Jeshi la polisi wilaya ya Kahama latuhumiwa kumtorosha mtuhumiwa aliyeiba Usd 25,847

Jeshi la polisi wilaya ya Kahama latuhumiwa kumtorosha mtuhumiwa aliyeiba Usd 25,847

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
#HABARI Jeshi la Polisi Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga, limelalamikiwa na mfanyabiashara Rehema Mwagao, kwa kitendo cha kumuachia mhaliifu kinyemela aliyetuhumiwa kutapeli fedha kiasi cha Dola 25,847.50 (sawa shilingi milioni 48.6). Polisi Kahama walalamikiwa kumuachia mtuhumiwa https://t.co/4nJUJUHJep
IMG_20211214_160753.jpg
 
Hata Kama ungelikuwa ni wewe tuseme tu ukweli mtu anakupa 10 million umfungulie hivi ungekataa kweli na hizi shida tulizonazo zakibongobongo😂
 
Itakuwa ni mwenzao.
Ndo maana Hamza akawapiga vyuma vya mzungu
 
Back
Top Bottom