea na hii hapa. au bado unabisha?👇
Baada ya kipigo na kukimbia raia wana watukana!🤣
Ardhi yao kijani na rotuba badala wajikite kwenye kilimo na ufugaji. Mungu kawapendelea kwasababu majirani zao kuna ukame.
 
Kama wewe unavyosifia vurugu za warusi pale ukraine acha na yeye apeleke moto wake kaa kwa kutulia kubwa jinga halafu kaweka na Avatar ya lejendari wako putin
 
Kama wewe unavyosifia vurugu za warusi pale ukraine acha na yeye apeleke moto wake kaa kwa kutulia kubwa jinga halafu kaweka na Avatar ya lejendari wako putin
Kitu cha kwanza majibu yako ni too childish - actually reading between the lines na wewe ni part and parcel ya watu ambao watakuja kutuletea balaa kubwa kwenye kanda ya maziwa makuu ni suala la muda tu.
 
Kitu cha kwanza majibu yako ni too childish - actually reading between the lines na wewe ni part and parcel ya watu ambao watakuja kutuletea balaa kubwa kwenye kanda ya maziwa makuu ni suala la muda tu.
P O L E
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…