Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Jeshi la Israel lapiga picha wakiwa ndani ya jengo la Bunge Gaza

Kipindi wanaingia gaza kiongozi wao Netanyau alisema wameenda kuiangamiza hamas na kurudisha mateka nyumbani na sio kwenda kupiga picha.

Wewe si ulisema hawawezi ingia gaza na kama wakiingia hawatoki wakiwa hai,vipi allah yukowapi kutoa msaada au amekufa au hana masikio au hana macho. ?
 
Wangekuwa wanatoa hicho kipigo kwa Hamas mpaka sasa hivi kusingekuwa na vita na hamas ingekuwa imeangamizwa maana hamas ni kundi dogo sana ukilinganisha na nguvu alizo tumia kuishambulia gaza mpaka sasa, hii ina maana ya kuwa mashambulizi yake mengi hayawaathiri hamas bali raia wa kawaida.

Lengo ni kusafisha kabisa elements za kigaidi miongoni mwa wana gaza,na kuchukua ardhi ya gaza iwe chini ya israel. Pole sana gaidi
 
Hii vita haijaisha ,Hamas sio wajinga kama ninyi wapuuzi wengi mnavyofikiri
Gaza itakuwa graveyard ya wazayuni , hapatakalika hapo na patakuwa mwiba always kwa mvamizi wa Kizayuni

Mzayuni atakuwa anapigana na ghosts ,we subiri uone .
Hamna mvamizi wa kizayuni atakayetoka salama hapo , hiyo ni zaidi ya urban warfare

Hizi taarabu tumezizoea sana,gaidi lazima muuwawe.
 
Apartheid regime ya wazayuni haitaweza kuconqure Gaza hata siku moja ,ni mwendawazimu tu ndio atafikifiri hivyo ,ile breed ya raia wa kipalestina waliopo pale ni tofauti na wale mamluki wa kule westbank waliokubali kuongozwa na kibaraka wa wazayuni (Mahmoud Abbas ) huku wakiendelea kuteseka kila siku na ukandamizaji na dhulma za makaburu wa Kizayuni
Wale mtoto anazaliwa ana experience struggles dhidi ya wazayuni mpaka kukua ,
We unategemea huyo mtu atakubali vipi ku compromise na washenzi wazayuni .
An eye for an eye

Kumbe ndio mana israel hawakutazama yupi wa kumangamiza mana yote ni magaidi sio watoto,si wazee,si wanawake. Hakika magaidi lazima yaangamizwe
 
Hahaha Yesu...Hibi kwanini tusimuombe mungu ?kwanini tumsifie na kumuomba yesu amabaye ni binadamm aliyezaliwa na mama kama sisi

Uliza vzr ueleweshwe,hata waislam wanasubiri ujio wa Kristo.
 
Wewe si ulisema hawawezi ingia gaza na kama wakiingia hawatoki wakiwa hai,vipi allah yukowapi kutoa msaada au amekufa au hana masikio au hana macho. ?
Ww mungu wako wako yehova mbona ameshindwa kukusaidia kutoa upumbavu ndani ya kichwa chako , badala yake ame kufanya kuwa chanzo cha mapato ya mwamposa?
 
Ww mungu wako wako yehova mbona ameshindwa kukusaidia kutoa upumbavu ndani ya kichwa chako , badala yake ame kufanya kuwa chanzo cha mapato ya mwamposa?

Uzuri kwa mwamposa ni mtakuja tupo na maostadh kibao tuna kanyaga mafuta kribu sana mkuu,allah ni mungu mfu ndio mana kila vita anashindwa.
 
Back
Top Bottom