Jeshi la Israel laua Makamanda wawili waandamizi kundi la magaidi ya Hezbollah Lebanon, walihusika na makombora maalumu ya kulipua vifaru

Jeshi la Israel laua Makamanda wawili waandamizi kundi la magaidi ya Hezbollah Lebanon, walihusika na makombora maalumu ya kulipua vifaru

Hezbollah ilianzishwa kama guerilla movement, bila shaka movement yao wameisuka kuhimili scenario ya uongozi wa juu kuhujumiwa na israel
Huo "msuko" wa movement yao sio sustainable kwani kila atakayeitwa ni kiongozi atakuwa ni marehemu anayetembea.
 
Hiyo ni vita, wewe, tena kuna upande wapihanaji wao wanavaa kiraia, wanajificha na kujicuanganya na raia majumbani hata kambo zao ni makaazi ya raia. Hapo wewe ulitakaje?
Yeah. Kila aina ya mbinu hutumika ili mpiganaji a-survive. Hakuna shujaa wa kifo. Hiyo ipo kote hata Mrusi na umwamba wake huitumia hali inapokuwa ni tete.
 
Makamanda waandamizi hawaishi hizbullah,kila siku wauawa
Mkuu; uwe mkweli. Hakuwezi kukawa na indefinite Number ya makamanda waandamizi. Mbona wameweza kuhesabu idadi ya wapiganaji walio nao e.g. kwa mujibu wa marehemu H. Nasrallah, Okt.2021 walikuwa 100,000. Inakuwaje hao makamanda ambao kwa kawaida huwa ni wachache wasihesabike?. Kumbuka hao wote ni marehemu wanaotembea.
 
Mkuu; uwe mkweli. Hakuwezi kukawa na indefinite Number ya makamanda waandamizi. Mbona wameweza kuhesabu idadi ya wapiganaji walio nao e.g. kwa mujibu wa marehemu H. Nasrallah, Okt.2021 walikuwa 100,000. Inakuwaje hao makamanda ambao kwa kawaida huwa ni wachache wasihesabike?. Kumbuka hao wote ni marehemu wanaotembea.
Uliona video ya netanyahu akikimbilia ndani ya bunker chini kabisa wakati vyuma vya Iran viko angani!?..kila mtu marehem mtarajiwa,Iran kishabadili kanuni za mchezo
 
Uyo jamaa msipomuwai kila siku yy kamanda mkuu aneusika! Wakuu wapowangapi apo hezbollah kamanda mkuu uyu jamaaa anatupiga na story zake. Tusishangae akija na kamanda mkuu anausika na misosi awa jamaa zetu tuwape pole Iran kawapiga na kitu kizito kichwani wote kwanzia uko Israel adi awa wakwetu tu kwasasa baadhii yao wanona aibu kuingia umu chunguzeni majina baadhi atuwaoni wengine wanajitokezs kwa shidaaa na akiaandika utaona bado ayupo sawa Iran kasambalatisha miongo miongo umu wengine wamebadili ID waje tusiwajue kazi yote vijana shupavu wakiIran bado wanaamini Israel ety atajibu mtu akupigie km2000 + tukomboro tumetembeya dakika 8 tu. Afu kalenga shabaa zote alizotaka. Mimi nasubili nisikie hezbollah wameanza kuchukua miji namm niende nishaandaa kanzu kilemba kobaz mwarabu wakiwakamata waisrael wale mabint tunagawana narudi na totoz la kiIsrael tena nipampa jina la mwajuma uyu mwajuma wangu simuelewi adi Leo kanifungia vioo. Akija kushtuka atajibeba mm macho duah kwa hezbollah kanyaga twende tuwawowe tu na kilanga Chao watoke ulaya waje kutuulia watoto wetu mid est, mwarabu alishajua dawa yakilanga wakike wote tunagawana tunawazalisha watoto wetu waliouliwa na mabwana zao baba zao kaka zao shubamit tutawazaa upya watoto wetu kupitia mabint zao.❤️ wazungu awawajui waharabu mila zao
 
Back
Top Bottom