Jeshi La Polisi idara ya TRafick inafanya kazi kwa weledi wa hali ya Juu

Jeshi La Polisi idara ya TRafick inafanya kazi kwa weledi wa hali ya Juu

Alisema mwaka jana fedha ya stika inanunua magari ya patrol ya polisi nchi nzima, mimi sijaona gari jipya zaidi ya yale matenga ya uchaguzi wa 2010
Upo mkoa gani mkuu huku niliko kuna matenga mapya kama saba hivi
 
View attachment 2767115View attachment 2767115
Jeshi La Polisi idara ya TRafick inafanya kazi kwa weledi wa hali ya Juu.
Hawa Polisi ambao wale wa vyeo vya chini huvaa sare nyeupe za kupendeza na kuonyesha unadhifu wa hali ya juu nje ya mwilina ndani ya roho sijui lakini pia wale wa vyeo vya juu huvaa nguo za kaki za kupendeza wanyonge huku wakiwa na mikanda viunoni ya ngozi za ngombe.

OPERESHENI:
1. STIKA YA NENDA KWA USALAMA: Hii ni biashara rasmi ambapo lengo kuu ni gari lipelekwe trafick section na kukaguliwa, likikidhi vigezo basi dereva alipie stika na liendelee na safari lakini imekuwa utaratibu stika kuuzwa kwa elfu 5 kama ukienda kituoni na kama ukiitaka barabarani inauzwa elfu 10.
Hakuna ukaguzi unaofanyika wa gari lolote na kichaka tu cha upigaji cha wau wachche sana ambao wanaishi kama wafalme.

2. LESENI/LENA. Ili kupata leseni yakupasa kupitia shule za udereva na kufanyiwa majaribio, lakini baada ya kufuzu pia kuna hatua za kupita, huko kila hatua niutoa hela zisizo na risiti wala control number.

3. DALADALA/TAX-UBER-BOLT Leo jumamosi wamejipanga kona zote za jiji, hakuna gari kupita bila kusimamishwa, pale magomeni kanisani wamekaba, oystebya mbuyuni wamebna, kwa azizi ali wamebana, wanasimamisha lila daladala, dereva ama utingo anashuka unamuona anenda nyuma ya gari ghafla anarudi mbio na gari inaondoka, utaskia konda akilalamika kwa dereva kwamba " nimebidi nimpe jala[elfu tano] maana jana hatukutoa: Baadae utaona anachukua kijitabu/diary na kuweka rekodi ya gari iliyotoa hiyo hela:
Kila mtu yupo kimya tunataka tufike ilipo NIGERIA KWA RUSHWA?
Hayo magari yameoza , magari yameoza.
Daladala ya Mwananyamala kwenda STESheni zimeoza kabisa na kunguni na hayafai hata kubebea mbolea lakininyapo katikati ya jiji na ukija nagari yako mpya kuomba TLB hupewi, ni hawa hawa wapendwa wetu ndio wanamiliki hizo daladala, well hawanyimwi kufanya biashra ila ni kinyume na maadili ya umma kutokana na kuwa na mgongano wa kimaslahi.
SAMIA alimtumbumbua mkurugenzi wa TTCL kwakuwa ana kampuni yenye tenda TTCL sasa ingependelewa, hili naomba SSH uingilie kati maana limesemwa sana.

4. KUVIZIA FINE BADALA YA KUELIMISHA. Trafiki badala ya kuzuia na kuelimisha wamegeuka watu wa maokoto. Haiwezekani say mtu umetoka mataa ya morroc unaendesha IST nyuma yako ipo gari kubwa na ipo spidi badala ya trafick kuzuia ajali yeye anasimamisha bila kujali aliye nyuma yako ako na spidi ya kiasi gani, ajali nyingi wanasababisha wao.

5. Ufanyike mzunguko wa ma-trafikc, mfano kuna mmoja ni mwanamama mweusi bonge anaka mnazi mmoja ana kauli mbaya sana, aamishiwe kwa wakurya huko akafunzwe adabu.
Mataa ya st peters kuna mweupe hivi kijana, naye anajiona ni IGP na achunguzwe.
Jiwe alikwisha limaliza hili, alisema pesa ya kufuta vumbi hivyo haifai kulalamikiwa.
 
Ndio maana viatu vyao vinang'aa. Hizo pesa zote wananunua matanki ya rangi za viatu.
Takukuru ifutwe tuu haina faida. Traffic wanachukua mrungula had hadharani. Ama kuna wstu wanafaidi hii nchi
 
Yuko traffik mmoja mjinga Sana alikua huku Kibaha. Alisimamisha daladala, konda akateremka na kumkabidhi elfu kumi iliyokatika kipande nusu mzima. Trafik akaruhusu gari iondoke lakini kabla hajatia Ile hela mfukoni aliichunguza na kugundua Ni kipande tu. Mjinga yule badala ya kumezea, yeye alichukua boda na kuanza kuifukuza daladala, alipoikuta alimwita konda na kumuuliza kwa hamaki, HELA GANI HII UMENIPA? konda akamjibu kwani wewe trafik umeniuzia nini Hadi Mimi nikupe hela mbovu?
Ugomvi uliishia palepale.
Ikawa Sasa trafik anamvizia yule kinda.
Sikuhizi simuoni Tena mbwa yule barabarani. Nadhani Ile habari iliwafikia big boys wa Kibaha.
 
View attachment 2767115View attachment 2767115
Jeshi La Polisi idara ya TRafick inafanya kazi kwa weledi wa hali ya Juu.
Hawa Polisi ambao wale wa vyeo vya chini huvaa sare nyeupe za kupendeza na kuonyesha unadhifu wa hali ya juu nje ya mwilina ndani ya roho sijui lakini pia wale wa vyeo vya juu huvaa nguo za kaki za kupendeza wanyonge huku wakiwa na mikanda viunoni ya ngozi za ngombe.

OPERESHENI:
1. STIKA YA NENDA KWA USALAMA: Hii ni biashara rasmi ambapo lengo kuu ni gari lipelekwe trafick section na kukaguliwa, likikidhi vigezo basi dereva alipie stika na liendelee na safari lakini imekuwa utaratibu stika kuuzwa kwa elfu 5 kama ukienda kituoni na kama ukiitaka barabarani inauzwa elfu 10.
Hakuna ukaguzi unaofanyika wa gari lolote na kichaka tu cha upigaji cha wau wachche sana ambao wanaishi kama wafalme.

2. LESENI/LENA. Ili kupata leseni yakupasa kupitia shule za udereva na kufanyiwa majaribio, lakini baada ya kufuzu pia kuna hatua za kupita, huko kila hatua niutoa hela zisizo na risiti wala control number.

3. DALADALA/TAX-UBER-BOLT Leo jumamosi wamejipanga kona zote za jiji, hakuna gari kupita bila kusimamishwa, pale magomeni kanisani wamekaba, oystebya mbuyuni wamebna, kwa azizi ali wamebana, wanasimamisha lila daladala, dereva ama utingo anashuka unamuona anenda nyuma ya gari ghafla anarudi mbio na gari inaondoka, utaskia konda akilalamika kwa dereva kwamba " nimebidi nimpe jala[elfu tano] maana jana hatukutoa: Baadae utaona anachukua kijitabu/diary na kuweka rekodi ya gari iliyotoa hiyo hela:
Kila mtu yupo kimya tunataka tufike ilipo NIGERIA KWA RUSHWA?
Hayo magari yameoza , magari yameoza.
Daladala ya Mwananyamala kwenda STESheni zimeoza kabisa na kunguni na hayafai hata kubebea mbolea lakininyapo katikati ya jiji na ukija nagari yako mpya kuomba TLB hupewi, ni hawa hawa wapendwa wetu ndio wanamiliki hizo daladala, well hawanyimwi kufanya biashra ila ni kinyume na maadili ya umma kutokana na kuwa na mgongano wa kimaslahi.
SAMIA alimtumbumbua mkurugenzi wa TTCL kwakuwa ana kampuni yenye tenda TTCL sasa ingependelewa, hili naomba SSH uingilie kati maana limesemwa sana.

4. KUVIZIA FINE BADALA YA KUELIMISHA. Trafiki badala ya kuzuia na kuelimisha wamegeuka watu wa maokoto. Haiwezekani say mtu umetoka mataa ya morroc unaendesha IST nyuma yako ipo gari kubwa na ipo spidi badala ya trafick kuzuia ajali yeye anasimamisha bila kujali aliye nyuma yako ako na spidi ya kiasi gani, ajali nyingi wanasababisha wao.

5. Ufanyike mzunguko wa ma-trafikc, mfano kuna mmoja ni mwanamama mweusi bonge anaka mnazi mmoja ana kauli mbaya sana, aamishiwe kwa wakurya huko akafunzwe adabu.
Mataa ya st peters kuna mweupe hivi kijana, naye anajiona ni IGP na achunguzwe.
MAJAMBAZI YALIYOAJIRIWA

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Baadhi ya watu wanasemaga hawa jamaa wananjaa,wananjaa wanashika hela zote hizo?
 
Baadhi ya watu wanasemaga hawa jamaa wananjaa,wananjaa wanashika hela zote hizo?
Polisi Traffick ana mshahara wa laki 9 kwa mwezi ambao haugusi hata siku moja, ana posho na sare ananunuliwa, kila daladala wacha gari binafsi lazma apate buku 2 kwa daldala na elfu kumi kwa gari ndogo na elfu 20 kwa scania za mizigo.
 
Ndio maana viatu vyao vinang'aa. Hizo pesa zote wananunua matanki ya rangi za viatu.
Takukuru ifutwe tuu haina faida. Traffic wanachukua mrungula had hadharani. Ama kuna wstu wanafaidi hii nchi
Wanangarishwa na serikali, ila wanyonge wanataka kujua kama hizo hela ni halali ama laanatul?
Je, wakina mwamposa, mapadre, wachungaji wazikatae fedha za sadaka na malipo ya zaka toka kwa trafiki?
 
Alisema mwaka jana fedha ya stika inanunua magari ya patrol ya polisi nchi nzima, mimi sijaona gari jipya zaidi ya yale matenga ya uchaguzi wa 2010
Stika , hoi habari iachwe tu, yaani siku CAG akifanya ukaguzi wa STIKA KWA MIAKA 5 NYUMA alooo, aibu itakuwa kubwa sana.
 
Zifanywe ze electronic tulipe kwa mobile
Never, wapigaji [Genge] hawakubali mfumo hata siku moja.
JPM alijaribu baadhi ya sehemu lakini we hujasikia kule Mbeya wakurugenzi wenyewe wanachepusha control number feki unalipa kumbe mtu anamalizia ghorofa lake Bahari beach na kukesha na totoz Wavuvi Kemp
 
View attachment 2767115View attachment 2767115
Jeshi La Polisi idara ya TRafick inafanya kazi kwa weledi wa hali ya Juu.
Hawa Polisi ambao wale wa vyeo vya chini huvaa sare nyeupe za kupendeza na kuonyesha unadhifu wa hali ya juu nje ya mwilina ndani ya roho sijui lakini pia wale wa vyeo vya juu huvaa nguo za kaki za kupendeza wanyonge huku wakiwa na mikanda viunoni ya ngozi za ngombe.

OPERESHENI:
1. STIKA YA NENDA KWA USALAMA: Hii ni biashara rasmi ambapo lengo kuu ni gari lipelekwe trafick section na kukaguliwa, likikidhi vigezo basi dereva alipie stika na liendelee na safari lakini imekuwa utaratibu stika kuuzwa kwa elfu 5 kama ukienda kituoni na kama ukiitaka barabarani inauzwa elfu 10.
Hakuna ukaguzi unaofanyika wa gari lolote na kichaka tu cha upigaji cha wau wachche sana ambao wanaishi kama wafalme.

2. LESENI/LENA. Ili kupata leseni yakupasa kupitia shule za udereva na kufanyiwa majaribio, lakini baada ya kufuzu pia kuna hatua za kupita, huko kila hatua niutoa hela zisizo na risiti wala control number.

3. DALADALA/TAX-UBER-BOLT Leo jumamosi wamejipanga kona zote za jiji, hakuna gari kupita bila kusimamishwa, pale magomeni kanisani wamekaba, oystebya mbuyuni wamebna, kwa azizi ali wamebana, wanasimamisha lila daladala, dereva ama utingo anashuka unamuona anenda nyuma ya gari ghafla anarudi mbio na gari inaondoka, utaskia konda akilalamika kwa dereva kwamba " nimebidi nimpe jala[elfu tano] maana jana hatukutoa: Baadae utaona anachukua kijitabu/diary na kuweka rekodi ya gari iliyotoa hiyo hela:
Kila mtu yupo kimya tunataka tufike ilipo NIGERIA KWA RUSHWA?
Hayo magari yameoza , magari yameoza.
Daladala ya Mwananyamala kwenda STESheni zimeoza kabisa na kunguni na hayafai hata kubebea mbolea lakininyapo katikati ya jiji na ukija nagari yako mpya kuomba TLB hupewi, ni hawa hawa wapendwa wetu ndio wanamiliki hizo daladala, well hawanyimwi kufanya biashra ila ni kinyume na maadili ya umma kutokana na kuwa na mgongano wa kimaslahi.
SAMIA alimtumbumbua mkurugenzi wa TTCL kwakuwa ana kampuni yenye tenda TTCL sasa ingependelewa, hili naomba SSH uingilie kati maana limesemwa sana.

4. KUVIZIA FINE BADALA YA KUELIMISHA. Trafiki badala ya kuzuia na kuelimisha wamegeuka watu wa maokoto. Haiwezekani say mtu umetoka mataa ya morroc unaendesha IST nyuma yako ipo gari kubwa na ipo spidi badala ya trafick kuzuia ajali yeye anasimamisha bila kujali aliye nyuma yako ako na spidi ya kiasi gani, ajali nyingi wanasababisha wao.

5. Ufanyike mzunguko wa ma-trafikc, mfano kuna mmoja ni mwanamama mweusi bonge anaka mnazi mmoja ana kauli mbaya sana, aamishiwe kwa wakurya huko akafunzwe adabu.
Mataa ya st peters kuna mweupe hivi kijana, naye anajiona ni IGP na achunguzwe.

Ingekuwa amri yangu wangenyimwa kabisa mishahara. Jamaa rushwa sana
 
Never, wapigaji [Genge] hawakubali mfumo hata siku moja.
JPM alijaribu baadhi ya sehemu lakini we hujasikia kule Mbeya wakurugenzi wenyewe wanachepusha control number feki unalipa kumbe mtu anamalizia ghorofa lake Bahari beach na kukesha na totoz Wavuvi Kemp
Tatizo la JPM na yeye alikua na secret kundi la wapingaji wapya wasio wale wazamani, hi nchi ikipata mtu sahihi isio kua mnafiki na mzalendo wakweli mbona mapato yote yana nyooka tu, wote ni wezi kutoka juu kati kati mpaka ofisa wa chini.
 
Tatizo la JPM na yeye alikua na secret kundi la wapingaji wapya wasio wale wazamani, hi nchi ikipata mtu sahihi isio kua mnafiki na mzalendo wakweli mbona mapato yote yana nyooka tu, wote ni wezi kutoka juu kati kati mpaka ofisa wa chini.
SUKUMA GANG lilipewa tenda za barabara, ujenzi wa vivuko, barabara na maeneo ya wazi kujenga petrol station.
Sasa tufanyeje?
 
Back
Top Bottom