Jeshi la IDF laagiza wakazi vijiji 22 kuhama mara moja makazi yao Lebanon kusini

Jeshi la IDF laagiza wakazi vijiji 22 kuhama mara moja makazi yao Lebanon kusini

Wewe ni mtanzania kuwa mzalendo wa nchi yako.Siyo taifa mbadala au una uraia pacha? Isitoshe vita haina macho siyo ya kuunga mkono ovyo ovyo bila kujua chanzo na sababu za mapigano .Unga mkono maridhiano mezani siyo kuomba Mungu abariki mauaji yanayoendelea huko nchi za nje.UMOJA WA MATAIFA HAUUNGI MKONO WEWE TU NDIYE UNAYEUNGA MKONO ISRAEL.VITA NI HATARI SANA. WEWE HATA UPEWE NCHI UNAWEZA KUPELEKA RASILIMALI ZETU HUKO KWA TABIA NA ROHO YAKO ILIVYO.MUNGU IBARIKI TANZANIA, IBARIKI AFRIKA NA WATU WAKE TUBARIKI NASI WAAFRIKA TUWE NA AKILI TIMAMU NA MIOYO YA UBINADAMU AMEN.
Wavaa kobazi mna laana! Ile minyoo mnayosoma imeweka kutu akilini mwenu!! Si nyie mnaoshabikia Hezbolah ikirusha fataki Israel?
 
Kwa hamas ulisema hivi hivi.Hao unaowaita mazayuni wanawanyoa hizbullah kwa chupa.Kituo kinachofuata ni Tehran.
Mwezi huu ukiisha kabla Ayatollah hajasindikizwa kwenye mito ya konyagi huku akitafuna mbususu za mabikra niite mbwa
😂😂😂 konyagi tena mkuu.. kwan Ayatolah anagonga nyagi?
 
Hasira za kichapo wanachochezea wiki nzima hii.

Watu wataondoka na maayuni kubamizwa kwa kunyofolewa kidogo kidogo watabamizwa tu, mpaka Tel Aviv.

Ujanja umewaishia.
Gaza unayoiiita Ghaza ulisema hiyo misemo... acha na Allah muongo
 
Hezbolla ni kikundi cha mgambo tu. Siyo nchi yenye jeshi lake.

Usisahau hilo, vita vyao wanapigana tofauti na unavyofikiria wewe, ki hollywood.
Ni ruhusa kuunda kikundi cha mgambo kwenye nchi huru? and unaamua vita na nchi jirani? kuna muarab anaitwa Mohaman Hijab aliulizwa na P. Morgan kuwa Hezbollah ni freedom fighter au kikundi cha nini wakati Lebanon ina jeshi lake.. akasema hawezi semea ila haikubali Hezbollah
 
Hasira za kichapo wanachochezea wiki nzima hii.

Watu wataondoka na maayuni kubamizwa kwa kunyofolewa kidogo kidogo watabamizwa tu, mpaka Tel Aviv.

Ujanja umewaishia.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
US wananza bembeleza serekali ya Lebanon kuhusu ceasefire kwanza walimkataza Israel walidhani watashinda. Mimi nilisema hapa mkiona vyama vya Lebanon vinanza kuongea kuhusu ceasefire ujuwe Israel kaishiwa. Wanataka kumuokoa Kwanza Hezbullah alivyo kubali ceasefire walio poroposed wao wakajua Hezbullah anatafuta kusimamisha vita kazidiwa wakakataa. US akasema kwa sasa hakuna haja ya ceasefire 😄

Sa mbona mnanza tena bembeleza serekali ya Lebanon vita visimame? Hio serekali ya Lebanon mafala sana wakikubali kusimamisha vita. Bora waseme wacheni tuone mwisho wa Hezbullah sisi tunataka muimalize Hezbullah si US na Israel mna nguvu sisi hatumuwezi Hezbullah.

US anataka kumuokoa Israel yuko hatarini anapokea kichapo si cha kawaida sasa. Kuingia Lebanon kashindwa, Missiles zinashuka Haifa, Safed, Acre na Tela Aviv kama mvua.
Mkuu, hivi unajua unachokiandika?

Kwani hii ni vita ya Israel na serikali ya Lebanon au Hezbollah? Tangu vita ianze umeona jeshi la Lebanon likipambana na IDF? Serikali ya Lebanon iombwe ceasefire kwa lipi wakati haipigani na yeyote?
 
Hezbolla ni kikundi cha mgambo tu. Siyo nchi yenye jeshi lake.

Usisahau hilo, vita vyao wanapigana tofauti na unavyofikiria wewe, ki hollywood.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kobaz Iko shida kichwani!
 
Mkuu, hivi unajua unachokiandika?

Kwani hii ni vita ya Israel na serikali ya Lebanon au Hezbollah? Tangu vita ianze umeona jeshi la Lebanon likipambana na IDF? Serikali ya Lebanon iombwe ceasefire kwa lipi wakati haipigani na yeyote?
Unadhani wanaokufa kule ni wananchi wa Bariadi?
 
Hezbollah wamepoteza askari wengi pia , mawasiliano Yao yakususua sua ndo maana inaonekana wanashidwa mapigano.
Kwenye vita mawasiliano ni muhimu sana
Wamepotezaje mawasiliano wakati wanaendelea kurusha makombora Israel kwenye vituo vya kijeshi?
Hezibollah bado iko imara!
 
Hezbollah wamepoteza askari wengi pia , mawasiliano Yao yakususua sua ndo maana inaonekana wanashidwa mapigano.
Kwenye vita mawasiliano ni muhimu sana
Swali langu lilikuwa jepesi sana, jikumbushe:

"... umeyasikiliza majibu yake?"
 
Hasira za kichapo wanachochezea wiki nzima hii.

Watu wataondoka na maayuni kubamizwa kwa kunyofolewa kidogo kidogo watabamizwa tu, mpaka Tel Aviv.

Ujanja umewaishia.
God Bless Israel.

Kichapo cha wiki moja wakati we umetembezewa kichapo mwaka mzima.
 
Back
Top Bottom