Well ni ushauri mzuri lakini kuna sababu za kulazimishwa kufanya hivyo?Kwa jinsi tech ilivyo, hakuna haja ya kukutana na hao waandishi. Zoom meeting nk si zipo, wafanye online meeting warushe online watu wapate habari, after all, ni press.
Ndiyo wanaitrendisha sasa!!Wanahatarisha vipi usalama kwa kufanya press, wanaogopa CHADEMA itatrend?
Wao siyo chawa kama wewe, wanavunja sheria ipi?YAANI CHADEMA KUACHA UJI NI KAZI SANA LABDA HUO UJIN UANZE KUWAOMBA HELA, HIVI KWELI UNAONA KABISA KUNA UGENI WA KITAIFA MNAFANYA PRESS YA NINI MNASHINDWA KUVUMILIA SIKU MBILI NDIYO MUANZE HUO UJI WENU? HAMNA ADABU KABISA
Adabu kwa nani?HAMNA ADABU KABISA
Akili hamna kwan hi press akifanya tarehe 29 kuna nn au akifanyia online kuna tatizo gan? Tuna jambo la kitaifa leo msitusumbue vipanya nyieCCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
Ungenyamaza nsingegundua jambo flani. Ulivyoandika ume ji expose...🤣utoto wa chadema wakkuwa watakujaga kuacha huo upuuzi
Hii ndiyo habari. CCM wamechukia Lissu kushinda. Wanataka kuonesha hata yeye anadhibitika!!Lisu kazi imeanza sasa, wameanza kukupima upepo
Huo mkutano wao unachafuaje hiyo taswira ya nchi yetu?Hivi hawa chadomo mbona wanapenda sana kuchafua taswira ya nchi yetu? Kuna dharula gani ya huo mkutano wao na waandishi? Wanafanya haha kwa Faida ya nani?
Kwahiyo hiyo ndiyo common sense ya watawala??Aidha sababu zinazoelezwa juu ya kuzuiwa kwa mkutano huo inadaiwa ni uwepo wa Mkutano wa Kimataifa wa Nishati (M300). Huku ikielezwa kuwa mkutano huo wa CHADEMA ungeweza kusogezwa mbele na kufanyika kuanzia tarehe 29.
Jinga wewe, CHADEMA wasifanye shughuli zao kwa sababu zipi za msingi haswa?Hivi hawa chadomo mbona wanapenda sana kuchafua taswira ya nchi yetu? Kuna dharula gani ya huo mkutano wao na waandishi? Wanafanya haha kwa Faida ya nani?
Aliyetoa amri ndiyo wa kulaumiwa. Polisi ni bendera fuata upepo.Poor Police!!
Kwani ikifanyika leo ingeathiri nini? CCM hamna akili hata punje.Akili hamna kwan hi press akifanya tarehe 29 kuna nn au akifanyia online kuna tatizo gan? Tuna jambo la kitaifa leo msitusumbue vipanya nyie
Kwa nini asiifanye leo?Akili hamna kwan hi press akifanya tarehe 29 kuna nn au akifanyia online kuna tatizo gan? Tuna jambo la kitaifa leo msitusumbue vipanya nyie
Hauna elimu ya usalama na ujasusi hivyo sina muda wa kubishana na brainless person. GO https://jamii.app/JFUserGuide YOURSELFKwani ikifanyika leo ingeathiri nini? CCM hamna akili hata punje.
Leo tunafanya mapenziKwa nini asiifanye leo?
Kumbukeni kutumia zana!!Leo tunafanya mapenzi
Jana CCM wamefanya mkutano, tumemsikia Wassira na Makalla, wao ruhusa ipoWakati wanatifuana Polisi CCM ilikuwa haina shida na press conference zao ahta zingefanyika kila saa maana walikuwa wanafurahi kuwa zinaua chama. Sasa wamemaliza kutifuana sasa press conference zao hawazitaki tena.