Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaibiwa hakuna mazungumzo yoyote kati ya lbl la bot. Wanataka kuwapiga tena. Ile picha ya martinez ni kababu kana kipindi chake cha mambo sijui ya imani. Hiyo picha wamewawekea eti kamefika tanzania kaliipost 2020 kwenye page yake ya instagram.Hawa jamaa wa lbl wanasema tayari wameshaweka sawa kati yao na BoT, je ni kweli? Tutaamini vipi? Na kwanini wanasema tulipie tena 50% ya daraja letu ili tuweze kufanya activation? Ila mm sina pingamizi, kama wamesharuhusiwa wafungue basi ofisi zao tuweze kulipa hiyo activation fee.
Nadhali walikuwa na ofisi ambazo walikamatwa kwasababu ya kutotii sheria za BoT, sasa kama wameshaweka sawa nadhani hata ofisi zao zitakuwa wazi sasa au?
Ubongo umeweka wapi mkuu...?Hawa jamaa wa lbl wanasema tayari wameshaweka sawa kati yao na BoT, je ni kweli? Tutaamini vipi? Na kwanini wanasema tulipie tena 50% ya daraja letu ili tuweze kufanya activation? Ila mm sina pingamizi, kama wamesharuhusiwa wafungue basi ofisi zao tuweze kulipa hiyo activation fee.
Nadhali walikuwa na ofisi ambazo walikamatwa kwasababu ya kutotii sheria za BoT, sasa kama wameshaweka sawa nadhani hata ofisi zao zitakuwa wazi sasa au?
Kuna muda nahisi watu wanakuwa hawana lengo la kutapeli ila watanzania wanawalazimishaUsikute kutapeliwa ni raha/utamu km kufanya ngono na mumama mweupe mwenye wowowo kiasi!
😁😁😂
Yaani BOT iwape kibali watu wanaofanya Ponzi scheme? (DECI)Hawa jamaa wa lbl wanasema tayari wameshaweka sawa kati yao na BoT, je ni kweli? Tutaamini vipi? Na kwanini wanasema tulipie tena 50% ya daraja letu ili tuweze kufanya activation? Ila mm sina pingamizi, kama wamesharuhusiwa wafungue basi ofisi zao tuweze kulipa hiyo activation fee.
Nadhali walikuwa na ofisi ambazo walikamatwa kwasababu ya kutotii sheria za BoT, sasa kama wameshaweka sawa nadhani hata ofisi zao zitakuwa wazi sasa au?