Pre GE2025 Jeshi la Polisi lazingira Ofisi ya Makao Makuu CHADEMA Mikocheni na kuzuia Mkutano wa Mnyika na Waandishi wa Habari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
wao kwa wao na jamii kwa ujumla hii mbona iko kote ulimwenguni ni mambo ya kiusalama ndugu mulize hata jirani yako apo atakwambia
Sina jirani wa kumuuliza mambo ya kimang'amung'amu... Huu ni mtizamo wa kijima sana unaoshabikiwa na CCM.
 
Kuwa na adabu huwezi niita Mimi kijana wa Mbowe wewe kauzu…. Nipo hapa nimechagua upande wa kukosoa na nitamkosoa huyo mropokaji na nyie mashabiki zake…. Haya Leo Polisi wamezuia mkutano mmefanya nini? Si mlisema Mbowe mpole na Lissu atafanya siasa Za mshike mshike kiko wapi?? Very soon atakimbiza tumbo lake Ubelgiji ndipo mtakapo dhalilika maana mmeonesha utoto sana!
 
Kimsingi hiki ndicho CCM walichokiwa wakikitaka; kukigawanya chama vipande viwili, wamefanikiwa sana.

Bahati mbaya hata comments nyingi twiter zimekuwa against CDM, nimeona hadi Hilda akiwakemea wanaCDM wanaoponda uamuzi wa kuitisha press leo.

Bahati mbaya zaidi kampeni zilikuwa ngumu mno, zinaonekana zimeacha majeraha makubwa kuliko tulivyodhani, na upande wa pili umeanza kejeli dhidi ya mwenyekiti mpya kuwa walisema yule mwingine alikuwa soft na nadhani kuna over expectations. Kuna umuhimu wa kushusha expectations nadhani ili kuondoa panic decisions.

Safari ya CDM inaonekana itakuwa ngumu labda mambo fulani fulani yabadilike, na bahati mbaya hata wafuasi mnapelekeana moto kama hivi; kwakweli CCM ananufaika sana na unaweza kusema anasukuma kete zake kwa tahadhari kubwa.
 
[QLppUOTE="Smart Dude, post: 52691364, member: 728282"]
Kimsingi hiki ndicho CCM walichokiwa wakikitaka; kukigawanya chama vipande viwili, wamefanikiwa sana[/QUOTE]
Mimi ni timu CHADEMA. Mbowe ana mambo yake makubwa na mazuri kwa chama chetu. Lakini kulazimisha kupambana na Lissu lilikuwa kosa lake la kisiasa alilofanya dhidi ya CHADEMA chama anachosema anakipenda.

Na lazima atoke aseme demokrasia imefanya kazi na wafuasi wake waheshimu maamuzi ya wengine. Lazima iwe hivyo.


[QLppUOTE="Smart Dude, post: 52691364, member: 728282"] bahati mbaya hata wafuasi mnapelekeana moto kama hivi;
[/QUOTE]
Hakuna namna ni lazima hili jambo na mtizamo huu ukemewe Kwa juhudi kubwa Sana.
 
Ahsante sana police kwahao wahuni kwakuwadhibiti
 
Baki na haya maelezo yako uchwara mwenyewe na siasa zenu za ujima. Wacheni hofu za kitoto. Unafikiri watu wote wana akili mgando kama za nyie misukule ya CCM.
Hakuna mwenye hofu kijana ni vile utaratibu ufwate. Pili sina siasa za kijima unenikosea sana. Tatu mimi sio msukule na sitokujibu kwa matus kama ulivyofanya
 
Amevunja sheria gani ya nchi?
Sasa wewe nenda na bodaboda yako kesho mjini alafu waulize umevunja sheria gan ya nchi si katiba inaruhusu uhuru wa kutembea popote unapotaka bas fanya hivyo. Uanarakat mwingine ni ukichaa
 
Jana CCM yule zinjathropis na makala wa CCM walifanya mkutano wao mnazi mmoja mbona polisi hawakuenda kuuzuia?
Kwan jana huo mkutano ulikua umeanza? Mbona unajenga hoja kipuuz hivyo? Sifurahii lugha chafu na sio kwamba siziwezi bali sijafundishwa hivyo.
 
[QLppUOTE="Smart Dude, post: 52691364, member: 728282"]
Kimsingi hiki ndicho CCM walichokiwa wakikitaka; kukigawanya chama vipande viwili, wamefanikiwa sana
Mimi ni timu CHADEMA. Mbowe ana mambo yake makubwa na mazuri kwa chama chetu. Lakini kulazimisha kupambana na Lissu lilikuwa kosa lake la kisiasa alilofanya dhidi ya CHADEMA chama anachosema anakipenda.

Na lazima atoke aseme demokrasia imefanya kazi na wafuasi wake waheshimu maamuzi ya wengine. Lazima iwe hivyo.


[QLppUOTE="Smart Dude, post: 52691364, member: 728282"] bahati mbaya hata wafuasi mnapelekeana moto kama hivi;
[/QUOTE]
Hakuna namna ni lazima hili jambo na mtizamo huu ukemewe Kwa juhudi kubwa Sana.
[/QUOTE]
Changamoto mkuu ni kuwa, hata kama FAM angeshinda hali ingekuwa hivi hivi kama ilivyo sasa; the election was too close kuashiria chama kimegawanyika nusu kwa nusu; hii ni mbaya sana.

Bahati mbaya kampeni imeleta new norm ndani ya chama na viongozi kuzungumza chochote na kupost chochote hata baada ya uchaguzi. Mfano Lema alivyopost kuhusu gari jana, kina rose naona wanapost kila muda nk. Sijui mashiko yake lakini ninadhani inabidi ikomeshwe haraka; ili matamko mengi yawe ya chama na siyo ya mtu. Ninafikiri discpline bado iko chini baada ya hangover ya uchaguzi.

Kuhusu FAM kujitokeza hadharani ni wazo zuri nadhani; chama kinahitaji kuokolewa unless hii hali ikiendelea sidhani kama ina afya.
 
Lissu hana akili na lile tumbo lake kubwa Kama pakacha… kamtukana sana Mbowe na tutahakikisha anaaibika vibaya sana liwe funzo kwa wanaharakati wahuni na washenzi.
 
Hakuna mwenye hofu kijana ni vile utaratibu ufwate. Pili sina siasa za kijima unenikosea sana. Tatu mimi sio msukule na sitokujibu kwa matus kama ulivyofanya
Mbona wewe uliniita akili ndogo nalo ni tusi hivyo nimekukabili kwa jinsi ulivyokuja. Wacheni siasa uchwara za kutumia polisi kukandamiza upinzani.
 
Hakuna namna ni lazima hili jambo na mtizamo huu ukemewe Kwa juhudi kubwa Sana.
[/QUOTE]
Changamoto mkuu ni kuwa, hata kama FAM angeshinda hali ingekuwa hivi hivi kama ilivyo sasa; the election was too close kuashiria chama kimegawanyika nusu kwa nusu; hii ni mbaya sana.

Bahati mbaya kampeni imeleta new norm ndani ya chama na viongozi kuzungumza chochote na kupost chochote hata baada ya uchaguzi. Mfano Lema alivyopost kuhusu gari jana, kina rose naona wanapost kila muda nk. Sijui mashiko yake lakini ninadhani inabidi ikomeshwe haraka; ili matamko mengi yawe ya chama na siyo ya mtu. Ninafikiri discpline bado iko chini baada ya hangover ya uchaguzi.

Kuhusu FAM kujitokeza hadharani ni wazo zuri nadhani; chama kinahitaji kuokolewa unless hii hali ikiendelea sidhani kama ina afya.
[/QUOTE]
Mbowe hawezi jitokeza kuwaokoa wajuaji na wahuni… Lissu tutamshikisha adabu Kama Mwabukusi pale TLS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…