Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
I dont care about hao watu wanawaza nini. Mm ndio nime request jina la chuo.Watu wenye uelewa mdogo wanaeeza kudhania una kidhalilisha.
Wewe nani kakwambia kateleza na ukaamini kweli kateleza.Mwenye kiti Mbowe angesema tu ukweli kuwa kateleza wakati anapanda ngazi kwa bahati mbaya bila shaka viongozi wote wangemfariji kwa pole na pasingekuwa na mtafaruku wa sintofahamu hii au mnasemaje wadau
Mwenye kiti Mbowe angesema tu ukweli kuwa kateleza wakati anapanda ngazi kwa bahati mbaya bila shaka viongozi wote wangemfariji kwa pole na pasingekuwa na mtafaruku wa sintofahamu hii au mnasemaje wadau
Unaamini Nini?Mwenye kiti Mbowe angesema tu ukweli kuwa kateleza wakati anapanda ngazi kwa bahati mbaya bila shaka viongozi wote wangemfariji kwa pole na pasingekuwa na mtafaruku wa sintofahamu hii au mnasemaje wadau
Mwenye kiti Mbowe angesema tu ukweli kuwa kateleza wakati anapanda ngazi kwa bahati mbaya bila shaka viongozi wote wangemfariji kwa pole na pasingekuwa na mtafaruku wa sintofahamu hii au mnasemaje wadau
Kumbuka Mbowe na Zito walisema mwaka wa 2020 ni mwaka wa hekeka kwa serikari, kwamba watafanya mambo makuwa ya kuitikisa serikari,
Bahati mbaya mwaka unaisha sasa wengine inabidi watafute lolote bila kujali madhala yake, wengine wanatengeneza vi clip wanapeleka BBC na balozi za uingeleza kwa kujificha
Ila hali ndo hivyo haiko upandw wao sasa ni kutapatapa tu.
Kateleza akitoka kula kimasikhara
Hukusoma physics tatizoNa akavunjika Mguu tu bila ya kupata majeraha sehemu nyingine ya Mwili eti ?..
Principles za physics haiwezi ku apply kwa mlevi wa taifa.Hukusoma physics tatizo
Kumbuka Mbowe na Zito walisema mwaka wa 2020 ni mwaka wa hekeka kwa serikari, kwamba watafanya mambo makuwa ya kuitikisa serikari,
Bahati mbaya mwaka unaisha sasa wengine inabidi watafute lolote bila kujali madhala yake, wengine wanatengeneza vi clip wanapeleka BBC na balozi za uingeleza kwa kujificha
Ila hali ndo hivyo haiko upandw wao sasa ni kutapatapa tu.
Wewe nani kakwambia kateleza na ukaamini kweli kateleza.
Mna Vyombo vyote vya Dola na vina watii ,kudanganya ni kosa kisheria ni kwa nini msishitaki huyo Mh Mbowe kwa kuzusha mambo ?
Mwezi wa kumi atashitakiwa tu kwa wananchi,
Akipelekwa kwa sasa mtabadilisha maneno kuwa wanamshitaki ili kupunguza nguvu zake kisiasa.
Hukusoma physics tatizo
Chukua kitabu cha O'level usomeNnaomba utoe Darasa basi Mkuu kwa faida ya wengi ,ili tukubaliane na maneno yako.