Nawaonea huruma hao viongozi watakavyo kuwa wanasota pale the HagueCCM inaangamia kwa viongozi wake kukosa maarifa!
Ya 2001 yanaweza kujirudi na safari hii yanaweza kuwa worse but they should know that the world is watching.
Bara nako ni swala la muda tu maana walioenguliwa mpaka sasa hatima yao haijulikana.
Bado wapo kwenye mawazo ya kijimaMbinu hii ya kishamba haiwezi kumtisha yeyote kwa sasa
Wanapiga mikwara!!Mbinu hii ya kishamba haiwezi kumtisha yeyote kwa sasa
Kanawe miguu ulaleWapinzani acheni fujo mtaumia. Msicheze na serikali
Mwache maana kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyeweNaona amekwenda Zanzibar kuchochea vurugu Badala ya kuleta Amani, Huyu IGP ana kasoro nyingi sana....imagine anafika kule neno lake la Kwanza ni kwamba nimekuja kuwaambia "nitawagonga", huyu ni mzima au ana mental disorder flan hatuielewi?
Nadhani Huyu IGP pia ndo aliyeanzisha kitu kinachoitwa Jeshi la Akiba ambacho kimesambaratishwa na Lissu jana, Naomba Mamlaka zimwondoe Sirro Unguja na Pemba haraka ataleta maafa!
Sirro ana mambo ya kizamani sana !Wanapiga mikwara!!
Utawala huu wa ki dikteta tunaenda kuufuta mwezi Oktoba.Wapinzani acheni fujo mtaumia. Msicheze na serikali