Zanzibar 2020 Jeshi la Polisi Zanzibar laanza mazoezi ya utayari kukabiliana na maandamano na wavunjifu wa amani

Zanzibar 2020 Jeshi la Polisi Zanzibar laanza mazoezi ya utayari kukabiliana na maandamano na wavunjifu wa amani

Naona Sirro amekwenda Zanzibar kuchochea vurugu Badala ya kuleta Amani, Huyu IGP ana kasoro nyingi sana....imagine anafika kule neno lake la Kwanza ni kwamba nimekuja kuwaambia "nitawagonga", huyu ni mzima au ana mental disorder flan hatuielewi?

Nadhani Huyu IGP pia ndo aliyeanzisha kitu kinachoitwa Jeshi la Akiba ambacho kimesambaratishwa na Lissu jana, Naomba Mamlaka zimwondoe Sirro Unguja na Pemba haraka ataleta maafa!
Hata uteuzi wake uliacha maswali kwa wenye akili kwani mmesahau?
 
Wapemba na Waunguja mjiandae nanyi. Kutakuwa na vifo vingi sana ambavyo labda hatujawahi kuviona Nchini.

Nchi za Wafadhili na Mashirika ya Kimataifa zitaweka vikwazo vya kiuchumi na kuzitenga Serikali haramu za Bara na Visiwani.

Jeshi la PolisI Zanzibar limefanya mazoezi ya kupambana na waandamanaji.

Hiyo inakuja siku chache baada ya Maalim Seif kuapa kuwa safari hii hakuna atakayekubali kuchakachuliwa kwenye matokeo ya kura.

Naona ngoma imeanza kulindima kila sehemu.

Tanzania bila CCM inawezekana.
 
Majeshi ya hakiba ndio kitanzi cha amani yetu
JamiiForums1323532925.jpg


Jr[emoji769]
 
ICC mbali tutatangulizana ahera kwanza maana kuna wajinga wajiona wana haki ya kuumiza na kuua wengine wanasahau hata wao wanawezakudedishwa mda na saa yeyote JIANDAENI MWAKA HUU HATUTANII
Wao wanajiona wapo karibu na Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapemba na Waunguja mjiandae nanyi. Kutakuwa na vifo vingi sana ambavyo labda hatujawahi kuviona Nchini.

Nchi za Wafadhili na Mashirika ya Kimataifa zitaweka vikwazo vya kiuchumi na kuzitenga Serikali haramu za Bara na Visiwani.
Dawa ya moto ni moto na anaye dhani kuwa dawa ya moto ni maji basi atakuwa ni mjinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazanzibar siyo watu wa kuogopa virungu, mabuti ya polisi au risasi. Wao wanaamini wakifa huku wanatetea haki wanakwenda peponi sasa chagua mwenyewe uko tayari kuua wangapi ili kupora haki yao au la basi wape haki yao hutoona unywele wa mtu hata mmoja ukiguswa!
Serikali ndo inawapelekea fujo Wazanzibari

Na wao labda wawe hawana roho hawafi
 
CCM inaangamia kwa viongozi wake kukosa maarifa!

Ya 2001 yanaweza kujirudia, na safari hii yanaweza kuwa worse, but they should know that, the world is watching.

Bara nako ni swala la muda tu maana walioenguliwa mpaka sasa hatima yao haijulikana.
Bara nyie wote ma keyboard warriors hamtaweza chochote zaidi ya kulia kwenye keyboard tu
 
Huyu pimbi ni wa kuwajibisha hapo October 28th, anataka Taifa letu liwe kama kule kwa babu zake na Maalim Seif alishasema kwa kurudia rudia, USITUTISHEE!
 
Back
Top Bottom