DOKEZO Jeshi la polisi, Nyarugusu Mkoa wa Geita kunatisha matukio ya kutisha

DOKEZO Jeshi la polisi, Nyarugusu Mkoa wa Geita kunatisha matukio ya kutisha

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mzalauliwa

Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
95
Reaction score
35
Jeshi la polisi Tanzania hasa ngazi ya juu, Nyarugusu Geita kunatisha kwa mauji ya watu kuchinjwa.

Nyarugusu Geita ni kata Ambayo inapatikana mkoa wa Geita wilaya ya Geita vijijini wakazi wake wengi wamezungukwa na sehemu kubwa ya uchimbaji wa madini.

Shughuli zake kuu za watu kujipatia kipato ni kilimo pamoja na uchimbaji mdogo mdogo wa madini ya dhahabu.

Kata hii kwa upende wangu ndo kata ya kwanza Tanzania na Dunia nzima Ambayo inamatukio mazito kuliko sehemu yoyote Duniani

Matukio hayo makubwa ni Matukio ya watu kuchinjwa kinyama bila huruma

Kwa haraka haraka mpaka tunaenda Kumaliza mwaka zaidi ya watu 12 wamechinjwa na wengine kutupiwa katika madimbwi ya maji.

Kwa kuwa ni sehemu ndogo hakuna mtu anayepaza sauti na kukemea Matukio haya na hatuyasikii katika vyombo vya Habari badala yake yanafichwafichwa

Kwa upande wangu siwalaumu jeshi la polisi pengine kuna maslahi Ambayo watu wenye Uelewa mkubwa myatizame

Kuanzia mtendaji wa kijiji yapaswa wabadilishwe Askari hasa mkuu wa kituo pamoja na wapelelezi wabadilishwe Wako busy na kutafuta dhahabu kuliko kudili na kulinda raia

Kama hamuamini tumeni ma spy watawapa majibu ni hayo tu

Kunatisha wazeee

Ndani ya week moja watu wawili wamechinjwa.
 
Wakimbizi kutoka Burundi wameanza kuleta fujo
 
Jeshi la polisi Tanzania hasa ngazi ya juu, Nyarugusu Geita kunatisha kwa mauji ya watu kuchinjwa.

Nyarugusu Geita ni kata Ambayo inapatikana mkoa wa Geita wilaya ya Geita vijijini wakazi wake wengi wamezungukwa na sehemu kubwa ya uchimbaji wa madini.

Shughuli zake kuu za watu kujipatia kipato ni kilimo pamoja na uchimbaji mdogo mdogo wa madini ya dhahabu.

Kata hii kwa upende wangu ndo kata ya kwanza Tanzania na Dunia nzima Ambayo inamatukio mazito kuliko sehemu yoyote Duniani

Matukio hayo makubwa ni Matukio ya watu kuchinjwa kinyama bila huruma

Kwa haraka haraka mpaka tunaenda Kumaliza mwaka zaidi ya watu 12 wamechinjwa na wengine kutupiwa katika madimbwi ya maji.

Kwa kuwa ni sehemu ndogo hakuna mtu anayepaza sauti na kukemea Matukio haya na hatuyasikii katika vyombo vya Habari badala yake yanafichwafichwa

Kwa upande wangu siwalaumu jeshi la polisi pengine kuna maslahi Ambayo watu wenye Uelewa mkubwa myatizame

Kuanzia mtendaji wa kijiji yapaswa wabadilishwe Askari hasa mkuu wa kituo pamoja na wapelelezi wabadilishwe Wako busy na kutafuta dhahabu kuliko kudili na kulinda raia

Kama hamuamini tumeni ma spy watawapa majibu ni hayo tu

Kunatisha wazeee

Ndani ya week moja watu wawili wamechinjwa.
Hakuna wanahabari huko?Ninyi wenyewe mmejizatiti vipi kulinda uhai wenu na wa wenzenu?Mna mikakati yoyote ya awali?Mbali ya VEO na askari waliopo,hakuna viongozi wengine?Hawaoni?Mmeongea nao?Wanasemaje?
 
Hakuna wanahabari huko?Ninyi wenyewe mmejizatiti vipi kulinda uhai wenu na wa wenzenu?Mna mikakati yoyote ya awali?Mbali ya VEO na askari waliopo,hakuna viongozi wengine?Hawaoni?Mmeongea nao?Wanasemaje?
Kuna kazi zingine ukiingilia mwanainchi huna uwezo nayo, sasa kwa matukio kama hayo viongozi hao akina Veo wangeitisha mkutano mkubwa na kujadili lakin yoto hayo hayatendeki

Wako bize na dhahabu bro wana dili na business zao hasa Utafutaji wa madini
 
Kuna kazi zingine ukiingilia mwanainchi huna uwezo nayo, sasa kwa matukio kama hayo viongozi hao akina Veo wangeitisha mkutano mkubwa na kujadili lakin yoto hayo hayatendeki

Wako bize na dhahabu bro wana dili na business zao hasa Utafutaji wa madini
Kaeni nao muwashauri.
 
Napafahamu hapo, ni kweli matukio hayo yapo, kuna historia ya watu kuchinjwa kwa wingi hasa walinzi.
Taarifa hii isichukuliwe poa, katika mkoa GEITA hapo nyarugusu panashika nafasi ya kwanza kwa mauaji ya aina hiyo.
Wamekusikia
 
Back
Top Bottom