Jeshi la Polisi lijisafishe kwa Watanzania kwa tuhuma za kukosa uadilifu

Jeshi la Polisi lijisafishe kwa Watanzania kwa tuhuma za kukosa uadilifu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Jeshi letu la police Sasa Watu wengi hawaliamini kama kweli lipo kutekeleza majukumu yake kikatiba ya kulinda raia na mali zao

Majeshi mengine yanakubalika Kwa uadilifi na kufanya kazi nzuri
Mfano Jeshi la wananchi JWTZ linatimiza majukumu yake ya kulinda mipaka ya nchi na linaheshimika sana na Watanzania
Jeshi la Uhamiaji, Jeshi la Magereza n.k ni majeshi yanaheshimika sana

Kuna wimbi la watu kutekwa na kupotea kabisa katika nchi yetu, ni uhalifu unaotupa hofu wananchi na kujiuliza hili jeshi la police lipo Kwa ajili ya wananchi?

Uhalifu na rushwa unaotuhumiwa nao
Sasa wajitokeza wajisafishe Kwa vitendo au wabadilike

Leo mzee kibao wa CHADEMA hajulikani halipo na alikamatwa mchana kweupe Tegeta mjini na kufungwa pingu, Sasa Leo jeshi linasema halijui alipo.

Yaani Tanzania tumefikia hatua watu ambao sio vyombo vya usalama kumteka mtu kumfunga pingu na kupotezwa Raia.

Tupeni majibu mazuri,
 
Jeshi letu la police Sasa Watu wengi hawaliamini kama kweli lipo kutekeleza majukumu yake kikatiba ya kulinda raia na mali zao

Majeshi mengine yanakubalika Kwa uadilifi na kufanya kazi nzuri
Mfano Jeshi la wananchi JWTZ linatimiza majukumu yake ya kulinda mipaka ya nchi na linaheshimika sana na Watanzania
Jeshi la Uhamiaji, Jeshi la Magereza n.k ni majeshi yanaheshimika sana

Kuna wimbi la watu kutekwa na kupotea kabisa katika nchi yetu, ni uhalifu unaotupa hofu wananchi na kujiuliza hili jeshi la police lipo Kwa ajili ya wananchi?

Uhalifu na rushwa unaotuhumiwa nao
Sasa wajitokeza wajisafishe Kwa vitendo au wabadilike

Leo mzee kibao wa CHADEMA hajulikani halipo na alikamatwa mchana kweupe Tegeta mjini na kufungwa pingu, Sasa Leo jeshi linasema halijui alipo.

Yaani Tanzania tumefikia hatua watu ambao sio vyombo vya usalama kumteka mtu kumfunga pingu na kupotezwa Raia.

Tupeni majibu mazuri,
Kuna kila sababu za Jeshi la Polisi na Tiss kujisafisha au kusafishwa kwa nguvu endapo kama hayataki kujisafisha yenyewe kwa hiyari.
 
Jeshi letu la police Sasa Watu wengi hawaliamini kama kweli lipo kutekeleza majukumu yake kikatiba ya kulinda raia na mali zao

Majeshi mengine yanakubalika Kwa uadilifi na kufanya kazi nzuri
Mfano Jeshi la wananchi JWTZ linatimiza majukumu yake ya kulinda mipaka ya nchi na linaheshimika sana na Watanzania
Jeshi la Uhamiaji, Jeshi la Magereza n.k ni majeshi yanaheshimika sana

Kuna wimbi la watu kutekwa na kupotea kabisa katika nchi yetu, ni uhalifu unaotupa hofu wananchi na kujiuliza hili jeshi la police lipo Kwa ajili ya wananchi?

Uhalifu na rushwa unaotuhumiwa nao
Sasa wajitokeza wajisafishe Kwa vitendo au wabadilike

Leo mzee kibao wa CHADEMA hajulikani halipo na alikamatwa mchana kweupe Tegeta mjini na kufungwa pingu, Sasa Leo jeshi linasema halijui alipo.

Yaani Tanzania tumefikia hatua watu ambao sio vyombo vya usalama kumteka mtu kumfunga pingu na kupotezwa Raia.

Tupeni majibu mazuri,
Jeshi imara na la kisasa la polisi Tanzania litaendelea kutekeleza kazi na wajibu wake wa kikatiba wa kulianda amani, utukulivu na usalama wa watu na makazi yao bila shinikizo au maelekezo ya mtu binafs, taasias au kukundi cha kusiasa kutaifa au kimataifa,

bali litafanya kazi zake kwa weledi, uadilifu, haki, usawa, uhuru na bila upendeleo wala ubaguzi wa aina yoyote kwa waTanzania wote..
na zaidi sana halitasita kuchukua hatua kali za kipolisi na zile za kisheria kwa yeyote yule atakehatarisha umoja, amani na utulivu waTanzania..

lfahamike wazi kuwa jeshi la polisi nchini halifanyi kazi zake za kikatiba kwaajili ya kutafuta sifa au kuwafurahusha watu, taasisi, chama cha soasa au kikundi cha watu, bali kuhakikisha wananchi wote wananfanya kazi na majukumu yao ya kila siku kwa salama na amani....

waTanzania wana kila sababu ya kuliamini, kulipenda na kuliheshimu jeshi la polisi nchini, kwa kazi kubwa na nzuri sana ya kulinda wananchi, mali na makazi yao kwa ufanisi mkubwa na ndiyo maana amani na utulivu vimetawala kila kona ya Taifa letu licha ya dosari na kasoro ndogondogo lakini tupo salama zaidi kama Taifa ukilinganisha na vipindi vilivyopita.. :BASED:

Mingu Ibariki Tanzania
 
Jeshi imara na la kisasa la polisi Tanzania litaendelea kutekeleza kazi na wajibu wake wa kikatiba wa kulianda amani, utukulivu na usalama wa watu na makazi yao bila shinikizo au maelekezo ya mtu binafs, taasias au kukundi cha kusiasa kutaifa au kimataifa,

bali litafanya kazi zake kwa weledi, uadilifu, haki, usawa, uhuru na bila upendeleo wala ubaguzi wa aina yoyote kwa waTanzania wote..
na zaidi sana halitasita kuchukua hatua kali za kipolisi na zile za kisheria kwa yeyote yule atakehatarisha umoja, amani na utulivu waTanzania..

lfahamike wazi kuwa jeshi la polisi nchini halifanyi kazi zake za kikatiba kwaajili ya kutafuta sifa au kuwafurahusha watu, taasisi, chama cha soasa au kikundi cha watu, bali kuhakikisha wananchi wote wananfanya kazi na majukumu yao ya kila siku kwa salama na amani....

waTanzania wana kila sababu ya kuliamini, kulipenda na kuliheshimu jeshi la polisi nchini, kwa kazi kubwa na nzuri sana ya kulinda wananchi, mali na makazi yao kwa ufanisi mkubwa na ndiyo maana amani na utulivu vimetawala kila kona ya Taifa letu licha ya dosari na kasoro ndogondogo lakini tupo salama zaidi kama Taifa ukilinganisha na vipindi vilivyopita.. :BASED:

Mingu Ibariki Tanzania
We bwabwaja tu
We unajiona Mtanzania first class kuliko wengine
 
We bwabwaja tu
We unajiona Mtanzania first class kuliko wengine
makasiriko ya nini gentleman? mbona umejieleza vizuri sana...

nami nimejieleza kadiri nilivyoona inafaa?
sasa mihemko na makasiriko yanatoka wapi tena kuhusu hoja nzito na ya maana sana uliyoibua na kuiweka mezani?

au una tafuta huruma na kiki, na hutaki kabisa kuona mtazamo na maoni tofauti na yako? :NoGodNo:
 
makasiriko ya nini gentleman? mbona umejieleza vizuri sana...

nami nimejieleza kadiri nilivyoona inafaa?
sasa mihemko na makasiriko yanatoka wapi tena kuhusu hoja nzito na ya maana sana uliyoibua na kuiweka mezani?

au una tafuta huruma na kiki, na hutaki kabisa kuona mtazamo na maoni tofauti na yako? :NoGodNo:
We Bado mvulana
Unajiona kuvaa kiblauzi chako cha CCM hutafikiwa na hicho kikombe cha kupotezwa
 
We Bado mvulana
Unajiona kuvaa kiblauzi chako cha CCM hutafikiwa na hicho kikombe cha kupotezwa
si jambo zuri hata kudogo kuharibu mjadala wako mwenyewe,

kama huna mawazo mapya au fikra mbadala, ni muhimu sana kujizuia na kukaa kimya kuliko kuanza kufanya mazoezo ya kuporomasha matusi kama ambavyo unajionyesha :pedroP:
 
Hii taasisi ya polisi
Iundwe upya
Pia kiundwe chombo kipya cha kulisimamia na kutathimini utendaji wao wa kazi. Pia kuwe na sheria kwamba jambo lolote ambalo linahusishwa na police basi uchunguzi ufanywe na chombo au tume tofauti na police. Mwisho naomba kuuliza zamani tulikuwa tunaambiwa kwamba kunapokuwa na jambo ambalo limeshindikana, mfano hili suala la utekaji na watu wasiojulikana, ilikuwa kuna utaratibu wa kuchukua vyombo vya nje vya kiupelelezi kama Scotland yard from other countries zenye ubobevu kwenye upelelezi, niliwahi sikia hii kwa Kenya. Kingine labda wakati umefika pia wa kuwa na sheria inayoruhusu kuwa private investigation companies...
 
Pia kiundwe chombo kipya cha kulisimamia na kutathimini utendaji wao wa kazi. Pia kuwe na sheria kwamba jambo lolote ambalo linahusishwa na police basi uchunguzi ufanywe na chombo au tume tofauti na police. Mwisho naomba kuuliza zamani tulikuwa tunaambiwa kwamba kunapokuwa na jambo ambalo limeshindikana, mfano hili suala la utekaji na watu wasiojulikana, ilikuwa kuna utaratibu wa kuchukua vyombo vya nje vya kiupelelezi kama Scotland yard from other countries zenye ubobevu kwenye upelelezi, niliwahi sikia hii kwa Kenya. Kingine labda wakati umefika pia wa kuwa na sheria inayoruhusu kuwa private investigation companies...
Hakika mkuu
 
Mfano Jeshi la wananchi JWTZ linatimiza majukumu yake ya kulinda mipaka ya nchi na linaheshimika sana na Watanzania
Jeshi la Uhamiaji, Jeshi la Magereza n.k ni majeshi yanaheshimika sana
usifananishe majukumu ya police na hayo majeshi au taasisi nyingine.utakuwa huwatendei haki police na wala sio mwaminifu kwa nafsi yako.

Labda nikuulize,JWTZ inatoa huduma gani ya moja kwa moja kwa jamii ili kupima uadilifu wao??magereza je??
Uliishawahi kusimamishwa na mwanajeshi kuuliziwa reseni,helmet ama usajiri wa bima??vipi ukiporwa huwa unakwenda jeshini??
Kama yote hayo hufanyi ukiwa na mwanajeshi au magereza basi utasifu kwa mapambio kwamba ni waadilifu sana,kumbe hamna biashara kati yenu inayowakutanisha mara kwa mara.
Kuwalaumu polisi kwa kuchafuka ni sawa na kuwalaumu waalimu wa kiume kukosa maadili kwa wanafunzi wa kike ukilinganisha na madaktari.yaani sample zako za utafiti haziuiani.

Polisi inapaswa kujitathmini ili kuwa Polisi bora,safi,na adilifu sio kuwa kama JWTZ au magereza tutawatesa sana polisi kwa rejea ya kuwabambika.
Naunga mkono hoja ya kujisafisha.
 
usifananishe majukumu ya police na hayo majeshi au taasisi nyingine.utakuwa huwatendei haki police na wala sio mwaminifu kwa nafsi yako.

Labda nikuulize,JWTZ inatoa huduma gani ya moja kwa moja kwa jamii ili kupima uadilifu wao??magereza je??
Uliishawahi kusimamishwa na mwanajeshi kuuliziwa reseni,helmet ama usajiri wa bima??vipi ukiporwa huwa unakwenda jeshini??
Kama yote hayo hufanyi ukiwa na mwanajeshi au magereza basi utasifu kwa mapambio kwamba ni waadilifu sana,kumbe hamna biashara kati yenu inayowakutanisha mara kwa mara.
Kuwalaumu polisi kwa kuchafuka ni sawa na kuwalaumu waalimu wa kiume kukosa maadili kwa wanafunzi wa kike ukilinganisha na madaktari.yaani sample zako za utafiti haziuiani.

Polisi inapaswa kujitathmini ili kuwa Polisi bora,safi,na adilifu sio kuwa kama JWTZ au magereza tutawatesa sana polisi kwa rejea ya kuwabambika.
Naunga mkono hoja ya kujisafisha.
Nimeheshimu mawazo yako mkuu
Uko sahihi
 
si jambo zuri hata kudogo kuharibu mjadala wako mwenyewe,

kama huna mawazo mapya au fikra mbadala, ni muhimu sana kujizuia na kukaa kimya kuliko kuanza kufanya mazoezo ya kuporomasha matusi kama ambavyo unajionyesha :pedroP:
Utekaji
Rushwa
Kubambikia watu kesi
Mauaji
Wanayotuhumiwa nayo huyasikiagi
 
Utekaji
Rushwa
Kubambikia watu kesi
Mauaji
Wanayotuhumiwa nayo huyasikiagi
actually,
hayo ni malalamiko ya kawaida tu ambayo mengine imethibitika si ya kweli ni ya kutunga tu,

lakini pia mengine ni ya msingi na yanafanyiwa uchunguzi wa kina na vyombo vya kiuchunguzi kujiridhisha na kubaini ukweli wake na kisha kuchukua hatua stahiki :NoGodNo:
 
Jeshi imara na la kisasa la polisi Tanzania litaendelea kutekeleza kazi na wajibu wake wa kikatiba wa kulianda amani, utukulivu na usalama wa watu na makazi yao bila shinikizo au maelekezo ya mtu binafs, taasias au kukundi cha kusiasa kutaifa au kimataifa,

bali litafanya kazi zake kwa weledi, uadilifu, haki, usawa, uhuru na bila upendeleo wala ubaguzi wa aina yoyote kwa waTanzania wote..
na zaidi sana halitasita kuchukua hatua kali za kipolisi na zile za kisheria kwa yeyote yule atakehatarisha umoja, amani na utulivu waTanzania..

lfahamike wazi kuwa jeshi la polisi nchini halifanyi kazi zake za kikatiba kwaajili ya kutafuta sifa au kuwafurahusha watu, taasisi, chama cha soasa au kikundi cha watu, bali kuhakikisha wananchi wote wananfanya kazi na majukumu yao ya kila siku kwa salama na amani....

waTanzania wana kila sababu ya kuliamini, kulipenda na kuliheshimu jeshi la polisi nchini, kwa kazi kubwa na nzuri sana ya kulinda wananchi, mali na makazi yao kwa ufanisi mkubwa na ndiyo maana amani na utulivu vimetawala kila kona ya Taifa letu licha ya dosari na kasoro ndogondogo lakini tupo salama zaidi kama Taifa ukilinganisha na vipindi vilivyopita.. :BASED:

Mingu Ibariki Tanzania
Nafsi yako haikusuti kabisa kwa uchafu huu uliotupa hapa ?
 
Kuna mada wengine hatutakagi kuchangia mana zinatia hasira.
Muhudumu leta bapa
 
Back
Top Bottom