Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee Muhoozi kafa lini mkuu?😳😳mkuu wa majeshi wa UDF kauawa
Ooh. Typing error..nilikusudia IDF🤣Weee Muhoozi kafa lini mkuu?😳😳
Sasa,kobazi huwaambii kitu.katika ulimwengu wao kashakufa,na Netanyahu nae kashakufa bada ya Hezbollah kushambulia ndege yake.Mkuu wa jeshi la israel yupo hai hata hana mchubuko jana kobazi wanapongezana na kumshukuru Allah eti wamemuua Herzi Halev leo Idf imemuonyesha yupo mzima tena kabeba mashine yake anawaongoza makomando wa idf
Wewe lete video ya maiti yake Ili tukuaminiHiyo video imeonekana na haina uthibitisho kama ni ya jana au leo acha propaganda za kijinga.
Sababu kuu ya hio video kua ni ya uongo ni hizi
Video haijaonesha sehemu yoyote ilio athirika jana.
Video haijonesha eneo ambalo shambulizi lilifanyika.
Haya thibitisha wewe sasa kama ni video mpya kweli.
Sio kazi yangu hiyo anaezushiwa kifo kama yupo ajitokeze simple tu na sio kuleta picha na video za zamaniWewe lete video ya maiti yake Ili tukuamini
Sio kazi Yako mbona unabisha kama kafa leta videoSio kazi yangu hiyo anaezushiwa kifo kama yupo ajitokeze simple tu na sio kuleta picha na video za zamani
Umesema uwongo. Wayahudi, hata mara moja hawasemi uwongo juu ya waliowaua au askari wao wanapouawa. Tena huwa wanataja mpaka majina yao. Kuna wakati, wanapoua, huwa wanakaa kimya, hawasemi kama ni wao wameua au siyo wao, lakini hata mara moja hawajawahi kusema uwongo.Yuko wapi huyo kamanda tuone hata maiti Yake tu maana Muyahudi akikwambia sahizi ni usiku inabidi utoke nje ukathibitishe hakuna watu waongo duniani kama hao jamaa
Hivi ninyi wavaa vipedo na makobazi kwenye vijiwe vyenu vya kahawa mnachanganyiwa na msuba manake si kwa upupu huu mnaoongea🤔kwenye ulimwengu wao,Netanyahu org alishauawa na Hezbollah,Netanyahu unaemuona ni cloning.
mkuu wa majeshi wa UDF kauawa jana,utake muona ni cloning.
very useless bhantus.
Nimeomba hapa picha ya maiti ya huyu kamanda aliyeuwawa wa Hezbollah naona unaniletea mipasho tu hapa.Umesema uwongo. Wayahudi, hata mara moja hawasemi uwongo juu ya waliowaua au askari wao wanapouawa. Tena huwa wanataja mpaka majina yao. Kuna wakati, wanapoua, huwa wanakaa kimya, hawasemi kama ni wao wameua au siyo wao, lakini hata mara moja hawajawahi kusema uwongo.
Kama unaamini huwa wanasema uwongo, ebu leta uthibitisho.
Kila siku Israel anachezea kichapo kutoka kwa Hezbollah licha ya kutangaza kuuwa makamanda sasa najiuliza hii ya kuuwa makamanda ambao hawaonekani Wala hakuna ushahidi inawasaidia Nini?😂Na kawakamata mapunguani wengi hahahaha mpaka leo wanaamini alipigana vita siku 3 na waarabu wote akashindq😀
Kwa hiyo bila yeye makombora hawezi kurushwa tena Israel😀