Jeshi la Polisi limewakamata na kuwahoji waliovunja vioo Treni ya SGR, ni watoto wa miaka 12 na 16

Jeshi la Polisi limewakamata na kuwahoji waliovunja vioo Treni ya SGR, ni watoto wa miaka 12 na 16

Corporate social responsibility ni jambo muhimu sana katika uendelevu wa miradi mbali mbali
 
Damage ya vioo itatokea tu endapo kama mawe yalirushwa katika uelekeo opposite na direction ya tren..!

Lakini kama mawe yalirushwa katika uelekeo sawa na direction ya treni hapo damage ni ngumu kutokea..!
 
kwani kioo kuvunjika kinahitaji jiwe la ukubwa gani mkuu

hata kokoto tu inavunja kioo, inategemea nguvu ya mrushaji
hao wanaandika tu kwasababu ndani yao wanaupinzani yani kitu chochote cha serikali wao wanapinga! anashindwa kuelewa huyohuyo mtoto wa miaka 12 ama 16 anaweza kumpopoa na jiwe akamuharibu hata jicho!
 
Hayo mawe yalikuwa makubwa kiasi gani.. Au vioo ni vya kichina?
Mwaka fulani geita vijijini watoto walirusha mawe nikiwa kwenye gari wakavunja kioo , uzuri niliwaona nikawakariri sura zao. Baada ya siku kadhaa nikapita njia ile ile nikawaona nikapinguza mwendo wakataka kukimbia lakini nikawahi kusimamiaha gari ,mkononi nina kitita cha pesa (noti) huku nawaita hasa yule mkubwa (umri kama miaka 9) nikamwambia njoo uchukue hela yake mama hii umpelekee.

Wakasogea japo kwa wasiwasi , nilipomtia mikononi nilimtandika bakora za kutosha wenzie walikimbia. Baada ya hapo hawakurudia tena kurusha mawe.

Akili za utoto ni shida sana
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mwaka fulani geita vijijini watoto walirusha mawe nikiwa kwenye gari wakavunja kioo , uzuri niliwaona nikawakariri sura zao. Baada ya siku kadhaa nikapita njia ile ile nikawaona nikapinguza mwendo wakataka kukimbia lakini nikawahi kusimamiaha gari ,mkononi nina kitita cha pesa (noti) huku nawaita hasa yule mkubwa (umri kama miaka 9) nikamwambia njoo uchukue hela yake mama hii umpelekee.

Wakasogea japo kwa wasiwasi , nilipomtia mikononi nilimtandika bakora za kutosha wenzie walikimbia. Baada ya hapo hawakurudia tena kurusha mawe.

Akili za utoto ni shida sana
Watakuambia ulete picha ya kioo cha gari lako.Huu ujinga wa kuunga mkono mali za Nchi kuharibiwa kwa sababu tu hupendi wanaongoza Nchi ni ujinga mkubwa.Tanzania ni Nchi yetu wote.Kushabikia uharibifu kwa kutofautiana kisiasa ni kiwango kidogo sana cha kufikiri.
 
Watakuambia ulete picha ya kioo cha gari lako.Huu ujinga wa kuunga mkono mali za Nchi kuharibiwa kwa sababu tu hupendi wanaongoza Nchi ni ujinga mkubwa.Tanzania ni Nchi yetu wote.Kushabikia uharibifu kwa kutofautiana kisiasa ni kiwango kidogo sana cha kufikiri.
Ni ujinga kufurahia miundombinu iliyojengwa kwa hali na Mali kuharibiwa kwasababu za kijinga kbs
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Picha ya vioo vilivyovunjwa iko wapi!?
Nimeshau shauri mara kadhaa. Mradi huu ni mradi wa hela nyingi. Haiwezekani uchezewe kwa namna yeyote ile. Lazima tuulinde kwa wivu mkubwa. Nashauri mradi wote ujengwe fence ya umeme watoto, au watu wa namna yeyote ile wasiguse mradi huu. Otherwise tutaendelea kuhujum na mwisho utakufa. Ujengwe fence. Ukienda Ulaya njia yao yote imewekewa uzio. Tufanye hivyo. Kama tumejenga sgr tinashindwaje kujenga fence. Tena kwakuwa mkandarasi bado yupo site ni vema aongezewe kipengele hicho.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Hii ishawahi kunikuta nikiwa na miaka kama sita hivi nilirusha jiwe kwenye gari inayotembea ili nione kipi kina kasi zaidi .dereva alishuka akanikata makonzi mawili akaondoka
Dah kumbe yule dogo ni wewe nilikupiga cku zile sema kichwa kimekomaa sana
 
Kwa akili hizi hata barabara huwa unavuka mwenyewe kweli?
 
Huenda Hawa vijana wakawa wanasayansi wakubwa hapo baadae.walikuwa wanafanya majaribio kati ya kasi ya treni ya umeme na kasi ya kitu kilichorushwa na binadamu.vijana waachiwe haraka sana huenda wakawa ndiyo wa kina Michael faraday wa siku hizi
 
Back
Top Bottom