Jeshi la Polisi: Hakuna ushahidi kuwa Freeman Mbowe alishambuliwa. Alikuwa ametoka kwa Joyce Mukya. Alikuwa amelewa chakari

Vipi kuhusu dreva,,huyu ndo atatoa mwanga,maana kwa mujibu wa ripoti,mbowe alipiga kelele,dreva ndo mtu wa kwanza on scene,,hivyo itakuwa alikua hata hajaondoka pale.
hivi kweli unategemea dereva atasema kinyume na bosi wake ni kitu hakiwezekani, dereva wa mbowe hawezi kuwa shahidi wa kuaminika kwani lazima atapendelea basi wake.
ndio maaana ushahidi wa majirani ulikuwa wa muhimu sana kuliko hata derrva
 
Sasa ww ndiyo umeshindwa kuelewa, polisi wao wamesema kabisa eneo LA tukio na wakasema kabisa 'kulikuwa na watu' maana yake ni kwamba ushahidi waliouchukua ni wa 'watu' na 'makelele' tafsiri yake polisi wamesema specifically aina gani ya ushahidi ambao wao wameuzingatia ni wa kelele,watu, polisi wangekuwa wamesema wamechukua ushahidi wa CCTV wangesema express kabisa kwa hiyo huo ushahidi wa kielectroniki ambao ni admissible mahakamani wameuruka wameenda kwenye ushahidi wa kusikia,na ushahidi wa 2nd degree ambao ni secondary evidence badala ya primary evidence
 
Sisi Wanachadema tunamuachia chama bora tuende Nccr mageuzi tu
Hakuna mnafki anayeweza kudumu chadema,ni suala la muda tu!kwa fikra ambazo Ndio Kiwakilishi cha nafsi zako hazisomi Huru kiasi cha kujihisi ni mwanachadema kifikra,uanachadema hauwakilishwi na fikra kama zako
 
Hakuna mnafki anayeweza kudumu chadema,ni suala la muda tu!kwa fikra ambazo Ndio Kiwakilishi cha nafsi zako hazisomi Huru kiasi cha kujihisi ni mwanachadema kifikra,uanachadema hauwakilishwi na fikra kama zako
CDM ndio wanafiki wakubwa kwà kiwango Cha juu sana kabisa!! Msitufanye WaTZ wote ni mburura na mkaendelea kutafuta huruma zetu!!!


HV kweli mamia Yote ya Wanachama waliohama kwenu ni kufikia Bei tu!? Na Hakuna Hata mmoja anaewaongelea mazuri wote Hawa wanawasingiza kisa wamefika Bei!? Huwez kudanganya watu wote muda wote Ila unaweza danganya watu wote kwà muda tu!!
 
Umepani
Hivi kuna mpumbavu zaidi yako!!
Yaani Like kwako Jambo Kubwa na lamana
Sikushangai maana logic ya nilichoandika hukielewi. Don't judge a book by its cover. Neno uliloona ni like lakini post nzima hujaelewa. Vijana wa ccm mbona madarasa ya MEMKWA bado yapo sio mkajiendeleze?
 
Aliyeongea habari ya bei hapa ni nani?leta hoja siyo makurupuko
 
Taifa linaangamia kwa kusa watu wenye busara,
Taifa la uongo na umbeya,Chuki na Vsasi.
Nilishangazwa sana na Taarifa hii kuwa haina tofauti na ile iliyotolewa na Spika Job Ngungai.
Taarifa ya Kiupelelezi,imepitiabungeni kwanza, kisha ndio polisi wakaitowa rasmi?.
Sijui ndio mtindo mpya wa matukio ya jinai nchini?
Lkini lile tukio la Tundu lisu,naona jeshi la polisi halijatoa taarifa hadi leo,
Bali ni Bunge lililodai kuwa hawamjui alipo.
Na kwa hiyo alifutwa ubunge wake ,na huenda akirudi akakutana na kesi za kujibu mahakamani kwa kusingizia kupigwa risasi na kujeruhiwa, tukio ambalo polisi hawna habari nalo hadi leo.
Hii ndio Tanzania MPYA tuliyonayo.
Tanzania ni Taifa la ajabu sana.
Ikiwa Mbowe aliudanganya Umma anaweza kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria?
Lakini ,Muruto mwanzo alisema kuwa Polsi inazo taarifa za Mbowe kushambuliwa na watu kwa kukanyagwa bila ya kutumia silaha.
Leo imekuja nyingine kuwa hakuna kabisa tukiio la aina hii, bali ni uzushi,
Lakini Uchunguzi unaendelea.
KESHO TUTAPATA KUWA CAMERA ZINAONESHA NINI?
 
Wewe naye hebu tumia akili hata kidogo!!! Nani ataacha CCTV camera imuumbue!!! au unafikiri hawajui kuna camera?
 
Tatizo ni uchaguzi. Watu wanahaha kukashifiana. Mwenye akili timamu apuuze haya yote ila mwenye akili pungufu ashililie bango.
 
hivi kweli unategemea dereva atasema kinyume na bosi wake ni kitu hakiwezekani, dereva wa mbowe hawezi kuwa shahidi wa kuaminika kwani lazima atapendelea basi wake.
ndio maaana ushahidi wa majirani ulikuwa wa muhimu sana kuliko hata derrva
sheria hairuhusu mke wako kuwa shahidi wako ,dreva ameruhusiwa
 
Mbowe awe muungwana atokee hadharani aombe radhi umma kwa kuwahadaa, akifanya hivyo atakuwa amerudisha heshima yake.
 
Aliyeongea habari ya bei hapa ni nani?leta hoja siyo makurupuko
Tulia kijana unafiki wenu tunauelewa kila mahali!! Kamwe hatuwezi ruhusu wahuni wachache watuletee maigizo hapa
 
Hongera kwa kuona like
Kitu kikubwa kwako
Ukipewa like
Unajihisi dunia ya mamako Eh!!
Huo ndio ukilaza wa Ufipa
Sasa mamaangu kajaje hapa? Inawezekana ukawa mtoto sio rizki wewe! Maana ndio lugha zao hizi!
 
Jeshi la Polisi Tz limejaa waliofeli shule, na vyeti feki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…