Jeshi la polisi ladai Tundu Lisu ni mpuuzi?

Jeshi la polisi ladai Tundu Lisu ni mpuuzi?

Mhmh! Huyo Polisi ana undugu na Juliana Shonza. Wote Akili sawa.
 
Dunia haina haki....kunya anye kuku akinya bata kahara
 
Ndo nchi yetu, mi napita tu,,[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Aiseee hii nchi hii huyo anayeongea hapo ndio anamhoji Tundu Lisu ??? Kuongea yenyewe shida ndio itakua kumtriki Lisu ili ajichanganye wapate cha kupeleka mahakamani ?? Yeye mwenyewe mpuuzi tu
 
Back
Top Bottom