Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
IDF yagundua handaki lenye Vifaa vya kivita ambayo vingetumika kufanya uvamizi na mauaji makubwa kwa Raia wa Israel.
Handaki hilo lililochimbwa na Hezbollah kutoka kusini mwa Lebanon (Ramya) liligunduliwa na IDF likiwa limechimbwa chini ya makao ya majeshi ya UNIFIL
Handaki hilo Lilikuwa na urefu wa takriban kilomita 1.5 na kina cha mita 80 huku wengi wakishuku kuwa lengo la handaki hilo lilikuwa ni kuingia Israel kwa ajili ya utekaji nyara wa wananchi wa Israel na kufanya mashambulizi.
==============================================
Breaking: The IDF has revealed massive, heavily fortified Hezbollah tunnels were found just meters away from UNIFIL posts in Southern Lebanon.
UNIFIL's sole mandate was to ensure Hezbollah remained north of the Litani River. They completely failed their sole job.
Source: Washington Post
Handaki hilo lililochimbwa na Hezbollah kutoka kusini mwa Lebanon (Ramya) liligunduliwa na IDF likiwa limechimbwa chini ya makao ya majeshi ya UNIFIL
Handaki hilo Lilikuwa na urefu wa takriban kilomita 1.5 na kina cha mita 80 huku wengi wakishuku kuwa lengo la handaki hilo lilikuwa ni kuingia Israel kwa ajili ya utekaji nyara wa wananchi wa Israel na kufanya mashambulizi.
Breaking: The IDF has revealed massive, heavily fortified Hezbollah tunnels were found just meters away from UNIFIL posts in Southern Lebanon.
UNIFIL's sole mandate was to ensure Hezbollah remained north of the Litani River. They completely failed their sole job.
Source: Washington Post