Jeshi la Kenya laanza kufuatilia mienendo ya makanali wake

Jeshi la Kenya laanza kufuatilia mienendo ya makanali wake

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Jeshi la Kenya (KDF) linafana juu chini kuhakikisha kila Askari mwenye cheo Cha kanali hawezi kupiga chafya bila rais na amir Jeshi mkuu wa nchi hiyo kupewa taarifa.

Sababu kubwa ya rais kuongeza umakini huo ni baada ya mapinduzi kadhaa yaliyotokea Afrika magharibi mengi yao yaliongozwa na makanali.

Kuna tetesi kuwa asilimia kubwa ya wananchi na wanajeshi hawana Imani na rais wao hasa baada ya kuanza kusaini mikataba ya ovyo ya kuiuza nchi kwa waarabu bila huruma.

Sasa hivi simu zote za makanali zinadukuliwa kuhakikisha hawaleti tafrani patashka.
 
Ili kuepuka huo wasiwasi ni kusaini mikataba yanye manufaa kwa nchi na siyo kunufaisha mwekezaji huku wazawa wakifilisiwa kama ile nchi ya kusini inavyouzwa.wakenya htutaki uhuni wa kuuza nchi
 
Yani Tanzania uhuru wa habari mnaogopa CCM hadi mambo ya kwenu mnasema ni Kenya eti. Title kamili ya huu uzi ingekua
"JESHI LA TANZANIA LAANZA KUFUATILIA MIE NENDO YA MAKANALI WAKE"

only ccm ndio wanaogopa coup sababu kusema ukweli wameoverstay kwa power for more than 60 years... ingekua kenya tayari coup against ccm ingefanyika 90's. Risasi baba lao haitambui
 
Back
Top Bottom