Jeshi la Kenya: wakati muafaka kulinisuru taifa?

Jeshi la Kenya: wakati muafaka kulinisuru taifa?

Nimeshangaa, nahisi US wanaweza kuwa wamenusa kitu kibaya maana tone yao ya kumtaka Kibaki akubali majadiliano imebadilika ghafla. Sasa wanataka serikali ya mpito, marekebisho ya katiba pamoja taratibu za uchaguzi na hapa nadhani target ni ECK. Kwa maneno mengine wana-support madai ya ODM! Tayari Michuki ameisharopoka kwamba US wako pro-ODM na kwamba serikali haiwezi kukubaliana na hayo masharti ya ODM. Ngoja tuone mpaka mwisho wa siku kutakuwa na nini!

..keil,

..US imekasirika baada ya kuona inapuuzwa!kumbuka kuwa hawa jamaa hawapendi kudharauliwa.sasa,wapambe wa kibaki wanafanya mambo ambayo yanalikoroga badala ya kulipika!

..hebu jiulize,michuki alikuwa anawa-refer kina nani aliposema "kuna watu wanatupinga,tutawafukuza kenya"akimaanisha kuvunja mahusiano ya kibalozi!

..yeye eshajiona mtawala wa dunia!and i was wondering,hivi yeye ndiye rais wa kenya au?kwa maana hiyo statement ni nzito!huwezi mtishia mtu mzima nyau!

..simply put,kibaki alishauriwa vibaya na hawa watu[michuki & co.] na wanampeleka kubaya zaidi.

..nani anaweza kudharau reports za EU,EAC,mabalozi wa UK na US na wengine walioona nini kilichoendelea!?
 
Mambo yenyewe ndio kama haya atapona mtu kweli?

Museveni summoned General David Tinyefuza his intelligence supremo and gave him the task of planning the mission.

Tinyefuza assembled some spies of the ESO and ISO and they moved in. Military Police were also involved and when they reached the border crossing at Busia, they removed their red toupees and donned the uniform of Kenya's GSU security force.

The Kenya High Commission in Nakasero a suburb of Kampala, coordinated the part of giving diplomatic cover to the Ugandan hooligans. Tinyefuza set up a command and control centre at Tororo and there was also a post at Busia. The official cover was to monitor the security situation.
 
....That is why, in Uganda, the craving for grand gestures is such that many people believe the UPDF is in Nyanza and Western to bring order to Kenya, and that the Presidential Protection Brigade has taken over security at State House and Kibaki’s home in Othaya....

Mzee anaogopa kupinduliwa
 
Mzee anaogopa kupinduliwa

Honestly mimi sioni njia nyingine muafaka ya kufanya hapo jirani ili watu wasiedelee kuuana. Kama Jeshi lina nidhamu na litasimamia haki. Itakuwa bora kwani sura mbili Kibaki na Raila watakuwa "In Break" na muafaka utaweza kutafutwa bila wao kuwepo na ku-influence directly. Kibaki anapojiweka hapo alipojiweka ..Inleta polarasation kwenye kila usuluhishi unaofanyika.
 
Back
Top Bottom