Jeshi la Israel IDF lafichua handaki jipya la Hezbollah lililochimimbwa chini ya makao makuu ya majeshi ya Umoja Wa Mataifa (UNFIL)

Jeshi la Israel IDF lafichua handaki jipya la Hezbollah lililochimimbwa chini ya makao makuu ya majeshi ya Umoja Wa Mataifa (UNFIL)

Kashishi yetu

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2014
Posts
3,509
Reaction score
3,741
IDF yagundua handaki lenye Vifaa vya kivita ambayo vingetumika kufanya uvamizi na mauaji makubwa kwa Raia wa Israel.

Handaki hilo lililochimbwa na Hezbollah kutoka kusini mwa Lebanon (Ramya) liligunduliwa na IDF likiwa limechimbwa chini ya makao ya majeshi ya UNIFIL

Handaki hilo Lilikuwa na urefu wa takriban kilomita 1.5 na kina cha mita 80 huku wengi wakishuku kuwa lengo la handaki hilo lilikuwa ni kuingia Israel kwa ajili ya utekaji nyara wa wananchi wa Israel na kufanya mashambulizi.

IDF.png
==============================================

Breaking: The IDF has revealed massive, heavily fortified Hezbollah tunnels were found just meters away from UNIFIL posts in Southern Lebanon.

UNIFIL's sole mandate was to ensure Hezbollah remained north of the Litani River. They completely failed their sole job.

Source: Washington Post
 
IDF yagundua handaki lenye Vifaa vya kivita ambayo vingetumika kufanya uvamizi na mauaji makubwa kwa Raia wa Israel.

Handaki Hilo lipo karibu kabisa na halipo Makao ya majeshi ya U.N.
We usiwe bwege si kila anacho ongea Israel unamini , leo week nzima wanaleta propoganda. Mara tumeshika silaha, mara tumeteka mwana mgambo wa Hezbullah, mara tumepata tunnel hizo zote ni fake video. Wakiweka silaha na vitanda na picture ya Nasurlah si kwamba wako Lebanon. Mimi na kuhakikishia Israel kila akisogea 250 meter au hata nusu kilometer wanafurushwa. Hio itakuwa bollywood movie labda 😄

Kuna mabwege humu walisema Hezbullah anaomba ceasefire na kusema mambo ya Gaza hayamuhusu. Leo kiongozi wa Hezbullah Naim Al Qassem anasema Gaza hawawezi kuiwacha hata siku moja, mnataka ceasefire simamisheni vita hamtaki sisi tutamshinda Israel.
 
IDF yagundua handaki lenye Vifaa vya kivita ambayo vingetumika kufanya uvamizi na mauaji makubwa kwa Raia wa Israel.

Handaki hilo lililochimbwa na Hezbollah kutoka kusini mwa Lebanon (Ramya) liligunduliwa na IDF likiwa limechimbwa chini ya makao ya majeshi ya UNIFIL

Handaki hilo Lilikuwa na urefu wa takriban kilomita 1.5 na kina cha mita 80 huku wengi wakishuku kuwa lengo la handaki hilo lilikuwa ni kuingia Israel kwa ajili ya utekaji nyara wa wananchi wa Israel na kufanya mashambulizi.

==============================================

Breaking: The IDF has revealed massive, heavily fortified Hezbollah tunnels were found just meters away from UNIFIL posts in Southern Lebanon.

UNIFIL's sole mandate was to ensure Hezbollah remained north of the Litani River. They completely failed their sole job.

Source: Washington Post
Picha kama hizi Israel ilizirusha ICJ ikidai kuwa mahandaki yameungana na hospitali.
Wajuba wakakaa na kuzichunguza na kukuta ni staged video and photos yani za kutengenezwa.
Yani hata kwa macho yako huoni ni za kuunga unga we jamaa!?
Akili zako zinatumia akili!?
 
Picha kama hizi Israel ilizirusha ICJ ikidai kuwa mahandaki yameungana na hospitali.
Wajuba wakakaa na kuzichunguza na kukuta ni staged video and photos yani za kutengenezwa.
Yani hata kwa macho yako huoni ni za kuunga unga we jamaa!?
Akili zako zinatumia akili!?
Nenda YouTube kajionee live
 
Picha kama hizi Israel ilizirusha ICJ ikidai kuwa mahandaki yameungana na hospitali.
Wajuba wakakaa na kuzichunguza na kukuta ni staged video and photos yani za kutengenezwa.
Yani hata kwa macho yako huoni ni za kuunga unga we jamaa!?
Akili zako zinatumia akili!?
Kishapata chakuandika Jf,huo muda wa kuangalia na akili ya kutafakari anavitolea wapi!?
 
Niliposikia Netanyahu akiliomba jeshi la UN kuondoka pale nilijua tu jamaa kuna kitu wamekiona. Magaidi wote huaga wanatumia either makazi ya watu, public areas kama shule, hospitals kama shield zao; Sadam Hussein alifanya sana hi kwa vita ile ya mwaka 1990, Hamas na Hezbollah wamekua wanafanya sana hizi mamboz. But again najaribu tu kufikiria, hata ningekua mimi ndio kiongozi wao, hope ningefanya hivo hivo ili kupata sympathy kwa jumuia za kimataifa. Adui yako aonekane kua ni katiri, anaua watoto, wanawake na wagonjwa. Iran na Iraq pia wamefanya sana haya wakati wanapigana wao kwa wao
 
IDF yagundua handaki lenye Vifaa vya kivita ambayo vingetumika kufanya uvamizi na mauaji makubwa kwa Raia wa Israel.

Handaki hilo lililochimbwa na Hezbollah kutoka kusini mwa Lebanon (Ramya) liligunduliwa na IDF likiwa limechimbwa chini ya makao ya majeshi ya UNIFIL

Handaki hilo Lilikuwa na urefu wa takriban kilomita 1.5 na kina cha mita 80 huku wengi wakishuku kuwa lengo la handaki hilo lilikuwa ni kuingia Israel kwa ajili ya utekaji nyara wa wananchi wa Israel na kufanya mashambulizi.

==============================================

Breaking: The IDF has revealed massive, heavily fortified Hezbollah tunnels were found just meters away from UNIFIL posts in Southern Lebanon.

UNIFIL's sole mandate was to ensure Hezbollah remained north of the Litani River. They completely failed their sole job.

Source: Washington Post
Hivi na wewe kwa akili yako hadi leo bado unaamini story za kijuha za waisrael ,kweli na wewe hamnazo
Hawa walipiga hospital wakadnganya kambi ya hamas ,huku roastrer ya hospital wakawa wameisahau ukutani ,dunia nzima ikawadharau,
Hawa jamaa hawaaminiki tena uongo wao kila mtu ameshaushtukia, na ndio maana hawataki vyombo vya habari ,wajinga sana
 
Hao waisrael wameanza propaganda zao baada ya kuwajeruhi askari wa UN.

Ni mchezo uleule waliotumia kuhalalisha kupiga mahospitali huko Gaza kwa kusema kuwa chini ya hospitali kuna tunnels na command centres za HAMAS
 
IDF yagundua handaki lenye Vifaa vya kivita ambayo vingetumika kufanya uvamizi na mauaji makubwa kwa Raia wa Israel.

Handaki hilo lililochimbwa na Hezbollah kutoka kusini mwa Lebanon (Ramya) liligunduliwa na IDF likiwa limechimbwa chini ya makao ya majeshi ya UNIFIL
Kwa hapa kwetu habari ingesema Saa Mia amegundua handaki
 
Wapagazi wa waarabu kamwe hawawezi katu kukubali tuhuma yoyote inayoelekezwa kwa mabwana zao waarabu ambao wanaamini kabisa kwamba bila hao waarabu wasingemjua huyo mungu wao wanayemuabudu.

Kwao wanaamini kabisa kwamba ni mwarabu ndio amefanya wamjue mungu wao anayeitwa allah.

To them the Arabs are the infallible creatures worthy of being venerated. This conviction on the infallibility of the arabs is mostly prevalent in Africans than any community in the world.

Such attitudes as demonstrated by Africans obviously leave a lot to be questioned on the IQ rating of us Africans.
 
Back
Top Bottom