Jeshi la Israel laazimia kusambaratisha kitengo 127 cha uzalishaji na uendeshaji wa drone cha Hezbollah pamoja na kuua makamanda wote

Licha kwamba wanakuwa wanauliwa maelfu kwa maelfu?
Maelfu tu? Malaki na mamilioni sasa, zaidi ya miaka 75. Sasa hivi ndiyo afadhali kwa kuwa na wao wanajitutumuwa, walikuwa wanauliwa na kuburuzwa kama kuku tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…