Jeshi la Polisi litaendelea kuiunga CCM kwa kuhofia yaliyotokea Zambia

Jeshi la Polisi litaendelea kuiunga CCM kwa kuhofia yaliyotokea Zambia

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Kwa hali upepo unavyovuma Jeshi la Polisi litaendelea kuiunga CCM kwa nguvu zao zote ili makamanda wao na wale wenye rekodi ya unyanyasaji raia, wizi na unyang'anyi waendelee kubaki katika nyadhifa zao na kulinda maslahi yao.

Hii inatokana na somo walilolipata kutoka kwa Rais mpya wa Zambia Mh. Hichilema kuwafuta kazi Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama wote pamoja na makamanda wote wa mikoa.

Sisi kama wananchi ambao tunataka mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi adui yetu mkubwa na nambari one ni jeshi hili.

Hivyo wakati wote tunapoendelea na mapambano yetu tuzingatie hili. Aidha tuhakikishe tunaweka rekodi sawa ya kuwaorodhesha askari wote waovu na kuwasema hadharani.

Wito kwa wananchi wote ni kuwa udhalimu na silaha za kivita havijawahi kushinda haki po pote duniani bali huchelewesha tu!
 
Hata polisi wenyewe na vyombo vya dola vingine nchini Zambia siyo hiyari yao yawapatae yaliyowapata, walibana sana kama makaburu wa Afrika ya kusini walivyobana mwisho wake waliachia, hata hawa wa kwetu wataendelea kubana sana,burudoza la wananchi likikaza litang'oa mpaka mizizi yao na kuwaachisha bila kupenda.
 
Hata polisi wenyewe na vyombo vya dola vingine nchini Zambia siyo hiyari yao yawapatae yaliyowapata,walibana sana kama makaburu wa afrika ya kusini walivyobana mwisho wake waliachia,hata hawa wa kwetu wataendelea kubana sana,burudoza la wananchi likikaza litang'oa mpaka mizizi yao na kuwaachisha bila kupenda.
Makaburu walibana mwisho waliachia pamoja na maguvu yao yote!
 
Rais wa Zambia awafuatilie nyendo zao hao aliowaondoa nyadhifa zao kwa mtindo wa 24/7/365 ili wasianzishe uasi na chokochoko.
 
Haki huinua taifa, mbinu duni za CCM kutegemea Dola Zina mwisho.Kuzuia njia sahihi kikatiba Mbatia alisema anahasira na chuki, wengi tunahasira na chuki kwa ufirauni unaofanywa, mfano Mbowe 40 days ++ , msijali ipo siku tutawapa kina Hamza 10 watatosha.
 
Natamani siku upinzani ushike nchi ili nione watu watakavolia kwa kuondolewa kazini
 
AUYZ3t.jpg
 
Kwa Sasa wananchi washaelewa maana ya kurundika wabunge wa chama kimoja bungeni......madhara yake ysmepenya kwenye tozo
 
Back
Top Bottom