Jeshi la Israel walichokutana nacho kambi ya Jabalia ni lazima wakimbie. Rafah itakuwa ni hivyo hivyo

Jeshi la Israel walichokutana nacho kambi ya Jabalia ni lazima wakimbie. Rafah itakuwa ni hivyo hivyo

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Taarifa za kivita zimeonesha kuwa wiki tatu za mapigano kwenye kambi ya Jabalia kaskazini ya Gaza ni moja ya mapambano makali vikosi vya Israel ilivyokutana navyo palipokuwa hapakutarajiwa hasa ikizingatiwa jeshi hilo lilikwishatangaza ushindi awali na kujiondoa eneo hilo mara zaidi ya moja.

Kilichotokea ni wapiganaji wa Hamas kurudi eneo hilo na kutengeneza mtandao ndani ya majengo yaliyobomolewa ambapo safari hii waliweza kufanya mashambulizi kwa kasi kubwa dhidi ya vikosi vya Israel na kufanikiwa kujificha bila kuonekana na jeshi hilo.

Kasi ya mashambulizi hayo ilikuwa ni mara 341 kwa kipindi kifupi kuliko kasi ilivyokuwa mara 200 kwenye eneo la Khan Younis.

Jeshi la Israel hatimae limetangaza kuondoka eneo hilo na mara tu wakaazi wa maeneo hayo wakaonekana kujikushangya upya.

Katika tangazo lake la kujiondoa jeshi la Israel limesema limefanikiwa kuwaua wapiganaji wa Hamas zaidi ya 100 katika kipindi hicho na kujeruhi za ya 1000.

Palestinian fighters in Jabalia built ‘fortified combat complex’: Monitors

 
Israel inapigana na vijana ambao kipindi wanakua wameona maovu ya Israel, wameshuhudia ndugu zao wakiuawa kinyama na wazazi wao, hii vita imeanza miaka na miaka walipigana babu hadi sasa ni wajukuu.

Hivi vitoto vya sasa hivi ambavyo vimeshuhudia hii vita navyo vikikua ni Hamas wajao, ndio maana Israel anaua kuanzia wanawake hadi watoto.

Mioyo ya Palestinians imekufa ganzi. Wapo tayari kwa lolote.
Molari ya vita ipo juu sana kuliko IDF
 
Haina mana sababu bado mnajikinga kwenye maiti za wanawake na watoto wachanga .
 
hakuna kitu Israel wanaeza fanya kuwashinda Hamas,ni kujimwambafy tu lkn hawana kitu
Ni rahis kuongea nyuma ya keyboard huku ukiwa unajamba maharage uliyokula jana. Wewe hapo una uhuru hta wakupiga punyeto , wenzio wapalestina hawwna uhuru.
Hao unaowashabikia kwanza magaidi wanajificha kwenye miamvuli ya wanawake na watoto, embu fikiria majuzi makamanda wawili wa ngaz ya juu ya magaidi wameuliwa ila hao mbwa wameondoka na maiti za wanawake watoto na wanaume zaidi ya 50..na israel itaendelea kuua magaidi hata kama wakiendelea kujificha chini ya wanawake na watoto
 
Taarifa za kivita zimeonesha kuwa wiki tatu za mapigano kwenye kambi ya Jabalia kaskazini ya Gaza ni moja ya mapambano makali vikosi vya Israel ilivyokutana navyo palipokuwa hapakutarajiwa hasa ikizingatiwa jeshi hilo lilikwishatangaza ushindi awali na kujiondoa eneo hilo mara zaidi ya moja.

Kilichotokea ni wapiganaji wa Hamas kurudi eneo hilo na kutengeneza mtandao ndani ya majengo yaliyobomolewa ambapo safari hii waliweza kufanya mashambulizi kwa kasi kubwa dhidi ya vikosi vya Israel na kufanikiwa kujificha bila kuonekana na jeshi hilo.

Kasi ya mashambulizi hayo ilikuwa ni mara 341 kwa kipindi kifupi kuliko kasi ilivyokuwa mara 200 kwenye eneo la Khan Younis.

Jeshi la Israel hatimae limetangaza kuondoka eneo hilo na mara tu wakaazi wa maeneo hayo wakaonekana kujikushangya upya.

Katika tangazo lake la kujiondoa jeshi la Israel limesema limefanikiwa kuwaua wapiganaji wa Hamas zaidi ya 100 katika kipindi hicho na kujeruhi za ya 1000.

Palestinian fighters in Jabalia built ‘fortified combat complex’: Monitors

Matoto ya kipalestina future terrorists na wanawake wanaokubali kubebeshwa mimba na kuwazaa hawa magaidi wakiendelea kuuliwa (justified/legal killings) usije hapa kuendelea kulialia huku umebanamarinda.

R.I.P wakulima namba moja brothers in christ Clemence Mtenga na Joshua mollel.

NO MERCY
 
Haya mambo ya vita yaishe sasa naona sehemu zote zenye machafuko Duniani wananchi wasio na hatia ndio wanaoteseka,!
 
Israel inapigana na vijana ambao kipindi wanakua wameona maovu ya Israel, wameshuhudia ndugu zao wakiuawa kinyama na wazazi wao, hii vita imeanza miaka na miaka walipigana babu hadi sasa ni wajukuu.

Hivi vitoto vya sasa hivi ambavyo vimeshuhudia hii vita navyo vikikua ni Hamas wajao, ndio maana Israel anaua kuanzia wanawake hadi watoto.

Mioyo ya Palestinians imekufa ganzi. Wapo tayari kwa lolote.
Molari ya vita ipo juu sana kuliko IDF
Aaaahh waaapiii wewe mgalatia uchwara judas brutus

Sir John Roberts Kambaku
 
Israel inapigana na vijana ambao kipindi wanakua wameona maovu ya Israel, wameshuhudia ndugu zao wakiuawa kinyama na wazazi wao, hii vita imeanza miaka na miaka walipigana babu hadi sasa ni wajukuu.

Hivi vitoto vya sasa hivi ambavyo vimeshuhudia hii vita navyo vikikua ni Hamas wajao, ndio maana Israel anaua kuanzia wanawake hadi watoto.

Mioyo ya Palestinians imekufa ganzi. Wapo tayari kwa lolote.
Molari ya vita ipo juu sana kuliko IDF
Jeshi la Israel ni age ya 20 - 22 Inashangaza wanavyotoa kipondo
 
Taarifa za kivita zimeonesha kuwa wiki tatu za mapigano kwenye kambi ya Jabalia kaskazini ya Gaza ni moja ya mapambano makali vikosi vya Israel ilivyokutana navyo palipokuwa hapakutarajiwa hasa ikizingatiwa jeshi hilo lilikwishatangaza ushindi awali na kujiondoa eneo hilo mara zaidi ya moja.

Kilichotokea ni wapiganaji wa Hamas kurudi eneo hilo na kutengeneza mtandao ndani ya majengo yaliyobomolewa ambapo safari hii waliweza kufanya mashambulizi kwa kasi kubwa dhidi ya vikosi vya Israel na kufanikiwa kujificha bila kuonekana na jeshi hilo.

Kasi ya mashambulizi hayo ilikuwa ni mara 341 kwa kipindi kifupi kuliko kasi ilivyokuwa mara 200 kwenye eneo la Khan Younis.

Jeshi la Israel hatimae limetangaza kuondoka eneo hilo na mara tu wakaazi wa maeneo hayo wakaonekana kujikushangya upya.

Katika tangazo lake la kujiondoa jeshi la Israel limesema limefanikiwa kuwaua wapiganaji wa Hamas zaidi ya 100 katika kipindi hicho na kujeruhi za ya 1000.

Palestinian fighters in Jabalia built ‘fortified combat complex’: Monitors

Ahsante kwa kukiri kwamba Zaid ya Hamas 100 waliuwawa hiyo inatosha
 
hakuna kitu Israel wanaeza fanya kuwashinda Hamas,ni kujimwambafy tu lkn hawana kitu
Wanakuwa na papara ya kutangaza ushindi halafu wanaondoka.Ni dalili ya kuchanganyikiwa kivita.
Mamboa kama hayo hatujayasikia Ukraine.
 
Ahsante kwa kukiri kwamba Zaid ya Hamas 100 waliuwawa hiyo inatosha
Wiki tatu wameua 100 tu.Kwani unajua walikuwa wangapi kabla.Na unajua hasara iliyopata Israel inayoificha hata wakaamua bora waondoke.Kumbuka jeshi la Israel linapiga kwa kutumia silaha nzito sana za kila aina na wanapiga kwa hasira sana..Idadi ya 100 ni ushahidi kuwa Hamas waliweza kukwepa kwa ustadi mkubwa mashambulizi ya hasira ya Israel.
Hao Hamas waliobaki nani atawazuia kuwavizia tena IDF.
 
Israel vita gani alipigana peke yake hio sijui wanasema 6days war walisaidiwa na King wa Jordan kuvujisha siri za majeshi ya kiarabu, pia USA na Europe walimsaidia ni uwongo sana eti aliwapiga warabu bila USA na Europe

Hao hawawezi vita na hata hi vita na Hamasi jeshi la America, uingereza, wafaransa, wajeruman, wahindi, Canada wengine pia warabu walimsaidia Israel na hawakuweza ku.shindaHamasi.
 
Taarifa za kivita zimeonesha kuwa wiki tatu za mapigano kwenye kambi ya Jabalia kaskazini ya Gaza ni moja ya mapambano makali vikosi vya Israel ilivyokutana navyo palipokuwa hapakutarajiwa hasa ikizingatiwa jeshi hilo lilikwishatangaza ushindi awali na kujiondoa eneo hilo mara zaidi ya moja.

Kilichotokea ni wapiganaji wa Hamas kurudi eneo hilo na kutengeneza mtandao ndani ya majengo yaliyobomolewa ambapo safari hii waliweza kufanya mashambulizi kwa kasi kubwa dhidi ya vikosi vya Israel na kufanikiwa kujificha bila kuonekana na jeshi hilo.

Kasi ya mashambulizi hayo ilikuwa ni mara 341 kwa kipindi kifupi kuliko kasi ilivyokuwa mara 200 kwenye eneo la Khan Younis.

Jeshi la Israel hatimae limetangaza kuondoka eneo hilo na mara tu wakaazi wa maeneo hayo wakaonekana kujikushangya upya.

Katika tangazo lake la kujiondoa jeshi la Israel limesema limefanikiwa kuwaua wapiganaji wa Hamas zaidi ya 100 katika kipindi hicho na kujeruhi za ya 1000.

Palestinian fighters in Jabalia built ‘fortified combat complex’: Monitors

We eneo la tukio?
 
Back
Top Bottom