Jeshi la Israel lafanya mashambulizi makubwa huko nchini Yemen na kusambaratisha kinu cha kuzalisha umeme na bandari

Jeshi la Israel lafanya mashambulizi makubwa huko nchini Yemen na kusambaratisha kinu cha kuzalisha umeme na bandari

Namkubali sana Putin. Alisema kazi yake ni kuwawahisha magaid kwa Mungu.
Bila kumsahau netanyau alishaapa magaid yote atayawahisha jehanamu wakapambe na bikra 72 na kuogelea kwenye mito ya pombe
 
WAO WANAONANA NA MABIKIRA WAKIFA SISI TUTAMWONA MUNGU

HAIPOI MPAKA IISHE

WAMEZOEA KUCHEZA NA TAIFA LA MUNGU
 
kinachofwata
Wataelewa tu
C2 mmenielewa
 

Attachments

  • 1727617188224.jpg
    1727617188224.jpg
    104.7 KB · Views: 2
  • 1727316022114.jpg
    1727316022114.jpg
    91.3 KB · Views: 1
Wakamfwate kiboko ya wachawi awaombee else kipigo akiishi
 
Muislam yeyote yule anayekufa akitetea mali yake ni shahidi, anayekufa akitetea maisha yake ni shahidi, anayekufa akitetea imani yake ni shahidi, na anayekufa akitetea familia yake ni shahidi." — (Sahih Muslim, Hadith 141)
Shahidi wa nini sasa?
 
Hamna target alizo pata Al Houth walisha hamisha mafuta, na kupiga umeme yeye kapigiwa huko Asqalan pia sa ajabu ipo wapi. Kitu muhimu Yemen hajawahi kushindwa vita mtalipata jibu karibuni.

Kule Lebanon kulikuwa na body guard mmoja ndio alikuwa anauza siri kwa pesa tena body guard wa Nasurlah, na kuna Jasusi wa Iran anatafutwa. Bada ya hapo Israel atachezea kichapo. Huyu kiongozi wa Sasa Seif Al Din atavunja majumba ya Israel watamkumbuka Nasurlah alikuwa ana imani hukutaka wapigwe civilian. Leo walijidai kuingiza ground force wamekipata sidhani kama watasubutu tena
Aya maneno uwa ni ya kitoto sana wewe hii vita unafaidika nayo vipi kama ni mambo ya Udini kwanini usikemee waafrika wenzio wanauana hapo SUDAN
 
Nchi za magharibi zimeamua kumaliza mgogoro wa mashariki ya kati haraka haraka ili kusudi waendelee na Russia na Ukraine.

Wanahitaji ku concentrate na Russia.
Migogoro ya ME ni kama ilikuwa mzigo kwao, ngoja wautue kwanza.
Huwezi kuitua middle east hata siku moja hilo wanajidanganya tatizo wao wanakimbia mita mia wenzao kina houth wanakimbia marathon hivyo kiuchumi Israel ijiangalia sana litakua taifa la kupewa tu kutoka ulaya na Marekani. Hizi mbwembwe wala houth hakua na interest nae aache uonevu kwa raia wa gaza uone nani atamsumbua
 
Huwezi kuitua middle east hata siku moja hilo wanajidanganya tatizo wao wanakimbia mita mia wenzao kina houth wanakimbia marathon hivyo kiuchumi Israel ijiangalia sana litakua taifa la kupewa tu kutoka ulaya na Marekani. Hizi mbwembwe wala houth hakua na interest nae aache uonevu kwa raia wa gaza uone nani atamsumbua
Ngoja tuone..
Mgogoro wa ME ulikuwa unakuja juu sana, nakubali hawawezi kuumaliza lakini kuna muda wanaweza kutuliza...
 
Wadau hamjamboni nyote?

Haipoi hadi ipoe

Moto na moshi vimeonekana vikiongezeka kwa mbali katika video iliyorekodiwa Yemen kufuatia shambulio la Israeli kwenye bandari ya Hodeidah inayodhibitiwa na Wahouthi, Septemba 29, 2024.

IDF imethibitisha kuanzisha mashambulizi ya anga dhidi ya Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen muda mfupi uliopita.

Kulingana na IDF, ndege kadhaa za Jeshi la Anga la Israeli, zikiwemo ndege za kivita, za kuongezea mafuta, na za upelelezi, zilishiriki katika mashambulizi hayo yaumbali wa takriban kilomita 1,800 kutoka Israel.

Mashambulizi hayo yalilenga maeneo yanayotumiwa na utawala wa Houthi kwa madhumuni ya kijeshi katika bandari ya Hodeidah na bandari ya Ras Isa iliyo karibu magharibi mwa Yemen, IDF imesema.

"IDF ilishambulia mitambo ya umeme na bandari, ambazo zinatumika kuingiza mafuta. Kupitia miundombinu na bandari zinazolengwa, utawala wa Houthi unahamisha silaha za Iran kwenye eneo hilo, na vifaa vya kijeshi, ikiwemo mafuta," jeshi limesema.

IDF imesema mashambulizi hayo yalifanyika kujibu mashambulizi ya makombora ya balistiki ya hivi karibuni ya Wahouthi dhidi ya Israel, ikiwemo matatu mwezi huu.

====================================================

Fire and smoke can be seen rising in the distance in a video captured in Yemen following an Israeli strike on the Houthi-controlled Hodeidah port, September 29, 2024. (Screenshot, X, used in accordance with Clause 27a of the Copyright Law)
The IDF confirms launching airstrikes against the Iran-backed Houthis in Yemen a short while ago.

According to the military, dozens of Israeli Air Force aircraft, including fighter jets, refuelers, and spy planes, participated in the strikes some 1,800 kilometers from Israel.

Fire and smoke can be seen rising in the distance in a video captured in Yemen following an Israeli strike on the Houthi-controlled Hodeidah port, September 29, 2024. (Screenshot, X, used in accordance with Clause 27a of the Copyright Law)

The strikes targeted sites used by the Houthi regime for military purposes at Hodeidah and the nearby Ras Isa port in western Yemen, the IDF says.

“The IDF attacked power plants and a port, which are used to import oil. Through the targeted infrastructure and ports, the Houthi regime transfers Iranian weapons to the region, and supplies for military purposes, including oil,” the military says.

The IDF says the strikes were carried out in response to the Houthis recent ballistic missile attacks on Israel, including three this month
Hakuna maafa yeyote wala kifo wala majeruhi.
Na silaha ziko salama pamoja na bidhaa nyingine.
Hii siyo mara ya kwanza Israel analipua hapo Hodeidah.
Ni mara ya tatu kama sijakosea.
Subirini majibu kutoka Yemeni yanakuja hivi punde.
 
Mkuu kwa namna hii wanayofanya ni sawa na kutia mafuta kwenye moto.
Huu mgogoro unaenda kukua zaidi wala hautapooza.
Kuna nadharia nyingi, japo nahisi itakuwa NATO wanaivuta Iran kuangalia mgogoro wa ME zaidi na kuachana na mgogoro wa Russia. Iran ilishaonekana threat kule... Sasa sijui North Korea itakuwaje...

Lakini pia inawezekana wakafanikiwa kuwatuliza Hezbollah kwa muda kwa sababu hadi hivi sasa hata wao kwa wao hawaaminiani, kupanga mikakati ya mashambulizi kwa siri hawajiamini tena... Morali ya vita pia imeshuka... Hivyo itawachukua muda kujipanga...

Kutuliza mgogoro wa ME kwa muda ni kuwafanya US wapumue kidogo kwa kile kiendeleacho East Europe Russo War.....

Nadhani lakini, wale jamaa hawakurupuki... Kuna malengo wanayo
 
Back
Top Bottom