Zanzibar 2020 Jeshi la Polisi Zanzibar laanza mazoezi ya utayari kukabiliana na maandamano na wavunjifu wa amani

Zanzibar 2020 Jeshi la Polisi Zanzibar laanza mazoezi ya utayari kukabiliana na maandamano na wavunjifu wa amani

Naona amekwenda Zanzibar kuchochea vurugu Badala ya kuleta Amani, Huyu IGP ana kasoro nyingi sana....imagine anafika kule neno lake la Kwanza ni kwamba nimekuja kuwaambia "nitawagonga", huyu ni mzima au ana mental disorder flan hatuielewi?

Nadhani Huyu IGP pia ndo aliyeanzisha kitu kinachoitwa Jeshi la Akiba ambacho kimesambaratishwa na Lissu jana, Naomba Mamlaka zimwondoe Sirro Unguja na Pemba haraka ataleta maafa!
Hahahaha nilivyomuona kwenye ile clip anamsifia binti yake kuwa ni mzuri nikajua hapa kuna shida kwa huyu Mzee
 
Mbinu hii ya kishamba haiwezi kumtisha yeyote kwa sasa
Uzuri tunawajua polifisiem, utayari wao ni kukimbia kimbia hovyo barabarani kukwamisha harakati za watumiaji wengine wa barabara.
Hakuna jipya, wao wanaita "police visibility" kwamba waonekane watu watishike!!!😃.

Mtakimbia sana polifisiem, mtawasha magari yenu ya washawashwa kwa mara ya kwanza toka 2015 mlipoyapaki, na bado tutawanyoosha tu
 
Naona Sirro amekwenda Zanzibar kuchochea vurugu Badala ya kuleta Amani, Huyu IGP ana kasoro nyingi sana....imagine anafika kule neno lake la Kwanza ni kwamba nimekuja kuwaambia "nitawagonga", huyu ni mzima au ana mental disorder flan hatuielewi?

Nadhani Huyu IGP pia ndo aliyeanzisha kitu kinachoitwa Jeshi la Akiba ambacho kimesambaratishwa na Lissu jana, Naomba Mamlaka zimwondoe Sirro Unguja na Pemba haraka ataleta maafa!
Mfanya fujo anabembelezwa!?!...ni wakugongwa vilivyo
 
Jeshi la PolisI Zanzibar limefanya mazoezi ya kupambana na waandamanaji.

Hiyo inakuja siku chache baada ya Maalim Seif kuapa kuwa safari hii hakuna atakayekubali kuchakachuliwa kwenye matokeo ya kura.

Naona ngoma imeanza kulindima kila sehemu.

Tanzania bila CCM inawezekana.
Maandamano yatakuwepo kama kawaida.
 
uroho wa madaraka kwa baadhi ya viongoz ndio utakaotusababishia matatizo sisi tusio na hatia halafu bado tunaaminishwa kuwa hao waroho wa madaraka ni watu wa mungu
 
CCM inaangamia kwa viongozi wake kukosa maarifa!

Ya 2001 yanaweza kujirudia, na safari hii yanaweza kuwa worse, but they should know that, the world is watching.

Bara nako ni swala la muda tu maana walioenguliwa mpaka sasa hatima yao haijulikana.
The world is watching how you try hard to bring chaos
 
Nawaonea huruma askari wetu na familia zao.

Tanzania bado haihitaji nguvu za kipolisi wal kijeshi.

Ila mrejesho wake unaweza acha makovo ktk familia zetu. Mungu atuongoze na kutupa uvumilivu tusiingize nchi yetu katka mtego wa wasio itakia mema.
 
Back
Top Bottom