Jeshi la Polisi: Tunafuatilia kutoonekana kwa bwana Danstan Daud Mutajura

Jeshi la Polisi: Tunafuatilia kutoonekana kwa bwana Danstan Daud Mutajura

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam Januari 04,2025 majira ya saa 8:00 mchana lilipokea taarifa toka kwa wananchi ya kuonekana kwa gari aina ya Mercedes Benz lenye namba za usajili T 109DVY likiwa limetelekezwa eneo la BUZA SIGARA. Taratibu zilifanyika na gari hilo kuvutwa hadi kituo cha Polisi BUZA.

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Aidha tarehe 05 Januari 2025 katika Kituo cha Polisi Changombe zimepokelewa taarifa kutoka kwa ndugu kuwa gari hiyo iliyotelekezwa ilikuwa inaendeshwa na ndugu yao aitwaye DASTAN DAUD MUTAJURA ambaye toka Januari 4,2025 alipoondoka kuelekea katika shughuli zake hajarejea nyumbani. Ufuatiliaji zaidi wa kutoonekana kwa bwana Dastan Daud Mutajura unaendelea.

20250105_112116.jpg


Soma Dunstan Daudi Mtajura adaiwa kutekwa eneo la Buza
 
wa kwanza kuripotiwa 2025! yajayo yanafurahisha! Huu mwaka mambo yanaweza kukorogeka sanaaaaa! Samia Stuka usisubirie kukuche
 
Wameanza kulana wenyewe kwa wenyewe... afisa mwandamizi wa serikali naye katekwa
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam Januari 04,2025 majira ya saa 8:00 mchana lilipokea taarifa toka kwa wananchi ya kuonekana kwa gari aina ya Mercedes Benz lenye namba za usajili T 109DVY likiwa limetelekezwa eneo la BUZA SIGARA. Taratibu zilifanyika na gari hilo kuvutwa hadi kituo cha Polisi BUZA.

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Aidha tarehe 05 Januari 2025 katika Kituo cha Polisi Changombe zimepokelewa taarifa kutoka kwa ndugu kuwa gari hiyo iliyotelekezwa ilikuwa inaendeshwa na ndugu yao aitwaye DASTAN DAUD MUTAJURA ambaye toka Januari 4,2025 alipoondoka kuelekea katika shughuli zake hajarejea nyumbani. Ufuatiliaji zaidi wa kutoonekana kwa bwana Dastan Daud Mutajura unaendelea.

View attachment 3192979

Soma Dunstan Daudi Mtajura adaiwa kutekwa eneo la Buza
ukita
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam Januari 04,2025 majira ya saa 8:00 mchana lilipokea taarifa toka kwa wananchi ya kuonekana kwa gari aina ya Mercedes Benz lenye namba za usajili T 109DVY likiwa limetelekezwa eneo la BUZA SIGARA. Taratibu zilifanyika na gari hilo kuvutwa hadi kituo cha Polisi BUZA.

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Aidha tarehe 05 Januari 2025 katika Kituo cha Polisi Changombe zimepokelewa taarifa kutoka kwa ndugu kuwa gari hiyo iliyotelekezwa ilikuwa inaendeshwa na ndugu yao aitwaye DASTAN DAUD MUTAJURA ambaye toka Januari 4,2025 alipoondoka kuelekea katika shughuli zake hajarejea nyumbani. Ufuatiliaji zaidi wa kutoonekana kwa bwana Dastan Daud Mutajura unaendelea.

View attachment 3192979

Soma Dunstan Daudi Mtajura adaiwa kutekwa eneo la Buza
ukitaka kuishi arefu AFRIKA jiepushe na mambo ya kisiasa,na pia acha kufuatilia maisha ya wa2 wenye nguvu kiuchumi,pia kama mtaani unapoishi kuna wa2 wanauza bangi na gongo usiwachome polisi,jifanye kama uwaoni na ikiwezekana,siku mojamoja tembelea kwenye ubanda zao,wanunulie gongo huku ukipiga nao story,,nakwambia utanishukuru!!!....na ukiamua kua mwanaharakati,hakikisha unaishi single,kwani familia yako itateseka sana siku UKIFARIKI!!! so ukiamua kukomaa na DOLA lazima uwe FUGITIVE!!!.......
 
Back
Top Bottom