Jeshi la Kenya ladumisha uongozi wake Afrika Mashariki na Kati


Ulitaka awe mhadzabe ama msukuma?.....
 
Hawa wqatu ni waoga. Ata Kenya Police wanaweza tandika Tanzania army vibaya sana
Haya mahaba,,, sasa tena mnabishana nguvu ya jeshi la Kenya East and Central Africa sasa police mnawaingiza wa nini? Endeleeni na majeshi yenu tuachieni police watulinde na wabaya,,,,,,,, Mi nimshauri Mh. Kenyatta na Mh. Magufuli wapige mechi ili mijadala yenu ya majeshi ifungwe rasmi kama walivyopiga mechi ya kirafiki Rwanda na Uganda ktk ardhi ya DRC heshima ipo sahivi,,,,,,
 
Hatutaki kusikia hizi drama zenu za kusema mna jeshi imara kila siku Alshabab wanawatwanga kama watoto.
Tunataka kuona uimara wa jeshi lenu katika kupambana sio katika media.
wewe mjingaaa nini?
Vita aina hii huchukua zaidi ya miaka kumi kukamilika, before getting into it you should know what you are signing up for(actually we knew, including the costs) or you can also choose to bury your head in the sand and only appear during verbal wars like you guys do here.
Or you can just see how it happens around the world and compare with what Kenya is doing, kuliko kusoma tu habari ukiona ni Kenya imetajwa waja umejihami na kejeli kama zote ati just because its Kenya.
 
Malizaneni na Alshabab ndo mje hapa kelele zingine hatutaki
 
Hii Kdf ndio ile inayogombana na ngombe kule Laikipia? Hahaaaaaaaaaaa the only squad I respect ni GSU LECCE SQUAD hao ni wanomaaaaaa, waliporomosha alshabaab walikuwa wamejificha kwa singbod pale garisa university college...

Hawa wengine wanaobombiwa wakiwa wanafanya mapenzi ni bure kabisa
 
Hhheeee GSU recce huh. Dakika 12 washamaliza mchezo ndani ya garissa university. Noma sana hawa
 
BTW any attack on alshabaab huwa inafanywa na KDF.. I wonder hizo countries zingine zinafanya nini... Naskia Uganda wanataka kujiondoa Somalia pia
And that is the reason why kenya is the only nation among AMISOM contributing countries that has suffered massive casualties in the hands of HSM.
 
Haya tuonesheni sasa vifaa vyenu huko. Tunaanza na vya Tanzania.
Tuanze na hapa:-
Amphibious tanks


 
I'll believe this when I see new generation fighter jets..till then ill always say that 3/4 of the $ 1 billion is STUFFED UP IN THE BELLIES OF OUR FAT KDF GENERALS..LOOK AT KARANGI AND MWATHETHE??they look like 9 months pregnant women..
 
A100 Ballistic Missiles. Tanzania Hebu leteni za kwenu tuone.





Only in China, Pakistan and Tanzania

\

View attachment 500977



A-100 MRL - Wikipedia
Wewe hizi vitu bado zinatumika??? Yaani utakuwa na Rocket inaenda 40Km kufanya nini?? Yaani Rocket haiwezi hata toka Dar ikachapa Morogoro?? Hahahaha, Yaani Rocket ikirushwa toka Dar CBD inafika tu Pugu na hapo ndio mwisho?? Hiyo haiwezi fanya kitu kwa vita ya kisasa
 
Was there anyone Doubting that one??? ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…