Jeshi la Marekani lakamata magaidi 5 walioteka meli ya mizigo ya Muisraeli

Unalisha watu matangopori wa Marekani wenyewe wamekanusha we umeng'ang'ana [emoji23][emoji23]

Pentagon: Attempted Ship Hijacking Yesterday Not Linked to #Houthis but Likely Carried Out by #Somali Pirates

The US Department of Defense states that the attempted hijacking of a commercial vessel in the Gulf of Aden on Sunday seems to have been orchestrated by Somali pirates rather than Yemeni Houthis.by Somali pirates rather than Yemeni Houthis.
 
Marekani na Israel wanaua watoto na waandishi wa habari halafu wanajisifu.

Binafsi niko against vifo vya watoto na civilians. Lakin tuwe honest, vita zote duaniani watoto , wanawake na civilians wanakuwa wahanga namba moja. Look at current conflicts , hawa watu wanakuwa at line of fire or hot conflict zone.
Hizo ni outcome za vita na kuna mengi zaidi
 
Hakuna cha watoto wala nini,mengi yaliyouliwa ni magaidi,watoto kila siku picha ni hizo hizo ili kudanganya dunia.

Wanajeshi sio chini ya 3000 wameuawa dhidi ya Hamas, je hamas wangapi wameuawa dhidi ya wanajeshi?


Taarifa hii ya 5 days ago

Endelea kufurahia tu vifo vya watoto, wamama na wazee
 

Israel wanauwa watoto, wamama na wazee

Hamas wanauwa wanajeshi
Hii ni taarifa 5 days ago

Hapo nani mwanaume?

Namshindi amejulikana mchana kweupee
 
Je ! Waliokamatwa walikuwa wamevaa viatu au kobazi?

Je! Walikuwa wamevaa suruali au pedo?

Je! Walikuwa na uchafu wa kichaka Cha midevu au walikuwa wamenyoa? Upelelezi uanzie hapo
 
Kwa muda niliofanya kazi, na hawa jamaa, USA, UK, wazungu(wakristo), huwa hawataki ujinga kwenye Mambo Yao, nilikuwa kwenye taasisi moja,niliona moto wanaowashiana mmoja wao akizingua, haijalishi ni mzungu, ukienda kinyume na mifumo Yao, wanakuzingua balaaa,
Sasa hv wanajaribu kumlinda binamu Yao Israel, harafu inatokea mi Arab, tena myeusi kama mkaa, eti inateka meli,ilifikiri wajomba watakaa kimya!?
 
Israel wanauwa watoto, wamama na wazee

Hamas wanauwa wanajeshi
View attachment 2828519Hii ni taarifa 5 days ago

Hapo nani mwanaume?

Namshindi amejulikana mchana kweupee

Sorry to tell you wkt ww unalinganisha nani “mwanaume”, this is not video game
People lives are at stakes here

Kama adui ana hide among civilians , civilians ndio watapata majanga zaidi. It simple as that
WWII, iraq vita vyote vinashare the same thing, wanawake na watoto ndio wanapata madhara zaid
 

Sijakuelewa
 
Unaleta fake newz?unajiaibisha hapa

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…