Jeshi la Polisi: Waliotishiwa maisha wawasilishe Ushahidi ili wahusika wakamatwe

Jeshi la Polisi: Waliotishiwa maisha wawasilishe Ushahidi ili wahusika wakamatwe

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Katika siku za karibuni kumejitokeza tabia kwa baadhi ya wat kupitia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii, wakidai kuwa wametishiwa maisha kwa sababu hi na ile iambo ambalo linawajengea wananchi hofu na maswali yasiyo ya msingi.

Jeshi la Polisi Tanzania linapenda kutoa wito kwa jamii kuwa endapo mtu umetishiwa maisha, afike Kituo cha Polisi kutoa taarifa ili wasilishe ushahidi ulionao kwa ajili ya uchunguzi na mhusika wa vitisho hivyo akamatwe kwa mujibu wa sheria, na huo ndio utaratibu wa kisheria.

Jeshi la Polisi linatoa tahadhari kwa wale wachache wanaoendeleza mtindo ambao si wa kisheria kutoa taarifa zenye nia ya kuzusha na kuwajengea hofu wananchi kuacha tabia hiyo na badala yake wafuate taratibu za kisheria ikiwemo kutoa taarifa vituo vya Polisi.

IMG_7991.jpeg
 
Katika siku za karibuni kumejitokeza tabia kwa baadhi ya wat kupitia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii, wakidai kuwa wametishiwa maisha kwa sababu hi na ile iambo ambalo linawajengea wananchi hofu na maswali yasiyo ya msingi.

Jeshi la Polisi Tanzania linapenda kutoa wito kwa jamii kuwa endapo mtu umetishiwa maisha, afike Kituo cha Polisi kutoa taarifa ili wasilishe ushahidi ulionao kwa ajili ya uchunguzi na mhusika wa vitisho hivyo akamatwe kwa mujibu wa sheria, na huo ndio utaratibu wa kisheria.

Jeshi la Polisi linatoa tahadhari kwa wale wachache wanaoendeleza mtindo ambao si wa kisheria kutoa taarifa zenye nia ya kuzusha na kuwajengea hofu wananchi kuacha tabia hiyo na badala yake wafuate taratibu za kisheria ikiwemo kutoa taarifa vituo vya Polisi.

View attachment 2686351
Tuna reference ya Tundu Lissu na Ben Saanane wala hatusikilizi kejeli zenu za Kipuuzi. Jeshi la Polisi mmeishiwa weledi Hadi kudhani Kila kinachotoka Chama tawala ni kitakatifu na kinacholalamikiwa na wapinzani ni dhambi. Taarifa inakuja na kejeli eti "umezuka mtindo". Aina ya ovyo kabisa ya utoaji Taarifa huku umeshamhukumu aliyetishiwa.
 
Katika siku za karibuni kumejitokeza tabia kwa baadhi ya wat kupitia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii, wakidai kuwa wametishiwa maisha kwa sababu hi na ile iambo ambalo linawajengea wananchi hofu na maswali yasiyo ya msingi.

Jeshi la Polisi Tanzania linapenda kutoa wito kwa jamii kuwa endapo mtu umetishiwa maisha, afike Kituo cha Polisi kutoa taarifa ili wasilishe ushahidi ulionao kwa ajili ya uchunguzi na mhusika wa vitisho hivyo akamatwe kwa mujibu wa sheria, na huo ndio utaratibu wa kisheria.

Jeshi la Polisi linatoa tahadhari kwa wale wachache wanaoendeleza mtindo ambao si wa kisheria kutoa taarifa zenye nia ya kuzusha na kuwajengea hofu wananchi kuacha tabia hiyo na badala yake wafuate taratibu za kisheria ikiwemo kutoa taarifa vituo vya Polisi.

View attachment 2686351
Jeshi la hovyo hilo
Aibu yao
 
Katika siku za karibuni kumejitokeza tabia kwa baadhi ya wat kupitia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii, wakidai kuwa wametishiwa maisha kwa sababu hi na ile iambo ambalo linawajengea wananchi hofu na maswali yasiyo ya msingi.

Jeshi la Polisi Tanzania linapenda kutoa wito kwa jamii kuwa endapo mtu umetishiwa maisha, afike Kituo cha Polisi kutoa taarifa ili wasilishe ushahidi ulionao kwa ajili ya uchunguzi na mhusika wa vitisho hivyo akamatwe kwa mujibu wa sheria, na huo ndio utaratibu wa kisheria.

Jeshi la Polisi linatoa tahadhari kwa wale wachache wanaoendeleza mtindo ambao si wa kisheria kutoa taarifa zenye nia ya kuzusha na kuwajengea hofu wananchi kuacha tabia hiyo na badala yake wafuate taratibu za kisheria ikiwemo kutoa taarifa vituo vya Polisi.

View attachment 2686351
Pumbavu, hawa polisi hawa mungu atawalaani kwa matendo yenu. Mjiulize kwanini wanaotishiwa hawaji kwenu mara moja? Ni kuwa hamuaminiki hata kidogo. Kuna matukio mengi hawezi kuwaamini.
 
Katika siku za karibuni kumejitokeza tabia kwa baadhi ya wat kupitia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii, wakidai kuwa wametishiwa maisha kwa sababu hi na ile iambo ambalo linawajengea wananchi hofu na maswali yasiyo ya msingi.

Jeshi la Polisi Tanzania linapenda kutoa wito kwa jamii kuwa endapo mtu umetishiwa maisha, afike Kituo cha Polisi kutoa taarifa ili wasilishe ushahidi ulionao kwa ajili ya uchunguzi na mhusika wa vitisho hivyo akamatwe kwa mujibu wa sheria, na huo ndio utaratibu wa kisheria.

Jeshi la Polisi linatoa tahadhari kwa wale wachache wanaoendeleza mtindo ambao si wa kisheria kutoa taarifa zenye nia ya kuzusha na kuwajengea hofu wananchi kuacha tabia hiyo na badala yake wafuate taratibu za kisheria ikiwemo kutoa taarifa vituo vya Polisi.

View attachment 2686351
Kwanini lisianze na wahusika? Ambao wanajulikana wazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Khee mtu akitishiwa let people know ili hayo manyangau yasitishe hiyo mipango ikibidi.
 
Msigwa kasema kuwa Serikali ina mkono mrefu.. amesema hatishi mtu ila Serikali ina mkono mrefu na tusifikie pahali mtu akamuumiza mtu kwa sababu ya hili suala.. so namba one suspect ni Msigwa kaamua kubeba roho ya Babake jiwe aliyempeleka pale jumba leupe
 
Polisi wa TZ ni wajinga na mbumbumbu ndio maana hawaaminiki kuna matukio kibao yamewashinda leo tuwaamini KWA lipi? Kuna ushahidi uliojitosheleza kama wa Tundulissu alipopigwa risasi na yule mpuuzi wa chato? Ninini mmekifanya KWA lisu mpaka leo?
 
yaani mjikamate wenyewe ?😁

Polisi bhana 🙌
 
Katika siku za karibuni kumejitokeza tabia kwa baadhi ya wat kupitia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii, wakidai kuwa wametishiwa maisha kwa sababu hi na ile iambo ambalo linawajengea wananchi hofu na maswali yasiyo ya msingi.

Jeshi la Polisi Tanzania linapenda kutoa wito kwa jamii kuwa endapo mtu umetishiwa maisha, afike Kituo cha Polisi kutoa taarifa ili wasilishe ushahidi ulionao kwa ajili ya uchunguzi na mhusika wa vitisho hivyo akamatwe kwa mujibu wa sheria, na huo ndio utaratibu wa kisheria.

Jeshi la Polisi linatoa tahadhari kwa wale wachache wanaoendeleza mtindo ambao si wa kisheria kutoa taarifa zenye nia ya kuzusha na kuwajengea hofu wananchi kuacha tabia hiyo na badala yake wafuate taratibu za kisheria ikiwemo kutoa taarifa vituo vya Polisi.

View attachment 2686351
-%20KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Back
Top Bottom