Jeshi la Polisi tafadhali msituchoshe katika hili na huu 'Unafiki' wenu

Jeshi la Polisi tafadhali msituchoshe katika hili na huu 'Unafiki' wenu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Jeshi la Polisi Nchini limewataka wananchi waliotoa taarifa za kuibiwa simu na kutozwa fedha ili watafutiwe simu zao waende kwa Makamanda wa Polisi Mikoa (RPCs), Wakuu wa Upelelezi (RCOs) au wakuu wa upelelezi Wilaya (OC-CIDs) kwa ajili ya kuchukuwa hatua ili askari hao waliofanya utovu wa nidhamu na uahlifu huo waweze kuchukuliwa hatua stahiki.

Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema kuwa kitendo cha kudai watu fedha ni tabia ya mtu binafsi na siyo maelekezo ya Jeshi la Polisi.

Taarifa: tbc_online

Mbona hamtuombi Watanzania tuwataje Askari wenu Wanaobambikia Watu Bangi Mifukoni mwao au wanaoshirikiana na Majambazi na Wauza Dawa za Kulevya?
 
Kawaida ya pinga pinga Chagadema hamna shukurani bali kuweka maslahi yenu mbele.

Hilo tangazo ni kubwa na ni la muhimu sababu hiyo kero imewakumba wananchi wengi waliopoteza au kuibiwa simu ila kwako unaona ni zero?
 
Wamechukua hatua nzuri, ila wahakikishe wanafanya kweli na sio maigizo,
iliwapasa pia kukomesha tabia hzo ulizozieleza hapo ili jeshi liaminike zaidi na kuheshimika!!
 
Kawaida ya pinga pinga Chagadema hamna shukurani bali kuweka maslahi yenu mbele.

Hilo tangazo ni kubwa na ni la muhimu sababu hiyo kero imewakumba wananchi wengi waliopoteza au kuibiwa simu ila kwako unaona ni zero?
Chagadema ndo mdudu gani?
 
Back
Top Bottom