Jeshi la Kenya ladumisha uongozi wake Afrika Mashariki na Kati

Kwikwikwikwi Tunaanza analysis:
Hii hapa inapiga toka Arusha mpaka Nairobi (Type 63)



 
Maximum Range ya A100 ni 230km. Halafu ipo na remote control. Nyie jileteni tu mtajua.



 
BTW any attack on alshabaab huwa inafanywa na KDF.. I wonder hizo countries zingine zinafanya nini... Naskia Uganda wanataka kujiondoa Somalia pia

Have they given reason of withdrawal.
 

Wewe acha kufananisha jeshi letu la Tanzania (TPDF) na majeshi ya nchi nyingine za Afrika mashariki. Tanzania ipo juu sana na ndiyo kinara wa ukombozi hembu someni historia.
Hawa jamaa si ndiyo walishindwa kuzibiti Alshabab wanne tu walipovamia pale Westgate au sio hawa sasa wanakuwaje zaidi ya TPDF?
 
Have they given reason of withdrawal.
Museveni akibanwa koo na wa magharibi huwa ndio anatishia kuondoa majeshi yake kutoka somalia na si mara ya kwanza kufanya hivi ashakurupuka mara kadhaa lakini baada ya masaa kadha huwa unaskia anakunusha madai hayo. Tushamzoea huyo.
 
HAHAHAHAHAAA...mitanzania hutamka al shabaab hata kushinda wasomali wenyewe, ndo maana mlikunja mkia hata jeshi lenu lenyewe mkalificha kisha mnakuja JF na kelele with no recent field deployment.
Uciguse huo moto wa jw ni habar nyingne, moto wa gec
 
[emoji15] [emoji15] kamuulize id amin

Vita vya wakati ule hauwezi kulinganisha na vya kisasa, modern warfare mziki tofauti ambao unapigana na watu wakujitoa mhanga. Wanashambulia kwa kujilipua lipua baada ya kuaminishwa uzombi wa kiaina. Kamuulize Mrusi na Mmarekani hadi leo kule Syria na Iraq wanapiga mabomu lakini wapi, mazombi yanaendelea kuongezeka.
 
Inakuaje Ethiopia yenye majeshi Amisom na iliyopakana na Somali pia haijawai kupata mashambulizi nchini kwake pamoja na bajeti yake hapa ikionyesha kua chini ya Kenya. Nadhani Kenya yafaa wajiulize sana tatizo ni ukubwa wa bajeti au ni upungufu upi wanaotumia hao Alshabab kuwashambulia Wakenya
 
Duh, hivi huwa mnareason vizuri kweli?
Do u really think USA can't stop terrorism?
Hata hao alshabab mnachezewa tu Akili zenu. Poor you !
 
Tatizo sio ukubwa Wa bajeti mkuu,
Tatizo ni Udogo Wa Akili Wa hawa majirani
 

Hawa kdf wajifananishe na vilaza wenzao Nigeria ambao wakiona boko haram hutoka nduki.
Na pia wajue ubora wa jeshi ni discipline, uingi wa vifaa ni third after team work.
 
Unajua spectators huwa wanaongea sana.. They really know how to judge things from a safe distance... Tumeni jeshi lenu Somalia najua amisom will give tz it's territory. Ndio mtajua vita ni nini.. If hamtaki kupeleka jeshi lenu kupigana Somalia atleast hata mgekuwa mnaprovide airstrike Somalia when it's needed like what Russia is doing in Syria, but pia hiyo you can't that's y unaona a country like Nigeria wanatuma jeshi yao Somalia.. All the way from West Africa... Kenya is the only country wamepewa huge territory kuchunga plus we provide all the airstrike plus drone surveillance.. Thats what's up!!!!!!!!!
 
We don't see the reason to do so.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…