Jeshi La Polisi mkoa wa Kusini Unguja lathibitisha kifo cha Askari wake ambaye alitoweka tangu mwezi Agosti akiwa msituni

Jeshi La Polisi mkoa wa Kusini Unguja lathibitisha kifo cha Askari wake ambaye alitoweka tangu mwezi Agosti akiwa msituni

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wanabodi,

Hatimaye Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja muda mchache uliopita limetoa taarifa kuhusu kifo cha Askari Haji Machano Mohamed wa kikosi cha Valantia (KVZ).

Askari huyo alitoweka tarehe 08/08/2024 wakati akihudhuria mafunzo ya uongozi katika Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Uchumi Dunga.

Askari huyo alitoweka akiwa msituni karibu na chuo hicho.

Soma pia: Jeshi la Polisi la Polisi lamjibu Wakili Mwabukusi na wanaharakati kuhusu mamlaka waliyonayo katika kuzuia maandamano

Taarifa hiyo ilidokeza kuwa baada ya uchunguzi wa muda mrefu, tarehe 26/09/2024 mwili wa askari huyo ulipatikana ukiwa umeharibika vibaya msituni, ukitambulika kwa mavazi aliyokuwa amevaa siku ya kupotea.

Ujumbe Polisi.jpeg
 
Wanabodi,

Hatimaye Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja muda mchache uliopita limetoa taarifa kuhusu kifo cha Askari Haji Machano Mohamed wa kikosi cha Valantia (KVZ).

Askari huyo alitoweka tarehe 08/08/2024 wakati akihudhuria mafunzo ya uongozi katika Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Uchumi Dunga.

Askari huyo alitoweka akiwa msituni karibu na chuo hicho.

Soma pia: Jeshi la Polisi la Polisi lamjibu Wakili Mwabukusi na wanaharakati kuhusu mamlaka waliyonayo katika kuzuia maandamano

Taarifa hiyo ilidokeza kuwa baada ya uchunguzi wa muda mrefu, tarehe 26/09/2024 mwili wa askari huyo ulipatikana ukiwa umeharibika vibaya msituni, ukitambulika kwa mavazi aliyokuwa amevaa siku ya kupotea.

RIp Soja
 
Wanabodi,

Hatimaye Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja muda mchache uliopita limetoa taarifa kuhusu kifo cha Askari Haji Machano Mohamed wa kikosi cha Valantia (KVZ).

Askari huyo alitoweka tarehe 08/08/2024 wakati akihudhuria mafunzo ya uongozi katika Chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Uchumi Dunga.

Askari huyo alitoweka akiwa msituni karibu na chuo hicho.

Soma pia: Jeshi la Polisi la Polisi lamjibu Wakili Mwabukusi na wanaharakati kuhusu mamlaka waliyonayo katika kuzuia maandamano

Taarifa hiyo ilidokeza kuwa baada ya uchunguzi wa muda mrefu, tarehe 26/09/2024 mwili wa askari huyo ulipatikana ukiwa umeharibika vibaya msituni, ukitambulika kwa mavazi aliyokuwa amevaa siku ya kupotea.

Mmmhh!

Kisiwa cha Unguja kuna msitu gani ulio mnene na mkubwa kiasi hicho cha kuweza kumfanya Askari Polisi kupotelea humo na kushindwa kuonekana kwa muda wa siku nyingi namna hiyo? Ina maana Vikosi vyote vya Majeshi vilivyopo Kisiwani Unguja vilishindwa kabisa kuunda kikosi kazi cha pamoja cha kuweza kumtafuta Askari huyo kwenye msitu husika tangu siku alipopotea hadi wakati maiti yake ilipookotwa kwenye huo msitu??

Completely, it doesn't get out in my mind.

This report of the Police Forces (of Zanzibar Zone) is Contradictive and Suspicious. An Independent Thorough Crime Investigation against the Police Forces is required here in order to clear all doubts, and I think the TanPol is a key suspect for this tragedy. All the closed and hidden facts must be disclosed to the general public.
 
Kwahiyo ndio mwisho wa hiyo habari au kuna uchunguz utafanyika ktk mwili au sababu za kifo?

kwa nn asifie ktk macho ya wengi au kwa nini asitafutwe siku aliyotoweka?

au kajiua au wivu wa mapenzi? Au alikuwa
 
Kazi ya Mafwele hiyo,wakitumaliza sisi watauana wenyewe kwa wenyewe
 
#HABARI Mwili wa Askari namba NV 1630 SGT HAJI Machano Mohamedi wa kikosi cha Valantia (KVZ) Makao Makuu Mtoni Zanzibar aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha umeokotwa kwenye msitu uliopo karibu na kambi ya chuo hicho ukiwa umeharibika vibaya

Taarifa ya Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Kusini Unguja SACP Daniel E. Shillah imeeleza kuwa Askari huyo alikuwa akihudhuria mafunzo ya Uongozi ( officer cadet) katika Chuo cha Uongozi cha Jeshi La Kujenga Uchumi Dunga.

Imeelezwa kuwa Tarehe 08/08/2024 majira ya saa 8:00 mchana katika msitu uliopo karibu na chuo hicho. Askari huyo akiwa na wenzake katika mafunzo alipotea katika mazingira ambayo hayakueleweka, baada ya wenzake kurejea kambini ndipo ilipo bainika kwamba askari huyo alikuwa haonekani ndipo taarifa hizo zilipelekwa Polisi kituo cha Dunga na uchunguzi kuendelea.

"Uchunguzi wa awali uliofanywa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Afisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali ulibaini mwili huo ukiwa na nguo na viatu ambazo zinafanana na zile alizovaa askari huyo siku aliyopotea"

"Aidha, katika mfuko wa suruali aliyokuwa amevaa ilipatikana simu ambayo imetambulika kuwa ni ya kwake aliyokuwa akiitumia" imeeleza taarifa hiyo ya Polisi

Polisi wamesema kuwa uchunguzi zaidi wa tukio hilo unaendelea ukiwepo ulinganisho wa vinasaba (DNA) kwa madhumuni ya kubaini ni kitu gani kilicho mkuta na kupoteza uhai ili hatua nyingine za kisheria zifuate. #EastAfricaTV
FB_IMG_17275846962299708.jpg
 
Back
Top Bottom