Jeshi la Polisi linawashikilia Maua Sama na Soudy Brown kwa kudhihaki fedha za Tanzania

Usikute walikuwa wanakanyaga yale maspecimen
Wapambane na khali
 
Kwa nyuzi kama hizi
ccm haitatoka madarakani kamwe.
 
Wimbo wa maua sama mzuri lkn naona anauchafua kwa kiki za kijinga
 
Mkuu ndio tatizo la maceleb wetu hata uwezo wa kufikiri na kutambua hili baya au zuri hawajui kazi kuchonga midomo kama kasuku na kutafuta umaarufu,pesa ni nembo ya taifa na sheria inakataza kusigina pesa,kwani pesa sio ya mtumiaji tu,ukiwaamba watu wasome na waongeze maarifa unaonekana umepitwa na wakati,kabla hujafanya jambo fikiria pia na upande mwingine,hawa ndio vihiyo wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…