Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa amesema hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kuchangisha fedha kufuatia tukio la ajali ya kupomoka kwa grorofa la Kariakoo.
Pia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuzungumza katika eneo hilo akasema JENIFER JOVIN maarufu Niffer atafutwe ili aeleze nani ambaye alimpa mamlaka ya kuchangisha fedha kufuatia tukio hilo kwa sababu Serikali ina utaribu wake katika mafaa kama haya.
Kama wana umoja wao hao wafanyabiashara wa kkoo wasijichangishe?
Kwani serikali si kila bajeti huwa wanatenga fungu kwa ajili ya mfuko wa maafa sasa wanachangisha nini tena hela zilizotengwa ziko wapi mpk waanze kuwaonea wivu wengine wanaochangisha?
Mambo mengine ni aibu sana hasa yanapotendwa na kiongozi mkubwa hivyo
Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?
Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?
Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?
Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Kama wana umoja wao hao wafanyabiashara wa kkoo wasijichangishe?
Kwani serikali si kila bajeti huwa wanatenga fungu kwa ajili ya mfuko wa maafa sasa wanachangisha nini tena hela zilizotengwa ziko wapi mpk waanze kuwaonea wivu wengine wanaochangisha?
Mambo mengine ni aibu sana hasa yanapotendwa na kiongozi mkubwa hivyo
Mkitapeliw kama alivyofanya manguruwe mnapiga kelele
hiyo ni kazi ya serikali na kuna mfuko wa maafa na kitengo kipo chini ya waziri mkuu
Thats money laundering
Hakutakuwa na kesi ataachiwa ila itakuwa funzo mambo ya serikali achia serikali hii sio tabia nzuri kuchangisha katika masuala ya kitaifa lazima kuwe na muongozo, wewe changisha harusi au msiba ya mitaani hata huko wanaweka utaratibu sio kila mtu anakusanya. Hii inazuia watu wenye nia ovu kuiba pesa. Hapa itabidi tu ahamishe kila cent iliyochangishwa kwenye mfuko wa serikali au zirudishwe zilikotoka.
Kisheria ni money laundering sema watanzania tuna ubinaadamu anaweza kuonywa akaachiwa,ila wakimkomalia no haina dhamana ,atulize kiherehere kwenye mambo ya kitaifa
Taifa tumefika hapa kweli! Tunawafundisha nini watoto wetu kwakweli?
Nifah ni nani kwenye taifa hili, amefanya nini ambacho kinatutambulisha kama taifa kiasi cha kawafanya vijana watamani kufika alipofika huyo mtu, kaandika kitabu gani ambacho vizazi vijavyo vitajifunza kupitia nacho!
CCM laana hii mtaibeba nyie na vizazi vyenu! Nilikuwa sijuhi kwanini kuanzia huku ngazi za chini Hadi taifa watu wenye weredi, wabunifu, wenye maono huwa hawapewi nafasi na huwa hawapedwi!