Jeshi la Polisi: Madereva wanaosababisha ajali watawekwa mahabusu na kupelekwa Mahakamani, si kulipa fine tena

Jeshi la Polisi: Madereva wanaosababisha ajali watawekwa mahabusu na kupelekwa Mahakamani, si kulipa fine tena

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
1648042168534.png

Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limesema kuanzia sasa Madereva wanaoendesha magari kwa mwendokasi na kusababisha ajali watawekwa mahabusu na kupelekwa Mahakamani moja kwa moja na siyo kulipa faini tena.

Kamanda wa Polisi Wilbroad Mutafungwa amesema hayo wakati wa mazungumzo yake na Madereva katika kituo kikuu cha mabasi cha Magufuli na kusisitiza kuwa “dereva atakayekutwa anaendesha gari kwa mwendo kasi na kuyapita magari mengine bila kufuata sheria za barabarani atachukuliwa leseni yake na kupelekwa mahabusu kisha Mahakamani na sio kulipa faini kama ilivyozoeleka”.
 
Huu ni upuusi kama upuusi mwingine tu.

Itambulike udereva ni kazi kama kazi zingine.

Kutozwa faini, kupelekwa mahabusu, au kupelekwa mahakamani kwa ajili ya linalosemekana kosa kazini imekaa je hii?

Kwa hakika ndiyo maana suala la katiba bora ya nchi ni suala la dharura sana. Mama ajue tunamheshimu sana ila tunataka katiba mpya.

Vinginevyo itakuwa ni mwendo huu huu wa bhooooooo bhooooooo bhooooooo. .. tu.
 
Blah blah blah, na traffic officer's wanaopokea rushwa nao pia straight Mahakamani, my Boss ajali nyingi zinatokea kutokana na barabara kuwa mbovu, nyingi zimejengwa chini ya kiwango, imarisha kitengo cha ukaguzi wa magari ikiwa ni pamoja na kununua mitambo ya kisasa na traffic officer's wawe trained.
 
Blah blah blah, na traffic officer's wanaopokea rushwa nao pia straight Mahakamani, my Boss ajali nyingi zinatokea kutokana na barabara kuwa mbovu, nyingi zimejengwa chini ya kiwango, imarisha kitengo cha ukaguzi wa magari ikiwa ni pamoja na kununua mitambo ya kisasa na traffic officer's wawe trained.
Traffic huchukua hela kwa mtu asiyetambua thamani ya usalama wake.

Unatembea hujafunga mkanda,utaandikiwaje fine na unataka ufe makusudi!!!!
 
Traffic huchukua hela kwa mtu asiyetambua thamani ya usalama wake.

Unatembea hujafunga mkanda,utaandikiwaje fine na unataka ufe makusudi!!!!
Unajionyesha ni jinsi gani ulivyo middle class na umepoteza touch na ground, njoo chini huku mkuu, Sina gari mimi ni mtu wa daladala, na kila siku tunashuhudia jinsi hawa traffic officer's wanavyuchukua rushwa left right, wewe endelea kutumia gari ya baba yako na hope's aliipata kihalali na sio kudhulumu poor3of the poorest,...eti sifungi mkanda!yes gari Sina mkuu!!
 
Walishaacha kuescort mabasi kwamba basi la kwanza lisipitwe na mabasi yatakayotoka nyuma yake
 
Unajionyesha ni jinsi gani ulivyo middle class na umepoteza touch na ground, njoo chini huku mkuu, Sina gari mimi ni mtu wa daladala, na kila siku tunashuhudia jinsi hawa traffic officer's wanavyuchukua rushwa left right, wewe endelea kutumia gari ya baba yako na hope's aliipata kihalali na sio kudhulumu poor3of the poorest,...eti sifungi mkanda!yes gari Sina mkuu!!
Traffic wanachukua buku buku au buku mbili kwa dala dala.yess rushwa ni adui wa haki embu nitajie haki ya nani inapotea hapo??

Anayedhurumiwa ni nani kati ya hawa??
Serikali inayokosa mapato ya 30k??
Boss mwenye gari anayepoteza 2k?
Abiria aliyepanda gari isiyo na mkanda kwa kulipa 400??
Au konda na dereva waliosahau kuvaa uniforms??

Jibu lizingatie neno(poor of the poorest).
 
Huu ni upuusi kama upuusi mwingine tu.

Itambulike udereva ni kazi kama kazi zingine.

Kutozwa faini, kupelekwa mahabusu, au kupelekwa mahakamani kwa ajili ya linalosemekana kosa kazini imekaa je hii?

Kwa hakika ndiyo maana suala la katiba bora ya nchi ni suala la dharura sana. Mama ajue tunamheshimu sana ila tunataka katiba mpya.

Vinginevyo itakuwa ni mwendo huu huu wa bhooooooo bhooooooo bhooooooo. .. tu.
Kwahiyo kama ni kazi hivyo uvunje sheria tu au?
 
Wangetaifisha tu hayo magari nina hakika hakuna mtu angevunja sheria
Kila siku mpya basi yachukueni nyie sie tutatembea kwa miguu mpaka kigoma kutoka mtwara
 
Back
Top Bottom