Jeshi la Israel latangaza msako mkali wa Mohamed Sinwar ambaye ni kaka wa Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar aliyeuawa Oktoba 17, 2024 Gaza

Jeshi la Israel latangaza msako mkali wa Mohamed Sinwar ambaye ni kaka wa Kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar aliyeuawa Oktoba 17, 2024 Gaza

Kila mmoja pale myahud Israel na Arab Palestine ana amini anapigania haki Yake ndo shida ilipo, Kuishi kwa Amani na Upendo hawataki na kila mmoja kwa upande wake akahamia kwenye sheria za musa jino kwa jino Kibaya Zaid ktk Sheria za Musa hakunaga mshindi Zaid NI kumalizana tuuu
Historia itawahukumu wazayuni kwa hichi kinachoendelea, tabia ya kila taifa likifikia upeo wa dhuluma huwa linafutika katika uso wa ardhi.
 
Sina wali kauliwa kibos acheni kabisa kwenye kijisofa chake mwenyewe na gongo pembeni la kutungulia droni
 
Haha kizungu chako hata mtoto wa primary anakushinda 😄

Ongea tu kiswahili bora ili ufiche aibu zako. Tabu upo kutengeneza majina kila kukicha hapa JF sa ngapi utapata akili.
Hahaha hahaha hahaha huhuhu. Yahya Sinwar is dead and there's nothing you can do even Arab god allah can't do anything bcoz allah is hopeless and helpless.

Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom